Daktari mmoja Tanzania huhudumia watu 30,000
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa.
Daktari mmoja nchini Tanzania, anahudumia watu 30,000 (1:30,000), utafiti wa Shirika la Afya Duniani (WHO), umeonyesha.
Hata hivyo, takwimu hizo zipo mbali mno na uwiano uliopendekezwa na WHO wa daktari maalum mmoja kuhudumia watu 1,000.
Taarifa ya Hospitali ya Apollo jana ilisema kutokana na ukuaji wa haraka wa idadi ya watu nchini, kwa ujumla uwiano huo haujabadilika katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.
Kutokana na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Daktari mmoja huhudumia wagonjwa 10,000
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii, imesema daktari mmoja nchini anahudumia wagonjwa 10,000 huku nchi ikiwa na madaktari 4,750. Kutokana na hali hiyo serikali inahitaji madaktari 75,000 kwa ajili...
11 years ago
Habarileo08 Jul
Hospitali ya mkoa ina daktari bingwa mmoja
HOSPITALI ya Rufaa ya mkoa wa Kagera inakabiliwa na upungufu wa madaktari bingwa saba, hali inayotajwa kuchangia huduma kusuasua hivyo kuongezeka kwa malalamiko kutoka kwa wagonjwa.
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Daktari wa Wuhan aliyewapoteza wagonjwa watano usiku mmoja
9 years ago
Habarileo15 Aug
Daktari feki atibu watu 20
JESHI la Polisi mkoani Dodoma linamshikilia mkazi wa Katesh katika wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, Mohammed Abdallah (35), baada ya kukutwa akitoa huduma za kidaktari ambazo hana utaalamu wake.
9 years ago
BBCSwahili20 Oct
Daktari bandia aliwaambukiza ukimwi watu 100
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j-DiiE-nbb8DGVNusdVcBOQQzYxqfPFUd9KH0PzsTOSwWOj01nm1wiUx27WLGuZ5EBJdU8OzcZvPo4Xr-Oqs5ElzCO-4oBpx/dkgupta.jpg?width=450)
DAKTARI ALIYESABABISHA VIFO VYA WATU 13 INDIA MBARONI
5 years ago
AnandTech26 Mar
Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19
5 years ago
BBCSwahili23 Mar
Mwanaume mmoja akamatwa kwa kuhatarisha maisha ya watu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9EIKfpZt6jc/XrqNTPHVgqI/AAAAAAALp7E/6r-ivb2RzjoO0bkBC8qGcoMp0s24TxnUwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
WAFANYABIASHARA WANNE JIJINI DAR WAHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA MITATU AU KULIPA FAINI YA 500,000/- KILA MMOJA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9EIKfpZt6jc/XrqNTPHVgqI/AAAAAAALp7E/6r-ivb2RzjoO0bkBC8qGcoMp0s24TxnUwCLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
MAHAKAMA ya Hakimu Kisutu imewahukumu wafanyabiashara wanne wakazi wa Dar es Salaam kulipa faini ya shilingi 500,000 kila mmoja ama kifungo cha miaka mitatu jela kwa kosa la kukutwa na madini tofauti tofauti yenye uzito gram 131 yenye thamani ya zaidi shilingi milioni 100 kinyume na sheria.
Wafanyabiashara hao Noah Mmasanga, Richard Boniface, Ally Said na Mosses Mbojo ambapo wamehukumiwa kulipa faini hiyo baada ya kufika makubaliano na Mkurugenzi wa...