Daktari bandia aliwaambukiza ukimwi watu 100
Mwanaume mmoja aliyejidai kuwa daktari na kuwaambukiza watu zaidi ya mia moja virusi amefikishwa mahakamani nchini Cambodia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili02 Oct
Daktari 'bandia' ashtakiwa Kenya
9 years ago
BBCSwahili11 Sep
Daktari bandia kusalia kizuizini
11 years ago
Habarileo04 Aug
Homa ya ini inaua kuliko Ukimwi - daktari
IDARA ya afya mkoani hapa imehadharisha jamii dhidi ya ugonjwa wa ini, ikisema ni mbaya zaidi ya virusi vya Ukimwi.
10 years ago
BBCSwahili03 Jun
Wahubiri bandia watapeli watu Ghana
9 years ago
Habarileo15 Aug
Daktari feki atibu watu 20
JESHI la Polisi mkoani Dodoma linamshikilia mkazi wa Katesh katika wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, Mohammed Abdallah (35), baada ya kukutwa akitoa huduma za kidaktari ambazo hana utaalamu wake.
11 years ago
BBCSwahili08 Aug
Jela kwa kuwauzia watu Mvinyo bandia
10 years ago
BBCSwahili30 Jan
Awatisha watu kwa bunduki bandia studioni
10 years ago
Vijimambo25 Dec
Daktari mmoja Tanzania huhudumia watu 30,000
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Makame-24Dec2014.jpg)
Daktari mmoja nchini Tanzania, anahudumia watu 30,000 (1:30,000), utafiti wa Shirika la Afya Duniani (WHO), umeonyesha.
Hata hivyo, takwimu hizo zipo mbali mno na uwiano uliopendekezwa na WHO wa daktari maalum mmoja kuhudumia watu 1,000.
Taarifa ya Hospitali ya Apollo jana ilisema kutokana na ukuaji wa haraka wa idadi ya watu nchini, kwa ujumla uwiano huo haujabadilika katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.
Kutokana na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j-DiiE-nbb8DGVNusdVcBOQQzYxqfPFUd9KH0PzsTOSwWOj01nm1wiUx27WLGuZ5EBJdU8OzcZvPo4Xr-Oqs5ElzCO-4oBpx/dkgupta.jpg?width=450)
DAKTARI ALIYESABABISHA VIFO VYA WATU 13 INDIA MBARONI