MWAKALEBELA: BUNGE KUONGEZEWA MUDA IKIWA...
![](http://api.ning.com:80/files/0jwS8IDgkuWYv93DdWn8TkbobhK5l366BqmJj818moLqe90FDcm6iCcBBI-7m8979m8kJWUHEUx3cWWR70-3MC0CR6PhLP1N/mwakalebela.jpg?width=650)
Na Elvan Stambuli MWANASIASA na mdau wa soka kijana, Frederick Mwakalebela ametabiri kuwa ikiwa malumbano ndani ya Bunge Maalum la Katiba linaloketi mjini Dodoma litaendeleza malumbano ya makundi, bunge hilo litaongezewa muda na hata kusababisha Uchaguzi Mkuu wa 2015 kusogezwa mbele. Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za gazeti hili Bamaga Mwenge jijini Dar mwishoni mwa wiki iliyopita, Mwakalebela...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Ridhiwani ampinga Manji kuongezewa muda Jangwani
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Chadema kususia Bunge la Katiba ikiwa...
10 years ago
Mwananchi27 Mar
Bunge lapitisha muswada, sasa waandishi kufungwa jela ikiwa...
11 years ago
Habarileo30 May
Bunge la Bajeti kuongezwa muda
MKUTANO wa 15 wa Bunge la Bajeti uliopangwa kumalizika Juni 27, mwaka huu, sasa utaongezewa muda kuruhusu Muswada wa Serikali na Azimio la Bunge juu ya migogoro ya wafugaji na wakulima. Kabla ya kuahirisha kikao cha juzi, Spika wa Bunge, Anne Makinda alieleza kuwa upo uwezekano huo wa Bunge kusogezwa mbele zaidi.
11 years ago
Mwananchi04 Apr
Muda Bunge la Katiba hautoshi
11 years ago
Habarileo03 Apr
Kamati za Bunge zalia na muda
ASILIMIA kubwa ya Kamati 12 za Bunge Maalumu la Katiba, zimedai muda uliotolewa kujadili sura mbili hautoshi, hivyo zinatarajia kuomba kuongezewa, zikamilishe. Kamati hizo 12 zilianza tangu juzi kujadili Sura ya Kwanza na ya Sita za rasimu hiyo na zilitakiwa kukamilisha kazi hiyo kabla ya leo.
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Kificho mwenyekiti wa muda Bunge la Katiba
11 years ago
Mwananchi30 May
Muswada wa VAT waongeza muda wa Bunge
11 years ago
Habarileo09 Apr
BUNGE LA KATIBA: JK akubali muda zaidi
RAIS Jakaya Kikwete amekubali kuongeza muda wa Bunge Maalumu la Katiba katika mazungumzo aliyofanya na mwenyekiti wake, Samuel Sitta.