Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema wataka JK aingilie kati Bunge la Katiba

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemuomba Rais Jakaya Kikwete, kuingilia kati na kukemea vitendo vya kuingiliwa kwa uhuru wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba katika kufanya uamuzi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

MIGOGORO KANISANI: Moravian wamtaka Chikawe aingilie kati

>Viongozi wa Kanisa la Moravian nchini, wamemtaka Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe aingilie kati mgogoro unaoendelea kufukuta ndani ya kanisa hilo.

 

9 years ago

Mwananchi

Lipumba aibukia ofisi za CUF, ataka JK aingilie kati suala za ZEC

Mwenyekiti wa zamani wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amemwomba Rais Jakaya Kikwete kuiamuru Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar  (ZEC ) kumtangaza mshindi wa uchaguzi wa uliofanyika Zanzibar ili kuipusha nchi kuingia katika machafuko.

 

11 years ago

Michuzi

MAASKOFU MORAVIAN WATINGA OFISINI KWA CHIKAWE,WAMUOMBA AINGILIE KATI MGOGORO NDANI YA KANISA

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kushoto) akizungumza na Maaskofu wa Kanisa la Moravian nchini baada ya kuwasikiliza malalamiko yao kuhusiana na migogoro ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea kwa muda mrefu katika Kanisa hilo. Maaskofu hao ambao walikuwa wanaongozwa na Askofu Mkuu wa Kanisa hilo, Alinikisa Cheyo walimuomba Waziri Chikawe aingilie kati kwa kudhibiti vurugu hizo ambazo zinazisambaratisha kanisa lao. Hata hivyo, Waziri Chikawe aliahidi kulifanyia kazi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

SCOC wataka maridhiano Bunge la Katiba

KAMATI Maalumu ya Wataalamu wa Katiba (SCOC) imetaka mamlaka ya juu ya nchi kuutafutia suluhu mgogoro uliosababisha wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kususia Bunge Maalumu la Katiba....

 

11 years ago

Mwananchi

Wazanzibari wataka uwiano Bunge la Katiba

Suala la uwiano wa wajumbe katika Bunge Maalumu la Katiba, kati ya Tanzania Bara na Zanzibar, juzi jioni lilizua malumbano yaliyotokana na mjumbe, Said Ally Mborouk, kueleza kuwa Zanzibar kwa muda mrefu imekuwa ikionewa na kudhulumiwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

ACT wataka maridhiano Bunge la Katiba

CHAMA cha Aliance for Change and Transparency (ACT- Tanzania), kimeyataka makundi yanayosigana ndani ya Bunge Maalum la Katiba watafute maridhiano yatakayowezesha kupatikana kwa katiba iliyo bora. ACT-Tanzania imeyataka makundi hayo...

 

11 years ago

Mwananchi

Wasomi wataka wanasiasa waondolewe Bunge la Katiba

>Wasomi na wataalamu mbalimbali wameshauri kuangaliwa upya kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ili kuwabana wajumbe wanaotumia vikao vya Bunge Maalumu kujijenga kisiasa kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu 2015, badala ya masilahi ya wananchi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mivutano yaendelea kulitafuna #Bunge la #Katiba, wajumbe wataka maridhiano [VIDEO]

Mivutano imeendelea kuligawa Bunge Maalum la Katiba leo, huku baadhi ya wajumbe wakilalamika kuwa mapendekezo waliyoyatoa kuboresha Kanuni zitakazoliendesha baraza hilo hayakuzingatiwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi walicharukia Bunge la #Katiba, wataka liache tamaa, lisipoteze muda [VIDEO]

VITENDO vinavyofanywa na wajumbe wa Bunge la Katiba vinadhihirisha hawakwenda Dodoma kutengeneza Katiba Mpya, bali wako mjini hapa kimaslahi zaidi. 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani