Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je Pistorius kuongezewa kufungo leo?

Mahakama kuu ya rufaa nchini Afrika Kusini huenda ikaamua leo hii iwapo Mwanariasha mlemavu wa miguu Oscar Pistorius amehusika na mauaji ama la.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

kesi ya Pistorius yaendelea leo

Kesi ya mauji ya mwanariadha wa Afrika kusini ,Pistorius, inaendelea kusikilizwa leo baada mapumziko ya wiki 6.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Oscar Pistorius kuanza leo

Kesi dhidi ya bingwa wa mashindano ya Olimpiki kwa wanariadha walemavu kutoka Afrika Kusini, Oscar Pestorius, inaanza leo.

 

10 years ago

GPL

PISTORIUS KUJUA HATMA YAKE LEO

Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius yuko mahakamani mjini Pretoria ambako jaji anatoa hukumu dhidi yake leo. Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius yuko mahakamani mjini Pretoria ambako jaji anatoa hukumu dhidi yake . Hii ni baada ya mwanariadha huyo mlemavu kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp mwaka uliopita. Mwanariadha wa Afrika Kusini… ...

 

9 years ago

Habarileo

Nyosso kuongezewa adhabu

KLABU ya Azam FC imesema kuwa inajipanga kuchukua hatua za kisheria zaidi katika kufuatilia sakata la mchezaji wake John Bocco kudhalilishwa na mchezaji Juma Nyosso wa Mbeya City.

 

10 years ago

GPL

MGONJWA: SITAKI KUONGEZEWA DAMU

Stori: Makongoro Oging’ na lssa Mnally/UWAZI
Muumini wa Kanisa la Jehova Witness, Richard Abdoni Juma, 44, (pichani), mkazi wa Mtaa wa Migera wilaya ya Bukoba mkoani Kagera, ambaye alitarajiwa kufanyiwa upasuaji katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kutokana na ajali, madaktari wameshindwa kufanya hivyo kutokana na imani ya dini yao. Bw. Richard Abdoni Juma, (44) anayedaiwa kupata ajali na kuvunjika nyonga. AGUNDULIKA...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kilombero kuongezewa bajeti ya maji

SERIKALI inakusudia kuongeza sh bilioni 3.2 kwenye bajeti ya maji wilayani Kilombero  ili kuboresha huduma hiyo mjini Ifakara. Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Azimana Mbilinyi, alieleza hayo hivi karibuni kwenye baraza...

 

9 years ago

Mtanzania

Mkwasa kuongezewa mkataba Stars

Mkwasa-CharlesJUDITH PETER NA JENIFFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) linafikiria kumpa mkataba wa kudumu kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Charles Boniface Mkwasa, pamoja na viongozi wengine wa benchi la ufundi baada ya kusaidia kuinua kiwango cha wachezaji ambao wameonekana kufurahia uwepo wake ndani ya kikosi hicho.

Viongozi wengine wa benchi la ufundi wanaofikiriwa ni Kocha Msaidizi, Hemed Morocco, kocha wa makipa Peter Manyika, Meneja Omary Kapilima na...

 

9 years ago

Mtanzania

Sanchez, Ozil kuongezewa mikataba Arsenal

Alexis Sanchez, Mesut OzilLONDON, ENGLAND

NYOTA wa klabu ya Arsenal, Alexis Sanchez na Mesut Ozil wanatarajiwa kuongezewa mikataba mipya ambayo itawafanya wachezaji hao kukaa kwa muda mrefu katika klabu hiyo.

Klabu hiyo tayari imeanza mazungumzo na Sanchez, ambapo mchezaji huyo ameonekana kukubali kuongeza mkataba wa miaka mitano kwa kitita cha pauni 155,000 kwa wiki.

Katika mkataba wake wa sasa, Sanchez anachukua kitita cha pauni 130,000 kwa wiki, lakini mkataba huo utamfanya aongeze kitita cha pauni 25,000 na...

 

11 years ago

GPL

MWAKALEBELA: BUNGE KUONGEZEWA MUDA IKIWA...

Na Elvan Stambuli
MWANASIASA na  mdau wa soka kijana,  Frederick Mwakalebela ametabiri kuwa ikiwa malumbano ndani ya Bunge Maalum la Katiba linaloketi mjini Dodoma litaendeleza malumbano ya makundi, bunge hilo litaongezewa muda na hata kusababisha Uchaguzi Mkuu wa  2015 kusogezwa mbele. Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za gazeti hili Bamaga Mwenge jijini Dar mwishoni mwa wiki iliyopita, Mwakalebela...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani