MIGOGORO KANISANI: Moravian wamtaka Chikawe aingilie kati
>Viongozi wa Kanisa la Moravian nchini, wamemtaka Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe aingilie kati mgogoro unaoendelea kufukuta ndani ya kanisa hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oS_q4fuqMoE/U9_tYk4L6aI/AAAAAAAF9JE/MkV57osoLfQ/s72-c/unnamed+(2).jpg)
MAASKOFU MORAVIAN WATINGA OFISINI KWA CHIKAWE,WAMUOMBA AINGILIE KATI MGOGORO NDANI YA KANISA
![](http://2.bp.blogspot.com/-oS_q4fuqMoE/U9_tYk4L6aI/AAAAAAAF9JE/MkV57osoLfQ/s1600/unnamed+(2).jpg)
11 years ago
Mwananchi03 Mar
Chadema wataka JK aingilie kati Bunge la Katiba
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemuomba Rais Jakaya Kikwete, kuingilia kati na kukemea vitendo vya kuingiliwa kwa uhuru wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba katika kufanya uamuzi.
10 years ago
Habarileo01 Jan
Muumini Moravian mbaroni kwa kufanya fujo kanisani
POLISI mkoani Morogoro linamshikilia Jackson Mnyilemi (20), ambaye ni muumini wa Kanisa la Moravian Tarafa ya Malinyi wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro kwa tuhuma za kuhusika kufanya fujo kanisani.
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Lipumba aibukia ofisi za CUF, ataka JK aingilie kati suala za ZEC
Mwenyekiti wa zamani wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amemwomba Rais Jakaya Kikwete kuiamuru Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC ) kumtangaza mshindi wa uchaguzi wa uliofanyika Zanzibar ili kuipusha nchi kuingia katika machafuko.
10 years ago
Mwananchi31 Jan
CUF wamtaka Waziri Chikawe afute kesi
Jumuiya ya Vijana ya CUF (JUVICUF) imemtaka Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe kufuta kesi zote zilizofungliwa kutokana na tukio lililotokea mapema wiki hii la viongozi wa chama hicho na wafuasi kupigwa na kukamatwa na polisi.
11 years ago
Mwananchi23 Feb
NLD Zanzibar wamtaka Msajili kuingilia kati uteuzi
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi ametakiwa kutoa ufafanuzi wa kisheria kama upo uwezekano wa chama cha siasa kupata usajili iwapo ombi la chama husika kusajiliwa kisheria bila ya uwakilishi wa wadhamini wa wanachama kutoka pande mbili za Tanzania.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gG0IU87vSnI/U9V1Y_cJkMI/AAAAAAAF7Ik/JjZdrBSNhR4/s72-c/unnamed+(7).jpg)
WAZIRI CHIKAWE KUFUTA USAJILI WA MAKANISA YENYE MIGOGORO KWA LENGO LA KUEPUSHA UVUNJIFU WA AMANI NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-gG0IU87vSnI/U9V1Y_cJkMI/AAAAAAAF7Ik/JjZdrBSNhR4/s1600/unnamed+(7).jpg)
10 years ago
Mwananchi11 Dec
Kwa nini migogoro haiishi kati ya Machinga, Serikali?
Jiji la Mwanza linakadiriwa kuwa na wafanyabiashara kati ya 2,800 hadi 3,000 wanaojishughulisha na biashara mbalimbali huku likitajwa kuwa jiji la pili kuchangia pato la Taifa .
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Kipipa Millers: Kinara kati ya kampuni 100 za kati nchini
Kwa mara ya pili mfululizo kampuni ya Kipipa Millers Limited imeendelea kushika nafasi ya kwanza kati ya kampuni 100 zenye mitaji ya kati zilizofanyiwa utafiti nchini.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania