Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Daktari mmoja Tanzania huhudumia watu 30,000

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa.
Daktari mmoja nchini Tanzania, anahudumia watu 30,000 (1:30,000), utafiti wa Shirika la Afya Duniani (WHO), umeonyesha.

Hata hivyo, takwimu hizo zipo mbali mno na uwiano uliopendekezwa na WHO wa daktari maalum mmoja kuhudumia watu 1,000.

Taarifa ya Hospitali ya Apollo jana ilisema kutokana na ukuaji wa haraka wa idadi ya watu nchini, kwa ujumla uwiano huo haujabadilika katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.

Kutokana na...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Daktari mmoja huhudumia wagonjwa 10,000

WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii, imesema daktari mmoja nchini anahudumia wagonjwa 10,000 huku nchi ikiwa na madaktari 4,750. Kutokana na hali hiyo serikali inahitaji madaktari  75,000 kwa ajili...

 

11 years ago

Habarileo

Hospitali ya mkoa ina daktari bingwa mmoja

HOSPITALI ya Rufaa ya mkoa wa Kagera inakabiliwa na upungufu wa madaktari bingwa saba, hali inayotajwa kuchangia huduma kusuasua hivyo kuongezeka kwa malalamiko kutoka kwa wagonjwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Daktari wa Wuhan aliyewapoteza wagonjwa watano usiku mmoja

BBC imezungumza na daktari, ambaye amekua akipambana na virusi vya Corona katika jimbo la Hubei ambako mlipuko ulianzia.

 

9 years ago

Habarileo

Daktari feki atibu watu 20

JESHI la Polisi mkoani Dodoma linamshikilia mkazi wa Katesh katika wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, Mohammed Abdallah (35), baada ya kukutwa akitoa huduma za kidaktari ambazo hana utaalamu wake.

 

9 years ago

BBCSwahili

Daktari bandia aliwaambukiza ukimwi watu 100

Mwanaume mmoja aliyejidai kuwa daktari na kuwaambukiza watu zaidi ya mia moja virusi amefikishwa mahakamani nchini Cambodia.

 

10 years ago

GPL

DAKTARI ALIYESABABISHA VIFO VYA WATU 13 INDIA MBARONI

Dk. RK Gupta aliyetiwa mbaroni. DAKTARI anayehusishwa na tukio la vifo vya watu 13 katika kituo cha kutoa huduma ya kuzuia uzazi kwa njia ya upasuaji jimboni Chattisgarh nchini India, Dk. RK Gupta ametiwa mbaroni.…

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanaume mmoja akamatwa kwa kuhatarisha maisha ya watu

Jamaa mmoja Ujerumani ,amekamatwa kwa kujaribu kutekeleza mauwaji

 

5 years ago

Michuzi

WAFANYABIASHARA WANNE JIJINI DAR WAHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA MITATU AU KULIPA FAINI YA 500,000/- KILA MMOJA

Na Karama Kenyunko,Michuzi TV

MAHAKAMA ya Hakimu Kisutu imewahukumu wafanyabiashara wanne wakazi wa Dar es Salaam kulipa faini ya shilingi  500,000 kila mmoja  ama kifungo cha miaka mitatu jela  kwa kosa la kukutwa na madini tofauti tofauti yenye uzito  gram 131 yenye thamani ya zaidi shilingi milioni 100  kinyume na sheria.

Wafanyabiashara hao Noah Mmasanga, Richard  Boniface, Ally Said na Mosses Mbojo ambapo wamehukumiwa kulipa faini hiyo baada ya kufika makubaliano na Mkurugenzi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani