Lipumba aibukia ofisi za CUF, ataka JK aingilie kati suala za ZEC
Mwenyekiti wa zamani wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amemwomba Rais Jakaya Kikwete kuiamuru Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC ) kumtangaza mshindi wa uchaguzi wa uliofanyika Zanzibar ili kuipusha nchi kuingia katika machafuko.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi29 Oct
Seif aipinga ZEC, ataka jumuiya ya kimataifa kuingilia kati
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-YJEGf1bioEQ/VdjJs7hxIGI/AAAAAAAB55E/DcpO6_hIYxg/s72-c/cuf%2B1.jpg)
WAGOMBEA UWAKILISHI NA UDIWANI KWA TIKETI YA CHAMA CHA CUF WAFIKA OFISI ZA ZEC KUCHUKUA FOMU
![](http://4.bp.blogspot.com/-YJEGf1bioEQ/VdjJs7hxIGI/AAAAAAAB55E/DcpO6_hIYxg/s640/cuf%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-u4ooQdXeNNc/VdjJtviPjSI/AAAAAAAB56Q/e9eCuM9tTXE/s640/cuf%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NMMP4Cjq7fY/VdjJtw-0NoI/AAAAAAAB55Q/l7_mE7nm79I/s640/cuf%2B3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_YfvF9wQcdk/VdjJuU-wb0I/AAAAAAAB55U/YjQlpS39t-o/s640/cuf%2B4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XlTdPR1mbEc/VdjJvBl7nSI/AAAAAAAB55Y/2gnBrRC4KgU/s640/cuf%2B5.jpg)
11 years ago
Mwananchi03 Mar
Chadema wataka JK aingilie kati Bunge la Katiba
10 years ago
Mtanzania18 May
Raza aibukia suala la Escrow
Na Patricia Kimelemeta
MJUMBE wa Baraza la Wawakilishi na Mbunge wa Uzini, Zanzibar, Mohamed Raza, amesema ataishauri Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar (SUKI), kuwaandikia barua wahisani ili kuwaeleza namna sakata la Tegeta Escrow lisivyowahusu Wazanzibari.
Alisema amefikia uamuzi huo ili kushawishi wahisani waendelee kutoa misaada yao kama kawaida.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Raza alisema sakata hilo limewaathiri wananchi wa Zanzibar kutokana na...
11 years ago
Mwananchi07 Aug
MIGOGORO KANISANI: Moravian wamtaka Chikawe aingilie kati
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oS_q4fuqMoE/U9_tYk4L6aI/AAAAAAAF9JE/MkV57osoLfQ/s72-c/unnamed+(2).jpg)
MAASKOFU MORAVIAN WATINGA OFISINI KWA CHIKAWE,WAMUOMBA AINGILIE KATI MGOGORO NDANI YA KANISA
![](http://2.bp.blogspot.com/-oS_q4fuqMoE/U9_tYk4L6aI/AAAAAAAF9JE/MkV57osoLfQ/s1600/unnamed+(2).jpg)
10 years ago
Raia Tanzania10 Aug
Profesa Lipumba aibukia Kigali
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amesema Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu unawanyima demokrasia wananchi kwa kuwa watakuwa na wagombea urais wawili kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Akizungumza na kituo cha runinga cha Azam juzi baada ya vyombo kadhaa vya habari kuandika uvumi kwamba ametoweka nchini kwa shinikizo huku akiwa amefadhaika, Profesa Lipumba alikanusha taarifa hizo na kuonyesha masikitiko yake jinsi Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa)...
10 years ago
VijimamboLIPUMBA NDIE MGOMBEA PEKEE CUF ATAKAE WAKILISHA CUF KUGOMBEA URAIS UKAWA
![](http://www.habari247.co.tz/site/wp-content/uploads/2014/12/lipumba.jpg)
9 years ago
Mwananchi28 Oct
Lipumba aishukia ZEC kufuta uchaguzi Zanzibar