Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndugai hifadhi hadhi ya Bunge

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tayari limekwishapata spika mpya anayetarajiwa kudumu k

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Hifadhi zilizopoteza hadhi kufutwa

SERIKALI imesema inafanya utaratibu wa kuzifuta hifadhi zote za taifa ambazo zimepoteza hadhi ya kuwa hifadhi na kuyagawa maeneo hayo kwa wafugaji. Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi,...

 

9 years ago

Michuzi

NISHATI YA JOTOARDHI KUIPANDISHA HADHI HIFADHI YA WANYAMAPORI SELOUS

 Mkurugenzi wa Mipango na Maendeleo ya Biashara, Mhandisi Kato Kabaka (aliyesimama) kutoka Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania, akitoa elimu ya nishati ya Jotoardhi kwa wafanyakazi wa hifadhi ya wanyamapori Selous na jinsi gani nishati hiyo itaongeza idadi ya watalii. Wafanyakazi wa hifadhi ya wanyamapori Selous na kampuni ya uendelezaji wa Jotoardhi Tanzania wakimsikiliza kwa makini Mhandisi Kato Kabaka (hayuko pichani) alipokuwa akiwaelimisha namna nishati ya Jotoardhi itakavyoongeza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge lisipoteze hadhi yake

BUNGE ni moja ya mihimili mitatu ya dola ambayo haipaswi kuingiliana kimajukumu. Mingine ni Mahakama na Serikali. Ndiyo maana kwa mfano Bunge likiamua jambo, Serikali haiwezi kupinga na hata Mahakama...

 

9 years ago

Habarileo

Ndugai Spika wa Bunge la 11

MBUNGE wa Kongwa mkoani Dodoma, Job Yustino Ndugai (55) ndiye Spika mpya wa Bunge atakayeongoza Bunge la 11 lililoanza mkutano wake wa kwanza jana. Ndugai, ambaye ni Mbunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), alichaguliwa kwa kishindo, akitwaa nafasi hiyo baada ya kuwashinda wagombea wengine saba kutoka vyama vya siasa kwa kupata asilimia 70 ya kura zote zilizopigwa.

 

9 years ago

CCM Blog

SPIKA WA BUNGE LA 11 NI JOB NDUGAI

Ashinda kura kwa asilimia 70 Ndugu Job Ndugai amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kushinda kura 254, Katika uchaguzi ambao wapiga kura walikuwa 365 zilizoharibika kura 2. .

 

9 years ago

Mwananchi

Job Ndugai ndiye Spika wa Bunge la 11

Mbunge wa Kongwa (CCM) Job Ndugai ameshinda kiti cha Uspika kwa kura 264 sawa na asilimia 70 na hivyo kuwa Spika wa Bbunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

9 years ago

Global Publishers

Spika wa Bunge, Job Ndugai Arejea Kutoka India

Ndugai (1)Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akilakiwa na Naibu Spika wa Bunge Mhe. Tulia Ackson mara baada ya kuwasili katika uwanja Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu JK Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Nchini India alikokuwa kwa ajili ya matibabu.Ndugai (2)Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akisalimiana na Naibu Waziri wa Nishai na Madini Mhe. Medard Kalemani mara baada ya kuwasili katika uwanja Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu JK Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Nchini India alikokuwa kwa ajili ya matibabu....

 

5 years ago

CCM Blog

SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA JOB NDUGAI AMJULIA HALI MBOWE

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amefika Hospitalini Dodoma kumjulia hali Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe aliyelazwa hapo baada ya kushambuliwa usiku wa kumkia leo na watu wasiojulikana.

 

9 years ago

Michuzi

Spika Ndugai aongoza maelfu kuuaga mwili wa Mkurugenzi wa Bunge

Marehemu Hellen Stephen Mbebha wakati wa uhai wake.Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Job Ndugai (Mb) akiweka shada la maua juu ya kaburi la aliyekuwa Mkurugenzi Msaidizi Shughuli za Bunge Marehem Hellen Mbebha.Katibu wa Bunge la Tanzania Dkt. Thomas Kashilillah akitoa heshima za mwisho kwa kwa mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi Msaidizi Shughuli za Bunge Marehem Hellen Mbebha ambapo mazishi yake yalifanyika katika kijiji cha Kung’ombe wilayani Bunda mkoa wa Mara tarehe 01/12/2015. Aliyesimama ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani