SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR YAWAHAKIKISHIA WAFANYAKAZI WA SHAMBA LA MPIRA KICHWELE KULIPWA MISHAHARA YAO

Balozi Seif akiwaahidi Wafanyakazi wa shamba la Mipira Kichwele hatua zitakazochukuliwa na Serikali juu ya matatizo yao likiwemo la kulipwa haki zao.Picha na – OPMR – ZNZ.
Mmoja wa Wafanyakazi wa shamba la Mipira Kichwele akiwasilisha malalamiko yao mbele ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi hayupo pichani wakidai kutolipwa mishahara yao kati ya miezi mitatu hadi Minane.
Mwakilishi wa Kampuni ya Agro Tec ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Bidi ya Uongozi wa Kampuni hiyop...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog19 Sep
Serikali: Mishahara ya watumishi umma kulipwa kupitia akaunti
Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba.
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Serikali imeagiza watumishi wote wa umma walipwe mishahara moja kwa moja kupitia akaunti zao sahihi za benki ambazo zitatumika kupitishia mishahara yao.
Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba alipokuwa akiongea na waandishi wa habari ofisi za Hazina leo jijini Dar es salaam.
“Mishahara ya Watumishi wote wa Serikali, wakala na taasisi za umma italipwa moja kwa moja kupitia akaunti zao za banki” alisema...
5 years ago
Michuzi
SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR YASIKITISHWA NA BAADHI YA WATENDAJI WA TAASISI YA ARDHI KUTOKUWA WAAMINIFU KATIKA MAJUKUMU YAO
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alitoa masikitiko hayo wakati akijibu Hoja za Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kufuatia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara yake aliyoiwasilisha katika Kikao cha Bajeti cha...
5 years ago
Michuzi
WAFANYAKAZI IMPALA GROUP WAMUOMBA MH.RAIS KUINGILIA KATI WAPATE MISHAHARA YAO

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wafanyakazi hao ambao wapo majumbani na wengine kazini wakisotea mishahara yao bila kulipwa kwa zaidi ya miezi nane huku Mkurugenzi mbele ya waziri akiahidi kuwapa mishahara yao January 31...
10 years ago
Michuzi
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR YAWAONYA WATENDAJI WA SERIKALI NA TAASISI ZAKE
Onyo hilo limetolewa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali wakati akizungumza na Wafanyakazi wa Idara ya upigaji chapa na Mpiga chapa Mkuu wa Serikali baada ya kuangalia utendaji kazi wa fanyakazi hao katika sehemu mbali mbali za Kiwandi hicho hapo...
9 years ago
StarTV27 Nov
Wafanyakazi wa TRL waiomba Serikali kuingilia kati madai yao ya malimbikizo
Wafanyakazi wa Kampuni ya Reli Tanzania TRL wameiomba Serikali kuingilia kati mgogoro wa malipo ya malimbikizo ya mshahara wao wa miezi mitano wanaoudai uongozi wa kampuni hiyo.
Wafanyakazi wa kampuni hiyo wametishia kwenda Ikulu kumuona Rais John Magufuli iwapo hawatolipwa malimbikizo ya jumla ya Shilingi Bilioni 2.4 ya kuanzia Julai hadi Novemba 2014.
Wafanyakazi hao wa Kampuni ya Reli nchini waliimba wimbo wa mshikamano baada ya uongozi wa kampuni kuondoka katika mkutano baina yao...
9 years ago
Michuzi26 Nov
11 years ago
Michuzi.jpg)
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar yawasaidia Wavuvi wa Kijiji cha Kivunge
Ikasisitiza tena na kuonya kwamba hilo litakuwa ni tukio la mwisho kubebwa na Serikali la kulipa fidia kwa migogoro yoyote itakayosababishwa na wana jamii katika maeneo mbali mbali kutokana na...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Serikali yawahakikishia wawekezaji miundombinu bora
SERIKALI imewahakikishia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuwa itaendelea kuhakikisha inajenga miundombinu imara na muhimu kama barabara ili kufanya kazi zao kuwa nyepesi na hivyo kufikia maendeleo. Waziri...
11 years ago
Mwananchi04 Apr
Wafanyakazi Shoprite waanza kulipwa