Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Daktari bandia aliwaambukiza ukimwi watu 100

Mwanaume mmoja aliyejidai kuwa daktari na kuwaambukiza watu zaidi ya mia moja virusi amefikishwa mahakamani nchini Cambodia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Daktari 'bandia' ashtakiwa Kenya

Raia mmoja wa Kenya ameshtakiwa na makosa 12 ikiwemo ubakaji,kujifanya kuwa mkunga mbali na kufungua kliniki bila leseni jijini Nairobi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Daktari bandia kusalia kizuizini

Daktari bandia anayetuhumiwa kuwapa kina mama dawa ya kupoteza ufahamu na hatimaye kuwabaka katika kliniki yake afikishwa mahakamani

 

11 years ago

Habarileo

Homa ya ini inaua kuliko Ukimwi - daktari

IDARA ya afya mkoani hapa imehadharisha jamii dhidi ya ugonjwa wa ini, ikisema ni mbaya zaidi ya virusi vya Ukimwi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahubiri bandia watapeli watu Ghana

Huko Afrika magharibi Ghana inakisiwa kuwa na makanisa zaidi ya elfu sitini.Unaweza kufikiri kuwa hili ni jambo jema katika kuilea nchi hiyo kimaadili. Lakini Polisi wanafikiri vingine na kuwaonya wananchi wa Ghana kuwa makini.

 

9 years ago

Habarileo

Daktari feki atibu watu 20

JESHI la Polisi mkoani Dodoma linamshikilia mkazi wa Katesh katika wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, Mohammed Abdallah (35), baada ya kukutwa akitoa huduma za kidaktari ambazo hana utaalamu wake.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jela kwa kuwauzia watu Mvinyo bandia

Mwanamume aliyewalaghai watu kwa kuwauzia mvinyo bandia,amefungwa jela kwa miaka kumi kutozwa faini ya dola milioni 20

 

10 years ago

BBCSwahili

Awatisha watu kwa bunduki bandia studioni

Mtu aliyekuwa amebeba bunduki bandia amekamatwa ndani ya studio ya matangazo ya televisheni nchini Uholanzi na kusababisha matangazo kusitishwa kwa muda.

 

10 years ago

Vijimambo

Daktari mmoja Tanzania huhudumia watu 30,000

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa.
Daktari mmoja nchini Tanzania, anahudumia watu 30,000 (1:30,000), utafiti wa Shirika la Afya Duniani (WHO), umeonyesha.

Hata hivyo, takwimu hizo zipo mbali mno na uwiano uliopendekezwa na WHO wa daktari maalum mmoja kuhudumia watu 1,000.

Taarifa ya Hospitali ya Apollo jana ilisema kutokana na ukuaji wa haraka wa idadi ya watu nchini, kwa ujumla uwiano huo haujabadilika katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.

Kutokana na...

 

10 years ago

GPL

DAKTARI ALIYESABABISHA VIFO VYA WATU 13 INDIA MBARONI

Dk. RK Gupta aliyetiwa mbaroni. DAKTARI anayehusishwa na tukio la vifo vya watu 13 katika kituo cha kutoa huduma ya kuzuia uzazi kwa njia ya upasuaji jimboni Chattisgarh nchini India, Dk. RK Gupta ametiwa mbaroni.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani