JK aombwa kuingilia kati fidia Mloganzila
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemuomba Rais Jakaya Kikwete kuingilia kati na kutoa kauli kwa umma kuhusu fidia ya ardhi kwa wananchi wa Kata ya Mwembe, eneo la Mloganzila...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 May
DC aombwa kuingilia kati mgomo wa wananchi
MKUU wa Wilaya (DC) ya Hanang’, Christine Mndeme, ameombwa kuingilia kati suala la wananchi wa Kata ya Endasak kugoma kuchangia ujenzi wa maabara katika shule ya sekondari ya kata yao....
11 years ago
Habarileo24 Feb
Mnyika akumbushia fidia Mloganzila
MBUNGE wa Ubungo John Mnyika amemuomba Rais Jakaya Kikwete kuingilia kati na kutoa kauli kwa umma kuhusu fidia ya ardhi kwa wananchi wa Kata ya Mwembe eneo la Mloganzila kama ilivyoahidiwa kwa nyakati mbalimbali kati ya mwaka 2009 na 2010.
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Rais wa Yemen aitaka UN kuingilia kati
11 years ago
Habarileo25 Dec
Dk Slaa amtaka JK kuingilia kati unyanyasaji wananchi
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk Willibrod Slaa ameitaka Serikali ikomeshe unyanyasaji na ukatili dhidi ya wananchi.
11 years ago
Mwananchi23 Feb
NLD Zanzibar wamtaka Msajili kuingilia kati uteuzi
9 years ago
Habarileo18 Dec
ACT-Wazalendo yaomba Tanzania kuingilia kati Burundi
CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeiomba Serikali ya Tanzania kuingilia kati mgogoro wa kisiasa unaoendelea nchini Burundi na kusababisha machafuko. Taarifa iliyotolewa na Katibu wa Kamati ya Mambo ya Nje ya ACT -Wazalendo, Venance Msebo, imesema kuwa chama hicho kinasikitishwa na mauaji yanayoendelea nchini humo hasa mjini Bujumbura.
9 years ago
Mwananchi29 Oct
Seif aipinga ZEC, ataka jumuiya ya kimataifa kuingilia kati
9 years ago
StarTV12 Nov
ACT Wazalendo wamwomba Dk. Magufuli kuingilia kati mgogoro wa Zanzibari
Chama cha ACT Wazalendo kimemtaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Magufuli kuingilia kati suala la mgogoro wa Zanzibar na hatimaye matokeo ya uchaguzi yafahamike na mshindi atangazwe.
Kiongozi wa Chama hicho ambaye pia ni Mbunge mteule wa Kigoma Ujiji Zitto Kabwe amesema Rais asiposhughulikia suala hilo linaweza kusababisha mpasuko mkubwa.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kazi anazozifanya...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zV5JGh6vsUo/VkHxr6z0AsI/AAAAAAAIFNQ/nB9gGzrVRfE/s72-c/patandi%2B1.jpg)
SERIKALI IMEOMBWA KUINGILIA KATI SAKATA LA FAMILIA YA JUMA ISANGU, ARUMERU
![](http://2.bp.blogspot.com/-zV5JGh6vsUo/VkHxr6z0AsI/AAAAAAAIFNQ/nB9gGzrVRfE/s640/patandi%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YY1LSlQCNT4/VkHxsbC4toI/AAAAAAAIFNU/7OEGFakVyLc/s640/patandi%2B2.jpg)