Bunge la Bajeti kuongezwa muda
MKUTANO wa 15 wa Bunge la Bajeti uliopangwa kumalizika Juni 27, mwaka huu, sasa utaongezewa muda kuruhusu Muswada wa Serikali na Azimio la Bunge juu ya migogoro ya wafugaji na wakulima. Kabla ya kuahirisha kikao cha juzi, Spika wa Bunge, Anne Makinda alieleza kuwa upo uwezekano huo wa Bunge kusogezwa mbele zaidi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Bunge lahaha kusaka muda zaidi wa Bajeti
10 years ago
StarTV27 Feb
Makambako waomba muda wa uandikishaji kuongezwa.
Na Mercy Sekabogo
Njombe.
Ikiwa ni siku chache tangu Serikali kuzinduliwa mpango wa uandikishaji Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mfumo wa Biometric Voter Registration (BVR), wakazi wa Hamashauri ya Mji wa Makambako mkoani Njombe wameiomba Serikali kuongeza muda wa kujiandikisha.
Kauli hiyo inakuja baada ya kuwepo kwa dalili za watu kukosa nafasi hiyo kutokana na idadi kubwa ya watu wanaolala vituoni wakisubiri foleni asubuhi na kukosa fursa hiyo.
Unadikishaji wa Daftari la...
10 years ago
Mwananchi28 May
Bunge kuongezwa kwa siku 10 kujadili miswada
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Kamati ya Bajeti yahofia muda wa uchambuzi
11 years ago
Mwananchi25 May
Mzimu wa Bunge la Katiba watikisa Bunge la Bajeti
11 years ago
Michuzi08 May
11 years ago
Michuzi.jpg)
KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA NA SERIKALI PAMOJA NA KAMATI YA BUNGE YA BAJETI MJINI DODOMA LEO
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Mwananchi12 May
Bunge la Bajeti mchakamchaka
11 years ago
Habarileo11 May
Ukawa marufuku Bunge la Bajeti
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda amesema ni marufuku kwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kufanya shughuli zake ndani ya Bunge la Bajeti.