Serikali: Mishahara ya watumishi umma kulipwa kupitia akaunti
Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba.
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Serikali imeagiza watumishi wote wa umma walipwe mishahara moja kwa moja kupitia akaunti zao sahihi za benki ambazo zitatumika kupitishia mishahara yao.
Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba alipokuwa akiongea na waandishi wa habari ofisi za Hazina leo jijini Dar es salaam.
“Mishahara ya Watumishi wote wa Serikali, wakala na taasisi za umma italipwa moja kwa moja kupitia akaunti zao za banki” alisema...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo06 May
Yashauriwa mishahara watumishi wa umma kuongezwa
KATIBU Mtendaji wa Tume ya Mipango nchini, Dk Philip Mpango ameishauri kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti kuisisitiza serikali kuongeza mishahara ya watumishi wa umma na kupunguza kodi inayokatwa kwenye mishahara hiyo.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QhD7_sBdeu0/VSv4WdWjFFI/AAAAAAAHQ_U/_cTQr5K96-8/s72-c/899.jpg)
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR YAWAHAKIKISHIA WAFANYAKAZI WA SHAMBA LA MPIRA KICHWELE KULIPWA MISHAHARA YAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-QhD7_sBdeu0/VSv4WdWjFFI/AAAAAAAHQ_U/_cTQr5K96-8/s1600/899.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fV3IW8s_SMA/VSv4VAob2GI/AAAAAAAHQ_E/umYJ8miH2F8/s1600/887.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-h3V4AVObwrQ/VSv4VDNDyfI/AAAAAAAHQ_A/Gai7gKoZQBc/s1600/891.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eegszFxHmBY/VeauaIT8rYI/AAAAAAAABlM/tyezAN8UoTM/s72-c/PIX%2B02.jpg)
WATUMISHI WA UMMA WA MKOA WA MBEYA NA NYANDA ZA JUU KUSINI WATAKIWA KUJIENDELEZA KUPITIA TAWI LA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TANZANIA TAWI LA MBEYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-eegszFxHmBY/VeauaIT8rYI/AAAAAAAABlM/tyezAN8UoTM/s640/PIX%2B02.jpg)
Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma,HAB Mkwizu, akizungumza wakati wa mahafali ya 22 ya Chuo cha Utumishi Tanzania (TPSC) na ya kwanza kwa tawi la Mbeya hivi karibuni Jijini Mbeya.
Sehemu ya wahitimu wa Chuo Cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) Tawi la Mbeya wakiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SWao2D0yDpk/U_dojK2WAnI/AAAAAAAGBec/rKrd2ifPCRA/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
Serikali yatoa ufafanuzi malipo ya mishahara ya watumishi ya mwezi Julai
![](http://2.bp.blogspot.com/-SWao2D0yDpk/U_dojK2WAnI/AAAAAAAGBec/rKrd2ifPCRA/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FKFXP-ppbBU/U_dolD_hMZI/AAAAAAAGBek/W7fya7AVUfE/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper13 Nov
Serikali kulipa deni la watumishi wa umma
WATUMISHI wa Umma wanaidai serikali zaidi ya sh. bilioni nane, ikiwa ni malimbikizo ya madeni.
Hata hivyo, serikali imesema kiasi hicho ni kidogo ikilinganishwa na madai yaliyokuwepo awali, ambapo watumishi walikuwa wakiidai serikali fedha nyingi.
Hayo yameelezwa bungeni jana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma), Celina Kombani, ambapo alisema jitihada zinaendelea kufanywa ili kumaliza deni hilo.
Alikuwa akijibu swali la Masoud Abdalla Salim (Mtambile- CUF), ambaye...
10 years ago
MichuziSerikali imejipanga kutatua tatizo la makazi kwa watumishi wa umma
Serikali imejipanga kutatua tatizo la makazi kwa watumishi wa umma kwa kujenga nyumba Elfu 10 za gharama nafuu kote nchini.
Hayo yamesemwa jijini Dar es Salaam na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Bw.Elius Mwakalinga wakati wa ziara ya waandishi wa habari katika miradi mbalimbali inayotekelezwa na wakala huo jijini Dar es Salaam na Pwani.
Mwakalinga alisema kuwa mradi huo wa nyumba elfu 10 unaogharimu zaidi ya shilingi bilioni 18 unahusisha nyumba...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-22W4xJgKL2k/VXhEVvQrkiI/AAAAAAAHecM/ZJ3aVvcZwa0/s72-c/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
Benki ya NBC yazindua kampeni ya akaunti za mishahara
![](http://2.bp.blogspot.com/-22W4xJgKL2k/VXhEVvQrkiI/AAAAAAAHecM/ZJ3aVvcZwa0/s640/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qNMl4GdjXvg/VXhEVviLMQI/AAAAAAAHecU/BQK_YhegMtc/s640/.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-22Ku11mfSd8/U0t-aWzYvlI/AAAAAAAFaic/tqFw7sHWdnE/s72-c/UN2.jpg)
Watumishi wa Serikali na Mashirika ya Umma wafanya Tamasha la Michezo ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-22Ku11mfSd8/U0t-aWzYvlI/AAAAAAAFaic/tqFw7sHWdnE/s1600/UN2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2DdA8U6FEjc/VgIfrokoS7I/AAAAAAAH61k/ElVq5hhqsAQ/s72-c/1n.jpg)
Washindi zaidi wapatikana kampeni ya akaunti za mishahara ya Benki ya NBC
![](http://2.bp.blogspot.com/-2DdA8U6FEjc/VgIfrokoS7I/AAAAAAAH61k/ElVq5hhqsAQ/s640/1n.jpg)