Kilombero kuongezewa bajeti ya maji
SERIKALI inakusudia kuongeza sh bilioni 3.2 kwenye bajeti ya maji wilayani Kilombero ili kuboresha huduma hiyo mjini Ifakara. Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Azimana Mbilinyi, alieleza hayo hivi karibuni kwenye baraza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 May
Bajeti za Maji, Nishati zaivuruga Serikali
11 years ago
Habarileo12 May
Mnyika ataka bajeti ya Maji isisomwe leo
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika ameshauri bajeti ya Wizara ya Maji isisomwe leo bungeni, badala yake irudishwe kwenye kamati ya bajeti waifumue kwa kuiongezea fedha.
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio)
Headlines za soka la bongo mtu wangu wa nguvu zimenifikia, safari hii sio kuhusu Simba na Yanga bali ni kuhusu staa wa soka aliyewahi kuvitumikia vilabu hivyo kwa nyakati mbili tofauti Danny Mrwanda, staa huyo ameingia kwenye headlines baada ya kuingia mkataba wa kuitumikia klabu ya Maji Maji FC ya Songea na kupewa malipo yake […]
The post Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Habarileo01 Oct
Nyosso kuongezewa adhabu
KLABU ya Azam FC imesema kuwa inajipanga kuchukua hatua za kisheria zaidi katika kufuatilia sakata la mchezaji wake John Bocco kudhalilishwa na mchezaji Juma Nyosso wa Mbeya City.
9 years ago
Mtanzania08 Sep
Mkwasa kuongezewa mkataba Stars
JUDITH PETER NA JENIFFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) linafikiria kumpa mkataba wa kudumu kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Charles Boniface Mkwasa, pamoja na viongozi wengine wa benchi la ufundi baada ya kusaidia kuinua kiwango cha wachezaji ambao wameonekana kufurahia uwepo wake ndani ya kikosi hicho.
Viongozi wengine wa benchi la ufundi wanaofikiriwa ni Kocha Msaidizi, Hemed Morocco, kocha wa makipa Peter Manyika, Meneja Omary Kapilima na...
9 years ago
BBCSwahili03 Nov
Je Pistorius kuongezewa kufungo leo?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LXZYmTRupZ*jvYDYh2DWIUTRCw1qbvWAedoVFqyzDcqTWy0ye1haeCgrkCHRpElCNl7b4eNw55xnYXnfB9o5*7h2bqUdvuei/Mgonjwa.jpg?width=650)
MGONJWA: SITAKI KUONGEZEWA DAMU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0jwS8IDgkuWYv93DdWn8TkbobhK5l366BqmJj818moLqe90FDcm6iCcBBI-7m8979m8kJWUHEUx3cWWR70-3MC0CR6PhLP1N/mwakalebela.jpg?width=650)
MWAKALEBELA: BUNGE KUONGEZEWA MUDA IKIWA...
9 years ago
Mtanzania20 Nov
Sanchez, Ozil kuongezewa mikataba Arsenal
LONDON, ENGLAND
NYOTA wa klabu ya Arsenal, Alexis Sanchez na Mesut Ozil wanatarajiwa kuongezewa mikataba mipya ambayo itawafanya wachezaji hao kukaa kwa muda mrefu katika klabu hiyo.
Klabu hiyo tayari imeanza mazungumzo na Sanchez, ambapo mchezaji huyo ameonekana kukubali kuongeza mkataba wa miaka mitano kwa kitita cha pauni 155,000 kwa wiki.
Katika mkataba wake wa sasa, Sanchez anachukua kitita cha pauni 130,000 kwa wiki, lakini mkataba huo utamfanya aongeze kitita cha pauni 25,000 na...