Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yashauriwa mishahara watumishi wa umma kuongezwa

Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango nchini, Dk Philip MpangoKATIBU Mtendaji wa Tume ya Mipango nchini, Dk Philip Mpango ameishauri kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti kuisisitiza serikali kuongeza mishahara ya watumishi wa umma na kupunguza kodi inayokatwa kwenye mishahara hiyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Serikali: Mishahara ya watumishi umma kulipwa kupitia akaunti

1503815_296860763849492_1887980119363456138_n

Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba.

10702052_296860857182816_5636994517852994245_n

Na Eleuteri Mangi-MAELEZO

Serikali imeagiza watumishi wote wa umma walipwe mishahara moja kwa moja kupitia akaunti zao sahihi za benki ambazo zitatumika kupitishia mishahara yao.

Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba alipokuwa akiongea na waandishi wa habari ofisi za Hazina leo jijini Dar es salaam.

“Mishahara ya Watumishi wote wa Serikali, wakala na taasisi za umma italipwa moja kwa moja kupitia akaunti zao za banki” alisema...

 

10 years ago

Michuzi

Watumishi Housing Company na Kibaha Education Centre waafikiana kushirikiana katika ujenzi wa nyumba za watumishi wa umma

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mh Hawa Ghasia na Mwenyekiti wa Bodi ya Watumishi Housing Company (WHC) Bw. Adam Mayingu wakishuhudia Dr Cyiprian Mpemba (CEO- KEC) na Dr Fred Matola Msemwa (CEO- WHC) wakitia saini wa makubaliano ya ushirikiano kati ya WHC na Kibaha Education Centre(KEC)   ambapo KEC itatoa ardhi kwa ujenzi wa nyumba 1150 za watumishi wa umma katika eneo la Mailimoja mjini Kibaha.Waliosimama kusho ni Mwanasheria wa WHC Bw Joel Maeda....

 

5 years ago

Michuzi

DKT MWANJELWA AWATAKA WATUMISHI HOUSE KUWEKA KIPAUMBELE WATUMISHI WA UMMA KUNUNUA NYUMBA ZA TAASISI HIYO

NAIBU Waziri wa nchi ofisi ya Rais utumishi wa umma na utawala bora.Dkt Mary Mwanjelwa amewataka watumishi House kuweka kipaumbele Kwa watumishi wa umma kuweza kupata nafasi ya kununua nyumba ambazo zinajengwa na taasisi hiyo ya umma.
 Amesema licha kutoa kipaumbele Kwa watumishi wa umma lakini pia asilimia nyingine lazima iende Kwa  watumishi ambao wapo kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.
Dkt Mwanjelwa ameyasema hayo jijini Dar es Salaam leo mara baada ya kutembelea moja ya miradi...

 

9 years ago

Vijimambo

WATUMISHI HOUSING COMPANY, BENKI YA CRDB WATIA SAINI MKATABA WA MIKOPO YA NYUMBA KWA WATUMISHI WA UMMA


Mkurugenzi wa Benki ya CCRD, Dk.Charles Kimei (kulia) na Mkurugenzi wa Watumishi Housing Company, Dk. Fred Msemwa wakisaini mkataba wa mikopo ya nyumba kwa watumishi wa Umma Dar es Salaam leo asubuhi.
Katibu wa Benki ya CRDB, John Rugambo (kulia), akitia saini mkataba huo. Kutoka kushoto ni Chief Operation Officer wa WHCTZ, Weja Ng'olo, Ofisa Mtendaji Mkuu wa TMRC, Oscar Mgaya, Mkurugenzi wa Watumishi Housing Company, Dk.Fred Msemwa na Mkurugenzi wa Benki ya CRDB, Charles Kimei.
Mkurugenzi wa...

 

5 years ago

Michuzi

TUME YA UTUMISHI WA UMMA KUANZA KUSIKILIZA KERO NA MALALAMIKO YA WATUMISHI WA UMMA

Tume ya Utumishi wa Umma inapenda kuwajulisha watumishi wa umma na wananchi wote kuwa kuanzia leo tarehe 16 hadi 23 Juni 2020,  itakuwa inapokea na kusikiliza kero na malalamiko ya watumishi wa umma kuhusu masuala mbalimbali ya kiutumishi. Hii ni katika kuadhimisha Wiki ya Utumishi wa Umma.
Tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona inapewa kipaumbele katika kipindi hiki. Tunatakiwa kuzingatia Miongozo inayotolewa na Wizara ya Afya pamoja na maelekezo ya Viongozi Wakuu wa Nchi. Aidha,  watumishi...

 

10 years ago

Habarileo

Kodi katika mishahara ya watumishi kupunguzwa

SERIKALI imesikia kilio cha watumishi wa umma, baada ya kuahidi kupunguza viwango vya makato ya kodi katika mishahara ya watumishi hao kutoka asilimia 12 za sasa hadi kiwango kinachofikia tarakimu moja.

 

10 years ago

Mwananchi

TPDC: Mishahara haijaombwa kwa watumishi wote

Siku moja baada kuibuliwa pendekezo na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuongeza mishahara watumishi wake, Mkurugenzi wa Masoko wa TPDC, Joyce Kisamo amesema fedha hizo hazijaombwa kwa ajili ya wafanyakazi wote na ametetea viwango hivyo kuwa vipo chini ya hali halisi ndani ya sekta ya gesi na mafuta nchini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mishahara ya wakuu wa umma yakatwa ZIM

Wakuu wa makampuni ya umma nchini Zimbabwe watakatwa mishahara baada ya kubainika kwa kashfa ya malipo yasiyo halali

 

10 years ago

Michuzi

Serikali yatoa ufafanuzi malipo ya mishahara ya watumishi ya mwezi Julai

Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati alipokuwa akifafanua juu ya malipo ya mishahara ya watumishi yaliyofanyika mwezi Julai mwaka huu leo jijini Dar es salaam ambapo ameonya mamlaka husika ziwe na taarifa sahihi za idadi ya watumishi ili kuondoa makosa ya kulipa mishahara hewa, endapo kutatokea makosa ya ulipaji wa mishahara hewa watachukuliwa hatua za kisheria na kufikishwa mahakamani. (Picha zote na Eleuteri Mangi – MAELEZO)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani