Wawekezaji watakiwa kujenga hoteli za hadhi
Wafanyabiashara nchini wametakiwa kuwekeza kwa kujenga hoteli zenye hadhi kutoa fursa kwa mikutano ya kitaifa kufanyika mkoani hapa, kwani hoteli zilizopo hazikidhi viwango.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog28 Oct
Pinda ateta na wawekezaji nchini Poland wenye nia ya kujenga hoteli ya kimataifa Zanzibar
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiandika maelezo muhimu wakati akimsikiliza Mkurugenzi wa kampuni ya Katanja-Neoval Oil, Bw. NICODEMO SWIACKI (kushoto) akiwasilisha mada kuhusu kampuni yao ambayo inataka kuwekeza Tanzania kwenye kiwanda cha kusafisha dhahabu (gold refinery) na ujenzi wa hoteli ya kimataifa huko Zanzibar. Wa pili kulia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Dk. Mahadhi Juma Maalim na Naibu Waziri wa Fedha, Bw. Mwigulu Nchemba. (Picha na Irene Bwire wa OWM).
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-JuYVhq86VPQ/UyohVmgca-I/AAAAAAAA3iQ/itX25u7AYzE/s1600/IMG_2215.jpg)
WAZIRI KIGODA AKUTANA NA UJUMBE WA WAWEKEZAJI TOKA UJERUMANI WANAOTAKA KUJENGA KIWANDA CHA MBOLEA,TANZANIA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JuYVhq86VPQ/UyohVmgca-I/AAAAAAAA3iQ/itX25u7AYzE/s72-c/IMG_2215.jpg)
WAZIRI KIGODA AKUTANA NA UJUMBE WA WAWEKEZAJI TOKA UJERUMANI WANAOTAKA KUJENGA KIWANDA CHA MBOLEA, TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-JuYVhq86VPQ/UyohVmgca-I/AAAAAAAA3iQ/itX25u7AYzE/s1600/IMG_2215.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-g1Fb7ZLGp7Q/UyojFC0qEJI/AAAAAAAA3ic/EsRpxRsx0uY/s1600/IMG_2209.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_eN2tg6T6Sk/UyojsFupRUI/AAAAAAAA3is/tMkGGQ8Vf3c/s1600/IMG_2186.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-iMf9jpwq9YM/XnjAECgvm8I/AAAAAAACJK8/1Kcsu24on9QkrhkQkTCCoXIosW_HRPwBQCLcBGAsYHQ/s72-c/tbs.jpg)
TBS WATAKIWA KUEPUKA VISHAWISHI NA URASIMU NCHI IWE SALAMA NA KUVUTIA WAWEKEZAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-iMf9jpwq9YM/XnjAECgvm8I/AAAAAAACJK8/1Kcsu24on9QkrhkQkTCCoXIosW_HRPwBQCLcBGAsYHQ/s320/tbs.jpg)
Na Roida Andusamile-TBS
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--3pgI-apyZI/VJAWJZaWlzI/AAAAAAAANzw/WAGp--vuI7A/s72-c/IMG-20141215-WA0005.jpg)
VETA WATAKIWA KUHAKIKISHA WANAANDAA WANAFUNZI WA HOTELI NA UTALII WENYE VIWANGO VYA KIMATAIFA.
Hayo yamesemwa na mkuu wa wilaya ya Arumeru Nyerembe Munasa wakati akizindua baraza hilo jana ndani ya chuo cha hoteli na utalii cha VHTTI kilichopo nje kidogo ya jiji la Arusha .
Alisema kuwa kutokana na changamoto kubwa ya hoteli zetu kuajiri watu kutoka nje...
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Wafugaji watakiwa kujenga umoja imara
MKUU wa Mkoa wa Pwani, Hajat Mwantumu Mahiza, amewataka wafugaji kuepuka ukabila miongoni mwao na kujenga umoja imara utakaowawezesha kutetea na kusimamia haki zao. Hajat Mwantumu alisema hayo wakati wa...
10 years ago
Mtanzania12 Sep
Wananchi watakiwa kujenga vituo vya polisi
![IGP Mangu](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/IGP-Mangu.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu
NA UPENDO MOSHA, MOSHI
MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu, amewataka wananchi kuchangia ujenzi wa vituo vya polisi ili kusaidiana na Serikali katika kukabiliana na tatizo la uhalifu nchini.
IGP Mangu alitoa rai hiyo jana mkoani Kilimanjaro, wakati wa uzinduzi wa jengo la Kituo cha Polisi cha Majengo pamoja na jengo la Dawati la Jinsia na Watoto katika Kituo Kikuu cha Polisi Moshi Mjini, vilivyojengwa kwa nguvu za wananchi na wadau...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10