Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Daktari wa Wuhan aliyewapoteza wagonjwa watano usiku mmoja

BBC imezungumza na daktari, ambaye amekua akipambana na virusi vya Corona katika jimbo la Hubei ambako mlipuko ulianzia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Daktari mmoja huhudumia wagonjwa 10,000

WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii, imesema daktari mmoja nchini anahudumia wagonjwa 10,000 huku nchi ikiwa na madaktari 4,750. Kutokana na hali hiyo serikali inahitaji madaktari  75,000 kwa ajili...

 

10 years ago

Mwananchi

Daktari apiga wagonjwa Ngara

Wagonjwa waliolazwa na kupata matibabu katika kituo cha Afya Lukole wilayani Ngara mkoani Kagera, juzi wamejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kupata kipigo kutoka kwa mganga wa kituo hicho ambaye aliwataka kushiriki zoezi la usafi katika vyumba na mazingira ya kituo hicho.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jinsi wuhan wanavyosalimiana 'wuhan shake'

Watu wengi duniani wanaepuka kusalimiana kwa kushikana mikono ili kuzuia maambukizi ya virusi vya corona.

 

11 years ago

Habarileo

Hospitali ya mkoa ina daktari bingwa mmoja

HOSPITALI ya Rufaa ya mkoa wa Kagera inakabiliwa na upungufu wa madaktari bingwa saba, hali inayotajwa kuchangia huduma kusuasua hivyo kuongezeka kwa malalamiko kutoka kwa wagonjwa.

 

10 years ago

Vijimambo

Daktari mmoja Tanzania huhudumia watu 30,000

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa.
Daktari mmoja nchini Tanzania, anahudumia watu 30,000 (1:30,000), utafiti wa Shirika la Afya Duniani (WHO), umeonyesha.

Hata hivyo, takwimu hizo zipo mbali mno na uwiano uliopendekezwa na WHO wa daktari maalum mmoja kuhudumia watu 1,000.

Taarifa ya Hospitali ya Apollo jana ilisema kutokana na ukuaji wa haraka wa idadi ya watu nchini, kwa ujumla uwiano huo haujabadilika katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.

Kutokana na...

 

9 years ago

Mwananchi

Mmoja afa, watano wajeruhiwa Tarime

Wakati mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli akiwasili mjini Tarime leo, mtu mmoja amekufa, saba wamejeruhiwa katika vurugu zilizohusisha wafuasi wa CCM na Chadema katika jimbo la Tarime Vijijini.

 

5 years ago

BBCSwahili

Lioness Latoya : Daktari lakini usiku ni mwanamuziki wa kufokafoka

Lioness Latoya Mwoombola: Daktari wa nchini Namibia lakini usiku ni mwanamuziki

 

11 years ago

GPL

MMOJA AFARIKI DUNIA, WATANO WAJERUHIWA AJALINI TARIME LEO

Dereva wa basi la Zakaria Express, Mbaraka Shamsi (35) mkazi wa Magu akiwa hospitali baada ya ajali. Roberty Nashoni (48) ambaye…

 

10 years ago

Mwananchi

Ajali ya gari Mbeya yaua watu watano wa ukoo mmoja

Watu watano wa ukoo mmoja wamefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea Songwe, jirani na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe (Sia), Wilaya ya Mbeya Vijijini baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana na lori usiku.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani