Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyakazi Shoprite waanza kulipwa

Hatimaye wafanyakazi wa maduka ya Shoprite wameanza kulipwa mafao yao baada ya kupewa barua za kuachishwa kazi na menejimenti.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyakazi Shoprite wagoma

ZAIDI ya wafanyakazi 100 wa maduka ya Shoprite jijini Dar es Salaam wamegoma baada ya mmiliki wa maduka hayo kushindwa kuwalipa malimbikizo ya fedha zao tangu mwaka 2008 hadi sasa....

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR YAWAHAKIKISHIA WAFANYAKAZI WA SHAMBA LA MPIRA KICHWELE KULIPWA MISHAHARA YAO

Balozi Seif akiwaahidi Wafanyakazi wa shamba la Mipira Kichwele hatua zitakazochukuliwa na Serikali juu ya matatizo yao likiwemo la kulipwa haki zao.Picha na – OPMR – ZNZ. Mmoja wa Wafanyakazi wa shamba la Mipira Kichwele akiwasilisha malalamiko yao mbele ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi hayupo pichani wakidai kutolipwa mishahara yao kati ya miezi mitatu hadi Minane. Mwakilishi wa Kampuni ya Agro Tec ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Bidi ya Uongozi wa Kampuni hiyop...

 

11 years ago

TheCitizen

Ruling on Shoprite takeover coming

The Fair Competition Commission (FCC) is this month expected to make a ruling on a request by Nakumatt Tanzania to take over operations of Shoprite Checkers Tanzania.

 

11 years ago

TheCitizen

Shoprite shops close pending acquisition

Services in Shoprite Tanzania centres have been suspended for three weeks to facilitate a takeover by Nakumati Holdings Limited.

 

11 years ago

Mwananchi

Mahakama yatengua makubaliano ya Shoprite, Nakumat

Mahakama Kuu, Kitengo cha Kazi, imezuia mtandao wa maduka ya Shoprite usiuze, usihamishe wala kukabidhi maduka yake kwa Kampuni ya Nakumat hadi mgogoro wake na wafanyakazi utakapomalizika.

 

11 years ago

TheCitizen

Tuico seeks to block Shoprite transfer

>The Labour Division of the High Court will  today hear an injunction filed by  the Tanzania Union of Industrial and Commercial Workers (Tuico) that aims  at blocking business ownership transfer from Shoprite Checkers (T) Limited to Nakumatt of Kenya.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Ofa’ Shoprite yazua tafrani Mlimani City

 Ofa ya punguzo la asilimia 50 kutoka duka la bidhaa la Shoprite, lililopo Mlimani City, jana ilizua taharuki baada ya kufurika umati mkubwa wa watu wakigombea kuingia ndani ya duka hilo bila kufuata utaratibu wa kupanga foleni.

 

11 years ago

TheCitizen

Shoprite workers boycott to demand Sh200m benefits

>Workers of the largest supermarket, Shoprite-Checkers Ltd are demanding terminal benefits of more than Sh200 million.

 

11 years ago

Michuzi

Seli imesitishwa baada ya zogo hadi ffu kuitwa shoprite mlimani city

 Hali iko shwari jioni hii katika shopping Mall ya Mlimani City jijini Dar es salaam baada ya wamiliki wapya wa iliyokuwa Shoprite Stores Nakumatt kuamua kufunga seli iliyozua zogo hata ikabidi leo mchana FFU waitwe kutuliza ghasia. Matangazo yanajieleza nini kitaendelea Jumatatu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani