Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hifadhi zilizopoteza hadhi kufutwa

SERIKALI imesema inafanya utaratibu wa kuzifuta hifadhi zote za taifa ambazo zimepoteza hadhi ya kuwa hifadhi na kuyagawa maeneo hayo kwa wafugaji. Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Ndugai hifadhi hadhi ya Bunge

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tayari limekwishapata spika mpya anayetarajiwa kudumu k

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Michuzi

NISHATI YA JOTOARDHI KUIPANDISHA HADHI HIFADHI YA WANYAMAPORI SELOUS

 Mkurugenzi wa Mipango na Maendeleo ya Biashara, Mhandisi Kato Kabaka (aliyesimama) kutoka Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania, akitoa elimu ya nishati ya Jotoardhi kwa wafanyakazi wa hifadhi ya wanyamapori Selous na jinsi gani nishati hiyo itaongeza idadi ya watalii. Wafanyakazi wa hifadhi ya wanyamapori Selous na kampuni ya uendelezaji wa Jotoardhi Tanzania wakimsikiliza kwa makini Mhandisi Kato Kabaka (hayuko pichani) alipokuwa akiwaelimisha namna nishati ya Jotoardhi itakavyoongeza...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Hadhi Bandari ya Dar haitabadilika’

Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Waziri Mkuu, (Uwekezaji na Uwezeshaji), Dk Mary Nagu amesema pamoja na kujengwa kwa bandari kubwa ya Bagamoyo, hadhi ya Bandari ya Dar es Salaam itabaki kama ilivyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge lisipoteze hadhi yake

BUNGE ni moja ya mihimili mitatu ya dola ambayo haipaswi kuingiliana kimajukumu. Mingine ni Mahakama na Serikali. Ndiyo maana kwa mfano Bunge likiamua jambo, Serikali haiwezi kupinga na hata Mahakama...

 

11 years ago

Mwananchi

Inauma Kiswahili kushushwa hadhi

Katika makala zangu nilizowahi kuandika, nimeibua mawazo mengi kutoka kwa wasomaji wangu ambao wananiletea ujumbe kwa njia ya mitandao ya kijamii kwa mfano Facebook.e.

 

11 years ago

Mwananchi

Wawekezaji watakiwa kujenga hoteli za hadhi

Wafanyabiashara nchini wametakiwa kuwekeza kwa kujenga hoteli zenye hadhi kutoa fursa kwa mikutano ya kitaifa kufanyika mkoani hapa, kwani hoteli zilizopo hazikidhi viwango.

 

10 years ago

Habarileo

Chuo cha Nyuki kupandishwa hadhi

SERIKALI imeahidi kupandisha hadhi ya Chuo cha Mafunzo ya Nyuki mkoani Tabora, kuvutia wanafunzi wengi zaidi kutoka ndani na nje ya nchi kujiunga nacho. Hayo yalibainishwa juzi na Waziri wa Maliasili na Utalii , Lazaro Nyalandu aliyekuwa mgeni rasmi katika mahafali ya tatu ya chuo hicho.

 

5 years ago

Michuzi

UKEKETAJI HUONDOA UTU NA HADHI YA MWANAMKE

Na.Vero Ignatus,Arusha
Jamii imetakiwa kuondoka na na dhana potofu ya kumkeketa mtoto wa kike na kumuondolea hadhi na utu wake kama Mungu alivyomuumba badala yake wabadilike na kukemea kitendo hicho kwani ni ukiukaji wa haki za kibinadamu
Ukeketaji unawaathiri wasichana na wanawake kwa asilimia kubwa pia kitendo hicho kinadhoofisha uchumi pamoja na nguvu kazi, unaathiri afya ya mwili na akili za kwa wanawake wanaokeketwa hivyo jamii inapaswa kuungana ili kupinga kitendo hicho
Hayo yamesemwa na...

 

9 years ago

GPL

BASATA KURUDISHA HADHI YA MUZIKI WA REGGAE

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kwa kushirikiana na Kampuni ya Reggae Production House iliyo chini ya Msanii Mkongwe wa reggae Innocent Nganyagwa limeandaa programu maalum kwa ajili ya kurudisha hadhi ya muziki wa reggae nchini. Programu hiyo ambayo itafanyika makao makuu ya BASATA yaliyoko Ilala Sharif Shamba jijini Dar es Salaam Jumatatu ya Tarehe 28/09/2015 kuanzia saa 4:00 hadi saa 6:30 Mchana kupitia Programu ya Jukwaa la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani