Makambako waomba muda wa uandikishaji kuongezwa.
Na Mercy Sekabogo
Njombe.
Ikiwa ni siku chache tangu Serikali kuzinduliwa mpango wa uandikishaji Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mfumo wa Biometric Voter Registration (BVR), wakazi wa Hamashauri ya Mji wa Makambako mkoani Njombe wameiomba Serikali kuongeza muda wa kujiandikisha.
Kauli hiyo inakuja baada ya kuwepo kwa dalili za watu kukosa nafasi hiyo kutokana na idadi kubwa ya watu wanaolala vituoni wakisubiri foleni asubuhi na kukosa fursa hiyo.
Unadikishaji wa Daftari la...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Mar
Tume yavuka lengo la uandikishaji Makambako
11 years ago
Habarileo30 May
Bunge la Bajeti kuongezwa muda
MKUTANO wa 15 wa Bunge la Bajeti uliopangwa kumalizika Juni 27, mwaka huu, sasa utaongezewa muda kuruhusu Muswada wa Serikali na Azimio la Bunge juu ya migogoro ya wafugaji na wakulima. Kabla ya kuahirisha kikao cha juzi, Spika wa Bunge, Anne Makinda alieleza kuwa upo uwezekano huo wa Bunge kusogezwa mbele zaidi.
10 years ago
Michuzi.jpg)
Waziri Mkuu PINDA AZINDUA UANDIKISHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA MJINI MAKAMBAKO
.jpg)
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Mwananchi30 Jul
Muda wa uandikishaji BVR Dar waongezwa
10 years ago
Mwananchi01 Aug
NEC iongeze muda zaidi Dar, au uandikishaji uboreshwe
11 years ago
Mwananchi24 Sep
Waomba muda wa usajili pikipiki uongezwe
10 years ago
Mwananchi07 Dec
Wataalamu anga kuongezwa
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Wanajeshi kuongezwa kupambana na ISIL
10 years ago
Habarileo06 May
Yashauriwa mishahara watumishi wa umma kuongezwa
KATIBU Mtendaji wa Tume ya Mipango nchini, Dk Philip Mpango ameishauri kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti kuisisitiza serikali kuongeza mishahara ya watumishi wa umma na kupunguza kodi inayokatwa kwenye mishahara hiyo.