Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge lisipoteze hadhi yake

BUNGE ni moja ya mihimili mitatu ya dola ambayo haipaswi kuingiliana kimajukumu. Mingine ni Mahakama na Serikali. Ndiyo maana kwa mfano Bunge likiamua jambo, Serikali haiwezi kupinga na hata Mahakama...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wananchi walicharukia Bunge la #Katiba, wataka liache tamaa, lisipoteze muda [VIDEO]

VITENDO vinavyofanywa na wajumbe wa Bunge la Katiba vinadhihirisha hawakwenda Dodoma kutengeneza Katiba Mpya, bali wako mjini hapa kimaslahi zaidi. 

 

9 years ago

Raia Mwema

Ndugai hifadhi hadhi ya Bunge

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tayari limekwishapata spika mpya anayetarajiwa kudumu k

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge kuamua kura yake leo

BUNGE Maalumu la Katiba leo litaamua aina ya kura itakayotumika kufanya uamuzi wakati wa kupitisha ibara au rasimu ya Katiba mpya. Hatua hiyo inatokana na wajumbe wa Bunge hilo kutofikia...

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge sasa limechukua nafasi yake

Wiki iliyopita Rais Jakaya Kikwete alikubali kutengua uteuzi wa mawaziri wanne kutokana na shutuma nzito dhidi yao katika sakata la Operesheni Tokomeza Ujangili zilizoibuliwa bungeni na Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira.

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge Maalumu la Katiba liheshimu mipaka yake

>Wakati Bunge Maalumu la Katiba likitarajiwa kuanza kikao chake Jumanne ijayo mjini Dodoma kujadili na hatimaye kupitisha Rasimu ya Katiba Mpya, Jaji Joseph Warioba ambaye ni Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyoandaa Rasimu hiyo ametoa angalizo muhimu kwa Bunge hilo kuzingatia kanuni na hadidu za rejea katika kutimiza majukumu yake

 

11 years ago

Habarileo

Wapendekeza Bunge la Katiba liwe na Siwa yake

KAMATI ya Kumshauri Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalumu la Katiba kuhusu Kanuni za Bunge, imependekeza kuwe na Siwa mahsusi yenye uzito wa kilo 4.5 ikiwa na madini ya dhahabu na aluminium. Imependekeza zitengenezwe mbili ili moja iwekwe kama kumbukumbu upande wa Tanzania Bara na ya pili iwe ni kumbukumbu kwa Tanzania Zanzibar.

 

10 years ago

Mwananchi

Bunge: Zitto kulipwa mafao yake yote

Ikiwa ni siku moja tangu Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe kutangaza kung’atuka katika nafasi yake ya ubunge, Bunge limeeleza kuwa mbunge huyo atapata mafao yake yote kama wabunge wengine.

 

10 years ago

Dewji Blog

Breaking News… Bunge Afrika Mashariki lamvua spika madaraka yake

Zziwa

Aliyekuwa Spika wa Bunge la Afrika Mashariki kabla ya kubwagwa leo Bi.Margaret Nantongo Zziwa.

Na Mahmoud Ahmad Arusha

BUNGE  la nchi za jumuia ya Afrika Mashariki,lenye makao yake mjini Arusha, limemvua madaraka ya Uspika wa bunge hilo Margaret Nantongo Zziwa, kutoka nchini Uganda.

Uamuzi huo umefanywa  leo katika kikao cha bunge hilo ambapo Spika huyo alipigiwa kura 36 za kutokuwa na Imani nae,  kura 2 zimeharika kura moja haikueleweka  hivyo kukosa sifa ya kuendelea na wadhifa huo.

Kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge Maalum la Katiba na kazi pevu iliyo mbele yake Agosti

>Siku 67 za Bunge Maalumu la Katiba zimekwisha na wajumbe hao kurejea makwao huku kukiwa hakuna hata ibara moja kati ya zaidi ya 200 iliyopitishwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani