Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jela kwa kuwauzia watu Mvinyo bandia

Mwanamume aliyewalaghai watu kwa kuwauzia mvinyo bandia,amefungwa jela kwa miaka kumi kutozwa faini ya dola milioni 20

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Awatisha watu kwa bunduki bandia studioni

Mtu aliyekuwa amebeba bunduki bandia amekamatwa ndani ya studio ya matangazo ya televisheni nchini Uholanzi na kusababisha matangazo kusitishwa kwa muda.

 

11 years ago

Dewji Blog

Kinana ashuhudia mchimbaji mdogo wa Tanzanite anavyosaidia wenzake kwa kuwauzia kwa bei nafuu vifaa vya uchimbaji madini Mererani

1. Mchimbaji mdogo wa Mererani, Mahmoud Karia (kulia) akimuonyesha Kinana vifaa vya uchimbaji amnavyouza kwa wachimbaji wengine pia

Mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite  kwenye machimbo ya Mererani wilayani Simanjiro,  Mahmoud Karia (kulia) akimuonyesha Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahmahn Kinana vifaa vya kisasa vya uchimbaji madini hayo, ambavyo huviuza kwa wachimbaji wengine kwa gharama nafuu. Karia alipata fursa ya kuonyesha vifaa hivyo Kinana alipomtembelea kwenye eneo la machimbo la mchimbaji huyo mdogo, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi mkoani Manyara, mapema...

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZ:WATU NANE WAKAMATWA UWANJA WA NDEGE WA MWL.NYERERE WAKIINGIA NCHINI KWA PASPOTI BANDIA ZA MATAIFA TOFAUTI YA ULAYA

 Idara ya Uhamiaji nchini  imewakamata raia wanane  wa kigeni  (pichani chini) wakati wakiingia nchini kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu  Nyerere wakiwa na pasipoti bandia za kusafiria za Mataifa tofauti ya Ulaya. 

Wageni hao walikuwa wakijaribu kuingia nchini leo tarehe 15.08.2014 majira ya saa nane na nusu usiku kwa ndege ya shirika la ndege la Uturuki yenye Namba TK 603,  wakitokea Uturuki na kujitambulisha kuwa ni raia wa Sweden na Belgium. 

   Maofisa Uhamiaji katika kituo...

 

9 years ago

StarTV

Watu wa nne wahukumiwa miaka 32 jela kwa uvamizi Nzega.

Mahakama  ya hakimu  mkazi wilaya ya nzega imewahukumu  kifungo cha miaka 32 jela watu nane kwa kosa la kufanya uvamizi na kuiba dhahabu tofali  sita na nusu zenye thamani ya zaidi ya hsilingi bilioni 4 katika mgodi wa dhahabu wa resolute

Akitoa hukumu hiyo hakimu mkazi silyvester  kainda amesema washitakiwa mawazo saliboko ,edward  bunera  ,shaaban  amuru,john  ndaki,pius  shija ,aloyce  zindoro ,davidi  ndaki  pamoja na frenk  kabuche wamehukumiwa  kwenda  jela miaka  30 baada  kutiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mchungaji jela miaka minne kwa kuuza watu nje

Mchungaji raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Jean Bamana amehukumiwa kwenda jela miaka minne baada ya kushindwa kulipa faini ya Sh10 milioni kwa kosa la kujihusisha na biashara ya kusafirisha binadamu.

 

10 years ago

Bongo5

Watu 6 wafungwa jela mwaka mmoja kwa kucheza wimbo wa ‘Happy’ wa Pharrell

Watu sita nchini Iran waliokamatwa baada ya kuonekana kwenye kanda ya video iliyokuwa inaiga wimbo wa ‘Happy’ wake mwanamuziki Pharrell William, wamehukumiwa kifungo cha hadi mwaka mmoja jela kila mmoja pamoja na adhabu ya kuchapwa mijeledi 91. Wakili wa watu hao amesema kuwa hukumu hiyo itaahirishwa kwa miezi sita ikimaanisha kuwa watafungwa tu jela ikiwa […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Tuzo kwa mvinyo bora Ufaransa

UNESCO, limetowa tuzo lake kuu kwa maeneo mawili yanayosifika Ufaransa kwa utengenezaji mvinyo aina ya Champagne na Burgundy

 

11 years ago

BBCSwahili

Mvinyo haina manufaa kwa Afya yako

Watafiti wanadai kuwa mvinyo mwekundu (Red wine) hauna manufaa kama ilivyodhaniwa kuwa nayo kwa moyo wa binadamu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahubiri bandia watapeli watu Ghana

Huko Afrika magharibi Ghana inakisiwa kuwa na makanisa zaidi ya elfu sitini.Unaweza kufikiri kuwa hili ni jambo jema katika kuilea nchi hiyo kimaadili. Lakini Polisi wanafikiri vingine na kuwaonya wananchi wa Ghana kuwa makini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani