Seif aipinga ZEC, ataka jumuiya ya kimataifa kuingilia kati
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amesema hakubaliani na maamuzi ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha kufuta matokeo yote ya uchaguzi na kuahirisha uchaguzi huo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xtnlwF9ufIM/Xk6lqDZpnzI/AAAAAAALelo/6jqIZ27vGHYyIF_XGSOunN5_6RQj1pT1wCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-02-20-05h41m13s605.png)
DC ataka kanisa kuendeleza ardhi,wananchi wamuomba Rais kuingilia kati
![](https://1.bp.blogspot.com/-xtnlwF9ufIM/Xk6lqDZpnzI/AAAAAAALelo/6jqIZ27vGHYyIF_XGSOunN5_6RQj1pT1wCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-02-20-05h41m13s605.png)
Wananchi wa kijiji cha Magoda halmashauri ya mji wa Njombe mkoani Njombe wameonyesha kutoridhishwa na uamuzi uliotolewa na mkuu wa wilaya Ruth Msafiri wa kuliachia kanisa la kiinjili la kilutheri Tanzania KKKT dayosisi ya kusini, ardhi yenye ukubwa wa zaidi ya ekari 580 kwa madai ya kwamba hawana sifa kisheria za umiliki wa eneo hilo.
Kufuatia agizo hilo ambalo limetolewa mbele ya mkutano wa hadhara, wananchi wanasema wanafikiri kwenda kuitafuta haki yao katika...
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Lipumba aibukia ofisi za CUF, ataka JK aingilie kati suala za ZEC
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vjPP182QyvE/VGxe0m2EdKI/AAAAAAAGyLY/ixl_AI1NgXs/s72-c/537.jpg)
Balozi Seif Ali afungua Mkutano wa Kimataifa wa Tano wa Ushirikiano kati ya China na Afrika
![](http://3.bp.blogspot.com/-vjPP182QyvE/VGxe0m2EdKI/AAAAAAAGyLY/ixl_AI1NgXs/s1600/537.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tmk2haEZLeQ/VGxdU8Z0jpI/AAAAAAAGyLA/ePr3J0Bxvkk/s1600/505.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OkbCwVnFGl0/VGxdUu8b_OI/AAAAAAAGyK8/1lZKlsY8f3k/s1600/490.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
JK aombwa kuingilia kati fidia Mloganzila
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemuomba Rais Jakaya Kikwete kuingilia kati na kutoa kauli kwa umma kuhusu fidia ya ardhi kwa wananchi wa Kata ya Mwembe, eneo la Mloganzila...
11 years ago
Tanzania Daima12 May
DC aombwa kuingilia kati mgomo wa wananchi
MKUU wa Wilaya (DC) ya Hanang’, Christine Mndeme, ameombwa kuingilia kati suala la wananchi wa Kata ya Endasak kugoma kuchangia ujenzi wa maabara katika shule ya sekondari ya kata yao....
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Rais wa Yemen aitaka UN kuingilia kati
11 years ago
Habarileo25 Dec
Dk Slaa amtaka JK kuingilia kati unyanyasaji wananchi
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk Willibrod Slaa ameitaka Serikali ikomeshe unyanyasaji na ukatili dhidi ya wananchi.
11 years ago
Mwananchi23 Feb
NLD Zanzibar wamtaka Msajili kuingilia kati uteuzi
9 years ago
Habarileo18 Dec
ACT-Wazalendo yaomba Tanzania kuingilia kati Burundi
CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeiomba Serikali ya Tanzania kuingilia kati mgogoro wa kisiasa unaoendelea nchini Burundi na kusababisha machafuko. Taarifa iliyotolewa na Katibu wa Kamati ya Mambo ya Nje ya ACT -Wazalendo, Venance Msebo, imesema kuwa chama hicho kinasikitishwa na mauaji yanayoendelea nchini humo hasa mjini Bujumbura.