DAKTARI ALIYESABABISHA VIFO VYA WATU 13 INDIA MBARONI
![](http://api.ning.com:80/files/j-DiiE-nbb8DGVNusdVcBOQQzYxqfPFUd9KH0PzsTOSwWOj01nm1wiUx27WLGuZ5EBJdU8OzcZvPo4Xr-Oqs5ElzCO-4oBpx/dkgupta.jpg?width=450)
Dk. RK Gupta aliyetiwa mbaroni. DAKTARI anayehusishwa na tukio la vifo vya watu 13 katika kituo cha kutoa huduma ya kuzuia uzazi kwa njia ya upasuaji jimboni Chattisgarh nchini India, Dk. RK Gupta ametiwa mbaroni.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Nov
Daktari aliyesababisha vifo akamatwa
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-96cEqIM3xbI/VS4lRy5XJtI/AAAAAAAHRNk/0ISr9nFcO68/s72-c/02.jpg)
NAMNA YA KUMSHITAKI DAKTARI ALIYESABABISHA MADHARA AU KIFO KWA MGONJWA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-96cEqIM3xbI/VS4lRy5XJtI/AAAAAAAHRNk/0ISr9nFcO68/s1600/02.jpg)
Wako watu wengi wameathirika kutokana na matendo yanayotokana na uzembe,kutojali au makusudi ya madaktari. Wapo waliopata vilema vya muda kutokana na uzembe huo, wapo waliopata vilema vya maisha na wapo waliouliwa na madaktari hawa hawa.
Ajabu ni kuwa ukifanya tathmini ya haraka utaona kuwa watu wote waliopata madhila kutoka kwa madaktari huhusisha madaktari wa serikali na katika hospitali za serikali. Si...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-0QbQvCPlCek/VWWxEeT-NII/AAAAAAABPYU/-MXd7YQFU14/s72-c/8.jpg)
IDADI YA VIFO VINAVYOTOKANA NA JOTO KALI NCHINI INDIA VIMEPITA ZAIDI WATU 1,000
![](http://4.bp.blogspot.com/-0QbQvCPlCek/VWWxEeT-NII/AAAAAAABPYU/-MXd7YQFU14/s640/8.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kpcdBTDf6II/VWWxExhHUMI/AAAAAAABPYY/wmPIuvKCmK4/s640/9.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HiY2PIo8170/VWWxDeNYpVI/AAAAAAABPYI/BbXkXu69gfY/s640/10.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-szQYKgjH3P8/VWWxDDT88sI/AAAAAAABPYM/gDh3JR_kpLI/s640/11.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Nosh4CEyvkQ/VWWxDEhwETI/AAAAAAABPYE/4QYwJkPZm0o/s640/12.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5Hm2l0PGX68/VWWxD9xvDDI/AAAAAAABPYQ/FIjoCdw2h4k/s640/13.jpg)
9 years ago
Habarileo08 Nov
Polisi wachunguza vifo vya utata vya watu 4 Bukoba
JESHI la Polisi mkoani Kagera linachunguza tukio la vifo vya watu wanne waliouawa katika mazingira ya kutatanisha, kilometa 10 kutoka Bukoba Mjini.
9 years ago
BBCSwahili10 Nov
Vita vya jogoo vyasababisha vifo vya watu 10
5 years ago
BBCSwahili23 Apr
Virusi vya Corona: Fahamu nadharia juu ya vifo vya vijana na watu wengine wenye afya njema
10 years ago
BBCSwahili27 Jun
Kuwait yaomboleza vifo vya watu 27
10 years ago
Vijimambo09 Nov
JK atuma rambirambi kufuatia vifo vya watu 12
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Rais%20Jakaya%20Kikwete-November8-2014.jpg)
“Nimepokea kwa mshtuko na masikitiko taarifa za vifo vya watu 12 waliopoteza maisha papo hapo na kusababisha simanzi kubwa kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki zao, huku taifa likipoteza nguvu kazi muhimu kwa maendeleo yake kutokana na ajali za barabarani,” alisema.
Aliwaomba wote waliopoteza ndugu zao katika ajali hiyo...
10 years ago
BBCSwahili09 Aug
Kimbunga chasababisha vifo vya watu 9 China