Muda Bunge la Katiba hautoshi
>Wajumbe wa Bunge la Katiba wametofautiana kuhusu muda wa siku 70 na nyongeza ya siku 20 ambao umetengwa kwa mujibu wa sheria kwa ajili ya Bunge hilo kufanya kazi zake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi01 Mar
MCHAKATO KATIBA MPYA: Kwa nini muda wa BVR hautoshi kwa Kura ya Maoni
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Kificho mwenyekiti wa muda Bunge la Katiba
11 years ago
Habarileo09 Apr
BUNGE LA KATIBA: JK akubali muda zaidi
RAIS Jakaya Kikwete amekubali kuongeza muda wa Bunge Maalumu la Katiba katika mazungumzo aliyofanya na mwenyekiti wake, Samuel Sitta.
11 years ago
Habarileo19 Feb
Kificho Mwenyekiti wa muda Bunge Maalum la Katiba
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho, amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalum la Katiba, katika uchaguzi uliofanyika jana mjini hapa.
10 years ago
KwanzaJamii10 Sep
Uamuzi Mgumu, Rais Hataongeza Muda Bunge la Katiba
10 years ago
Mwananchi10 Sep
Uamuzi mgumu,Rais hataongeza muda Bunge la Katiba
11 years ago
Mwananchi18 Feb
Pandu achaguliwa mwenyekiti wa muda #Bunge Maalum la Katiba
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Kamati #Bunge la #Katiba zaongezewa muda, wajumbe waonesha wasiwasi [VIDEO]
11 years ago
MichuziMhe.Pandu Ameir Kificho ndiye Mwenyekiti wa Muda wa Bunge la Katiba.
Bunge Maalumu la Katiba limemchagua Mhe. Pandu Ameir Kificho (pichani) kuwa Mwenyekiti wa Muda wa Bunge la Katiba. Katika uchaguzi wa nafasi hiyo uliofanyika kwenye Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma, Mh.Kificho ameshinda kwa Kura 393 sawa na Asilimia 69.Washindani wengine, Bi.Magret na Mhe.Mahalu wamepata Kura 84 kila mmoja sawa na Asilimia 15.79%. Akitangaza matokeo hayo Katibu wa Bunge Dk Thomas Kashililah alisema Mhe. Kificho ameshinda baada ya kupata kura 393 sawa na 69.19% ya kura 558...