WAFANYAKAZI IMPALA GROUP WAMUOMBA MH.RAIS KUINGILIA KATI WAPATE MISHAHARA YAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-kM6XllruIGg/XqmkOtenvsI/AAAAAAAAJRU/PF8Sz6r4sD8AylvsBTFOsycHAKug42mMwCLcBGAsYHQ/s72-c/naura-spring-hotel.jpg)
Wafanyakazi wa hotel ya Naura Springs na Impala hotel pichani wanaodai mishahara yao Wafanyakazi wa Hotel za Impala na Naura Springs wanasotea mishahara yao tokea Mwezi wa Tisa mwaka jana huku uongozi wa kampuni hizo ukidai kuwa hauna fedha kutokana na Ugonjwa wa Covid 19.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti wafanyakazi hao ambao wapo majumbani na wengine kazini wakisotea mishahara yao bila kulipwa kwa zaidi ya miezi nane huku Mkurugenzi mbele ya waziri akiahidi kuwapa mishahara yao January 31...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xtnlwF9ufIM/Xk6lqDZpnzI/AAAAAAALelo/6jqIZ27vGHYyIF_XGSOunN5_6RQj1pT1wCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-02-20-05h41m13s605.png)
DC ataka kanisa kuendeleza ardhi,wananchi wamuomba Rais kuingilia kati
![](https://1.bp.blogspot.com/-xtnlwF9ufIM/Xk6lqDZpnzI/AAAAAAALelo/6jqIZ27vGHYyIF_XGSOunN5_6RQj1pT1wCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-02-20-05h41m13s605.png)
Wananchi wa kijiji cha Magoda halmashauri ya mji wa Njombe mkoani Njombe wameonyesha kutoridhishwa na uamuzi uliotolewa na mkuu wa wilaya Ruth Msafiri wa kuliachia kanisa la kiinjili la kilutheri Tanzania KKKT dayosisi ya kusini, ardhi yenye ukubwa wa zaidi ya ekari 580 kwa madai ya kwamba hawana sifa kisheria za umiliki wa eneo hilo.
Kufuatia agizo hilo ambalo limetolewa mbele ya mkutano wa hadhara, wananchi wanasema wanafikiri kwenda kuitafuta haki yao katika...
9 years ago
StarTV27 Nov
Wafanyakazi wa TRL waiomba Serikali kuingilia kati madai yao ya malimbikizo
Wafanyakazi wa Kampuni ya Reli Tanzania TRL wameiomba Serikali kuingilia kati mgogoro wa malipo ya malimbikizo ya mshahara wao wa miezi mitano wanaoudai uongozi wa kampuni hiyo.
Wafanyakazi wa kampuni hiyo wametishia kwenda Ikulu kumuona Rais John Magufuli iwapo hawatolipwa malimbikizo ya jumla ya Shilingi Bilioni 2.4 ya kuanzia Julai hadi Novemba 2014.
Wafanyakazi hao wa Kampuni ya Reli nchini waliimba wimbo wa mshikamano baada ya uongozi wa kampuni kuondoka katika mkutano baina yao...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QhD7_sBdeu0/VSv4WdWjFFI/AAAAAAAHQ_U/_cTQr5K96-8/s72-c/899.jpg)
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR YAWAHAKIKISHIA WAFANYAKAZI WA SHAMBA LA MPIRA KICHWELE KULIPWA MISHAHARA YAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-QhD7_sBdeu0/VSv4WdWjFFI/AAAAAAAHQ_U/_cTQr5K96-8/s1600/899.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fV3IW8s_SMA/VSv4VAob2GI/AAAAAAAHQ_E/umYJ8miH2F8/s1600/887.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-h3V4AVObwrQ/VSv4VDNDyfI/AAAAAAAHQ_A/Gai7gKoZQBc/s1600/891.jpg)
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Rais wa Yemen aitaka UN kuingilia kati
9 years ago
StarTV18 Dec
TALGWU wamuomba Rais Magufuli kusaidia malipo yao ya bilioni 18.
Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa TALGWU kimemuomba Rais John Magufuli kuingilia kati madai yao ili waweze kulipa malimbikizo yao ya zaidi ya Shilingi Bilioni 18 za wafanyakazi wa serikali za mitaa kabla ya kumalizika kwa Desemba mwaka huu.
Fedha hizo ambazo ni madai ya Agosti 2011 hadi Aprili mwaka 2012 zinadaiwa kuwa ni malimbikizo ya mishahara ya wafanyakazi ya likizo, masomo, uhamisho wa wafanyakazi pamoja na matibabu na kwamba zisipolipwa TALGWU inakusudia kuingia kwenye...
5 years ago
BBCSwahili05 Apr
Virusi vya Corona: Rais na mawaziri wa Malawi kukatatwa 10% ya mishahara yao
11 years ago
Tanzania Daima12 May
DC aombwa kuingilia kati mgomo wa wananchi
MKUU wa Wilaya (DC) ya Hanang’, Christine Mndeme, ameombwa kuingilia kati suala la wananchi wa Kata ya Endasak kugoma kuchangia ujenzi wa maabara katika shule ya sekondari ya kata yao....
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
JK aombwa kuingilia kati fidia Mloganzila
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemuomba Rais Jakaya Kikwete kuingilia kati na kutoa kauli kwa umma kuhusu fidia ya ardhi kwa wananchi wa Kata ya Mwembe, eneo la Mloganzila...
11 years ago
Habarileo25 Dec
Dk Slaa amtaka JK kuingilia kati unyanyasaji wananchi
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk Willibrod Slaa ameitaka Serikali ikomeshe unyanyasaji na ukatili dhidi ya wananchi.