Nyosso kuongezewa adhabu
KLABU ya Azam FC imesema kuwa inajipanga kuchukua hatua za kisheria zaidi katika kufuatilia sakata la mchezaji wake John Bocco kudhalilishwa na mchezaji Juma Nyosso wa Mbeya City.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo02 Oct
Nyosso ajitetea
MCHEZAJI wa timu ya Mbeya City, Juma Said maarufu Nyosso amekitaka Chama cha Wachezaji wa Soka Tanzania (SPUTANZA), kumsaidia katika kupata haki yake. Beki huyo wa kati amefungiwa na Kamati ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) saa 72 inayofuatilia mwenendo wa Ligi Kuu na Ligi Daraja la Kwanza kutokana na kitendo cha utovu wa nidhamu alichoonesha katika mchezo wa timu yake hiyo dhidi ya Azam FC kwenye Uwanja wa Azam Complex hivi karibuni.
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Nyosso akaliwa kooni
9 years ago
Mtanzania08 Sep
Mkwasa kuongezewa mkataba Stars
JUDITH PETER NA JENIFFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) linafikiria kumpa mkataba wa kudumu kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Charles Boniface Mkwasa, pamoja na viongozi wengine wa benchi la ufundi baada ya kusaidia kuinua kiwango cha wachezaji ambao wameonekana kufurahia uwepo wake ndani ya kikosi hicho.
Viongozi wengine wa benchi la ufundi wanaofikiriwa ni Kocha Msaidizi, Hemed Morocco, kocha wa makipa Peter Manyika, Meneja Omary Kapilima na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LXZYmTRupZ*jvYDYh2DWIUTRCw1qbvWAedoVFqyzDcqTWy0ye1haeCgrkCHRpElCNl7b4eNw55xnYXnfB9o5*7h2bqUdvuei/Mgonjwa.jpg?width=650)
MGONJWA: SITAKI KUONGEZEWA DAMU
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Kilombero kuongezewa bajeti ya maji
SERIKALI inakusudia kuongeza sh bilioni 3.2 kwenye bajeti ya maji wilayani Kilombero ili kuboresha huduma hiyo mjini Ifakara. Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Azimana Mbilinyi, alieleza hayo hivi karibuni kwenye baraza...
9 years ago
BBCSwahili03 Nov
Je Pistorius kuongezewa kufungo leo?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DIpsX3jcHzMJNGGXe1DgFSWwD1io*PGCNZYjDt4V*p3ZhHSXf4YkulVbuJfk3cpRkNGt6eCg-MpOiKC8t5pO164kjB0SRN1f/JUMANYOSSOcopy.jpg?width=750)
Nyosso ampigia simu Maguri
9 years ago
Mtanzania30 Sep
Azam FC yamshukia Juma Nyosso
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
TIMU ya Azam imepeleka barua rasmi Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), ikiomba wamfungie beki wa Mbeya City, Juma Nyosso, kwa kitendo cha udhalilishaji dhidi ya nahodha wao, John Bocco.
Nyosso alifanya kosa hilo wakati timu yake ilipokubali kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya Azam, kwenye Uwanja wa Azam Complex, Jumapili iliyopita, tukio lililokemewa vikali kwa watu mbalimbali wakitaka beki huyo aadhibiwe vikali.
Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania...
9 years ago
Habarileo03 Oct
Sputanza yajitosa kwa Nyosso
MWENYEKITI wa Chama cha Wanasoka Tanzania (SPUTANZA), Musa Kisoky amesema wanawasiliana na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuona namna ya kumsaidia beki wa Mbeya City, Juma Said ‘Nyosso’ aliyefungiwa miaka miwili pamoja na faini ya Sh milioni mbili baada ya kumdhalilisha John Bocco wa Azam FC.