Wafanyakazi wa TRL waiomba Serikali kuingilia kati madai yao ya malimbikizo
Wafanyakazi wa Kampuni ya Reli Tanzania TRL wameiomba Serikali kuingilia kati mgogoro wa malipo ya malimbikizo ya mshahara wao wa miezi mitano wanaoudai uongozi wa kampuni hiyo.
Wafanyakazi wa kampuni hiyo wametishia kwenda Ikulu kumuona Rais John Magufuli iwapo hawatolipwa malimbikizo ya jumla ya Shilingi Bilioni 2.4 ya kuanzia Julai hadi Novemba 2014.
Wafanyakazi hao wa Kampuni ya Reli nchini waliimba wimbo wa mshikamano baada ya uongozi wa kampuni kuondoka katika mkutano baina yao...
StarTV
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kM6XllruIGg/XqmkOtenvsI/AAAAAAAAJRU/PF8Sz6r4sD8AylvsBTFOsycHAKug42mMwCLcBGAsYHQ/s72-c/naura-spring-hotel.jpg)
WAFANYAKAZI IMPALA GROUP WAMUOMBA MH.RAIS KUINGILIA KATI WAPATE MISHAHARA YAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-kM6XllruIGg/XqmkOtenvsI/AAAAAAAAJRU/PF8Sz6r4sD8AylvsBTFOsycHAKug42mMwCLcBGAsYHQ/s640/naura-spring-hotel.jpg)
Wakizungumza kwa nyakati tofauti wafanyakazi hao ambao wapo majumbani na wengine kazini wakisotea mishahara yao bila kulipwa kwa zaidi ya miezi nane huku Mkurugenzi mbele ya waziri akiahidi kuwapa mishahara yao January 31...
9 years ago
StarTV15 Dec
Wafugaji Wilayani Serengeti waiomba serikali kuwarejeshea Eneo La Kuchungia Mifugo yao
Wafugaji wa vijii vinavyopakana na Hifadhi ya Serengeti katika Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, wameiomba Serikali kuwarejeshea eneo la Kawanga walilokuwa wanalitumia kuchungia mifugo yao, ambalo lilichukuliwa na Serikali na kumpatia mwekezaji bila ya wao kushirikishwa.
Wakitoa kero zao kwa mbunge wa Jimo la Bunda, Boniphace Mwita, wakazi wa vijiji hivyo wameiomba Serikali kuwadhibiti wanyama aina ya Tembo, wanaotoka katika Hifadhi ya Serengeti ambao wamekuwa kero kubwa kutokana na kuvamia...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zV5JGh6vsUo/VkHxr6z0AsI/AAAAAAAIFNQ/nB9gGzrVRfE/s72-c/patandi%2B1.jpg)
SERIKALI IMEOMBWA KUINGILIA KATI SAKATA LA FAMILIA YA JUMA ISANGU, ARUMERU
![](http://2.bp.blogspot.com/-zV5JGh6vsUo/VkHxr6z0AsI/AAAAAAAIFNQ/nB9gGzrVRfE/s640/patandi%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YY1LSlQCNT4/VkHxsbC4toI/AAAAAAAIFNU/7OEGFakVyLc/s640/patandi%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YbEpVVztUro/VUjcbIJ9WII/AAAAAAAHVi0/aTb7s3giIIM/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
MGOMO WA MADEREVA WAISHA KWA MUAFAKA WA MADAI YAO KUSHUGHULIKIWA NA SERIKALI
![](http://2.bp.blogspot.com/-YbEpVVztUro/VUjcbIJ9WII/AAAAAAAHVi0/aTb7s3giIIM/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
Na Bakari Issa MajeshiMgomo wa Madereva uliodumu kwa takriban siku moja na ushee, hatimaye umepata muafaka baada ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Paul Makonda (pichani) kufanikiwa kuusuluhisha kwa kusaini makubaliano na Uongozi wa Chama cha Madereva.Makubaliano hayo yaliitaka Serikali kuboresha Mikataba kwa Madereva, malipo kwa madereva hao, pamoja na tatizo la ukaguzi wa magari ili kuondoa usumbufu kwa madereva hao, na kuiomba Serikali kufanya ukaguzi huo kwa siku moja tu.Akizungumza...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-qHN6Gx1K98w/VX8Y4iDAyOI/AAAAAAAAQ9U/rc-G6F277-Y/s72-c/E86A0136%2B%2528800x533%2529.jpg)
VYAMA VYA WAONGOZA WATALII NA WAPAGAZI TANZANIA WATOA SIKU 30 KWA SERIKALI KUSHUGHULIKIA MADAI YAO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-qHN6Gx1K98w/VX8Y4iDAyOI/AAAAAAAAQ9U/rc-G6F277-Y/s640/E86A0136%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AC_cH8VtVuY/VX8YvGo1ESI/AAAAAAAAQ8U/l8zR8jAyPH8/s640/E86A0087%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DkeFH6D1ptw/VX8YvE3MJHI/AAAAAAAAQ8Q/isUo1IEA28A/s640/E86A0089%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-y8i6j1tdc90/VX8Y45iFglI/AAAAAAAAQ9k/ndKVAmP1SJE/s640/E86A0144%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Hk0tVmG49d4/VX8YuhNwjrI/AAAAAAAAQ8M/j-xEODVsSfE/s640/E86A0090%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-axN4AEVKS1k/VX8Yxjmwy_I/AAAAAAAAQ8k/R-ye4CnEvb4/s640/E86A0091%2B%2528800x533%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3JHq4UBR3ME/XvBIC8CPctI/AAAAAAALu2w/mdflcwyIR2YvFAOKXivyrpoiT0OJZjHigCLcBGAsYHQ/s72-c/1-37-768x513.jpg)
SERIKALI YALETA SULUHU KATI YA WAFANYAKAZI NA MKANDARASI
![](https://1.bp.blogspot.com/-3JHq4UBR3ME/XvBIC8CPctI/AAAAAAALu2w/mdflcwyIR2YvFAOKXivyrpoiT0OJZjHigCLcBGAsYHQ/s640/1-37-768x513.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-25-1024x683.jpg)
Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, akizungumza na wafanyakazi waliokuwa wanafanyakazi katika Kampuni ya China Railway 15 Group na kudai malipo yao waliyokuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QhD7_sBdeu0/VSv4WdWjFFI/AAAAAAAHQ_U/_cTQr5K96-8/s72-c/899.jpg)
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR YAWAHAKIKISHIA WAFANYAKAZI WA SHAMBA LA MPIRA KICHWELE KULIPWA MISHAHARA YAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-QhD7_sBdeu0/VSv4WdWjFFI/AAAAAAAHQ_U/_cTQr5K96-8/s1600/899.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fV3IW8s_SMA/VSv4VAob2GI/AAAAAAAHQ_E/umYJ8miH2F8/s1600/887.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-h3V4AVObwrQ/VSv4VDNDyfI/AAAAAAAHQ_A/Gai7gKoZQBc/s1600/891.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
JK aombwa kuingilia kati fidia Mloganzila
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemuomba Rais Jakaya Kikwete kuingilia kati na kutoa kauli kwa umma kuhusu fidia ya ardhi kwa wananchi wa Kata ya Mwembe, eneo la Mloganzila...
11 years ago
Tanzania Daima12 May
DC aombwa kuingilia kati mgomo wa wananchi
MKUU wa Wilaya (DC) ya Hanang’, Christine Mndeme, ameombwa kuingilia kati suala la wananchi wa Kata ya Endasak kugoma kuchangia ujenzi wa maabara katika shule ya sekondari ya kata yao....