Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi walicharukia Bunge la #Katiba, wataka liache tamaa, lisipoteze muda [VIDEO]

VITENDO vinavyofanywa na wajumbe wa Bunge la Katiba vinadhihirisha hawakwenda Dodoma kutengeneza Katiba Mpya, bali wako mjini hapa kimaslahi zaidi. 

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mivutano yaendelea kulitafuna #Bunge la #Katiba, wajumbe wataka maridhiano [VIDEO]

Mivutano imeendelea kuligawa Bunge Maalum la Katiba leo, huku baadhi ya wajumbe wakilalamika kuwa mapendekezo waliyoyatoa kuboresha Kanuni zitakazoliendesha baraza hilo hayakuzingatiwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Kamati #Bunge la #Katiba zaongezewa muda, wajumbe waonesha wasiwasi [VIDEO]

MWENYEKITI wa muda wa Bunge la Katiba, Pandu Ameir Kificho amesogeza mbele kuanza rasmi kwa vikao vya bunge hilo baada ya Kamati ya Kanuni kuomba kuongezewa muda zaidi kukamilisha kazi iliyopewa.

 

11 years ago

Mwananchi

Kanuni za kuongoza #Bunge la #Katiba zawasilishwa, porojo za kupoteza muda sasa marufuku [VIDEO]

BUNGE maalum la Katiba limekutana leo mjini Dodoma kwa ajili ya kujadili kanuni mbalimbali zitakazotumika kuliendesha Bunge hilo katika vikao vyake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge la Katiba linakatisha tamaa

TAKRIBANI wiki moja imepita tangu kuanza kwa vikao vya Bunge la Katiba mjini Dodoma, lakini hakuna kilichofanyika hadi sasa. Tangu Bunge hilo lilipoanza, tulianza kusikia mzozo wa posho, mara wabunge...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali tatu ‘matakwa ya wananchi’, Warioba aliambia Bunge la #Katiba [VIDEO]

Kati ya wananchi 38,000 waliotoa maoni yao kuhusu Muungano, 19,000 walizungumzia suala la muundo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwanini Bunge la Katiba wametanguliza tamaa?

MIONGONI mwa taarifa zilizowashtua Watanzania wengi wazalendo ni kauli ya baadhi ya wajumbe wa Bunge la Katiba kutaka nyongeza ya posho hata kabla ya kufikia robo ya kazi iliyo mbele...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kificho akata tamaa Bunge la Katiba

MWENYEKITI wa muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho, ameonyesha kukata tamaa na kasi ya Bunge hilo inavyoenda taratibu kinyume cha matarajio. Akizungumza kupitia kituo cha Radio One...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge lisipoteze hadhi yake

BUNGE ni moja ya mihimili mitatu ya dola ambayo haipaswi kuingiliana kimajukumu. Mingine ni Mahakama na Serikali. Ndiyo maana kwa mfano Bunge likiamua jambo, Serikali haiwezi kupinga na hata Mahakama...

 

11 years ago

Mwananchi

Wazanzibari wataka uwiano Bunge la Katiba

Suala la uwiano wa wajumbe katika Bunge Maalumu la Katiba, kati ya Tanzania Bara na Zanzibar, juzi jioni lilizua malumbano yaliyotokana na mjumbe, Said Ally Mborouk, kueleza kuwa Zanzibar kwa muda mrefu imekuwa ikionewa na kudhulumiwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani