Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu 6 wafungwa jela mwaka mmoja kwa kucheza wimbo wa ‘Happy’ wa Pharrell

Watu sita nchini Iran waliokamatwa baada ya kuonekana kwenye kanda ya video iliyokuwa inaiga wimbo wa ‘Happy’ wake mwanamuziki Pharrell William, wamehukumiwa kifungo cha hadi mwaka mmoja jela kila mmoja pamoja na adhabu ya kuchapwa mijeledi 91. Wakili wa watu hao amesema kuwa hukumu hiyo itaahirishwa kwa miezi sita ikimaanisha kuwa watafungwa tu jela ikiwa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Jela mwaka mmoja kwa kuishi nchini kinyemela

Pingu.RAIA wa Nigeria Amos Emeka (41) amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela au kulipa faini ya Sh 100,000 baada ya kupatikana na hatia ya kuishi nchini bila kibali.

 

5 years ago

Michuzi

Mwandishi wa habari ahukumiwa jela mwaka mmoja au faini ya shilingi milioni tano kwa kosa la kutoa maudhui kwenye mtandao wa youtube bila leseni




Mahakama ya Hakimu Mkazi Njombe imemtia hatiani na kumhukumu kulipa faini ya Shilingi Milioni 5 au kifungo Cha Mwaka mmoja jela Mwandishi wa habari Prosper Mfugale baada ya mwandishi huyo kukiri kutoa maudhui Katika Mtandao wa YouTube bila ya kuwa na leseni kutoka mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA), hata hivyo Mfugale amelipa faini hiyo na kuachiwa huru.

Mfugale alikamatwa mnamo Februari 29 Mwaka huu na kushikiliwa kwa siku nne kituo cha polisi Njombe na tarehe 4 Machi alifunguliwa...

 

10 years ago

Habarileo

Basata yamtupa ‘jela’ Shilole mwaka mmoja

BARAZA la Sanaa Tanzania (BASATA) limemfungia mwanamuziki Zuwena Mohamed ‘Shilole’ kujihusisha na kazi yoyote ya sanaa kwa mwaka mmoja ndani ya nchi na nje.

 

10 years ago

BBCSwahili

'I am Happy' Pharrell taabani tena

Mwimbaji Pharell Williams sasa anashtumiwa na familia ya Marvin Gaye kwa kuiba utunzi wa gwiji huyo katika wimbo wake maarufu ''Happy''

 

10 years ago

Vijimambo

Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe AHUKUMIWA Jela Mwaka Mmoja.


MAHAKAMA ya wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, imemtia hatiani na kumhukumu Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe kwenda jela mwaka mmoja au kulipa faini ya Sh milioni moja, kutokana na kesi iliyokuwa ikimkabili ya kumshambulia mwangalizi wa ndani wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010.Akisoma hukumu hiyo iliyohudhuriwa na wabunge wengi wa Chadema, Hakimu Mkazi Mfawidhi, Denis Mpelembwa, alisema mahakama imemkuta Mbowe na hatia, hivyo kutakiwa kutumikia kifungo cha mwaka mmoja jela au kulipa...

 

11 years ago

Mwananchi

Wafungwa miaka 56 jela kwa kuharibu mali

Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani Rukwa, imewahukumu watu wanane wa Kijiji cha Sikaungu wilayani Sumbawanga, kutumikia kifungo cha miaka 56 jela baada ya kupatikana na hatia ya kuteketeza mali za mwekezaji zenye thamani ya zaidi ya Sh 227 milioni.

 

11 years ago

BBCSwahili

Walioiga wimbo wa Pharrell wakamatwa Iran

Kikundi cha mashabiki wa muziki nchini Iran walioiga wimbo wa mwanamuziki maarufu wa Marekani Pharrell Williams, 'Happy' wamekamatwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani