Wananchi watakiwa kujenga vituo vya polisi
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu
NA UPENDO MOSHA, MOSHI
MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu, amewataka wananchi kuchangia ujenzi wa vituo vya polisi ili kusaidiana na Serikali katika kukabiliana na tatizo la uhalifu nchini.
IGP Mangu alitoa rai hiyo jana mkoani Kilimanjaro, wakati wa uzinduzi wa jengo la Kituo cha Polisi cha Majengo pamoja na jengo la Dawati la Jinsia na Watoto katika Kituo Kikuu cha Polisi Moshi Mjini, vilivyojengwa kwa nguvu za wananchi na wadau...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
NIT kujenga vituo vya ukaguzi nchi nzima
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Janet Mbene akiwa kwenye mtambo maalum ‘Driving Simulator’ wa kufundishia madereva wa chuo cha Usafirishaji NIT (aliyekaa ), kushoto kwake anayetoa maelezo ni Mtahini wa madereva wa NIT, William Venge, anayefuatia, ni Mwenyekiti wa chuo hicho, Mhandisi, Priscila Chipweli, hiyo ilikuwa wakati Naibu huyo alipotembelea katika sherehe za miaka 40 ya kuanzishwa kwa chuo hicho. (Picha na Mpiga Picha wetu).
Na Mwandishi wetu
SERIKALI ipo mbioni kuanzisha...
11 years ago
Mwananchi09 Feb
TFF yaahidi kujenga vituo vya soka 169 nchi nzima
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_ufpm6nV8N8/VC6ZApExz8I/AAAAAAAGnjY/twHOoNbeyCY/s72-c/1(2).jpg)
TMA KUJENGA VITUO VYA HALI YA HEWA KWENYE MAZIWA YA VICTORIA,TANGANYIKA NA NYASA
![](http://1.bp.blogspot.com/-_ufpm6nV8N8/VC6ZApExz8I/AAAAAAAGnjY/twHOoNbeyCY/s1600/1(2).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gFzeuuaDihU/VC6ZBcF3TnI/AAAAAAAGnjc/ezfj2lvXKYA/s1600/2(5).jpg)
Mamlaka ya Hali ya hewa Tanzania (TMA) imedhamiria kufungua Ofisi za Kutolea huduma za hali ya Hewa ili kupunguza ajali katika maziwa hapa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8CXXCt2470U/XnUjvt628pI/AAAAAAALkj8/poBQAp2H-FsXxgIb8q6ORn6RUGBD9ExKgCLcBGAsYHQ/s72-c/CAPTION-ONE-768x575.jpeg)
WAGANGA WAKUU WATAKIWA KUKAGUA UTAYARI WA KUKABILIANA NA CORONA KWENYE VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-8CXXCt2470U/XnUjvt628pI/AAAAAAALkj8/poBQAp2H-FsXxgIb8q6ORn6RUGBD9ExKgCLcBGAsYHQ/s640/CAPTION-ONE-768x575.jpeg)
Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia maswala ya Afya, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Dkt.Dorothy Gwajima akiwa katika moja ya chumba kilicho andaliwa kwa ajili ya kutolea kuhuduma kwa wagonjwa wa COVID-19 (CORONA) katika halmashauri ya Ikungi mkoani Singida.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/CAPTION-TWOAA-1024x680.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwKbbu53lYxDtZbsw5V0yI-GdGOBz3uetdFFiGNEoO0K0qsPO8CsukEe7Xg5fMsLqvGxEX58gclf0sxWK*mj4Kuu/a.jpg?width=650)
KANTINI VITUO VYA POLISI ZAPIGWA ZENGWE
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Uvamizi vituo vya polisi unaashiria nini?
9 years ago
BBCSwahili15 Oct
Polisi Israel waweka vituo vya ukaguzi
9 years ago
Habarileo10 Oct
Vituo vya polisi vyajengwa bonde Ziwa Rukwa
SERIKALI inajenga vituo viwili vya polisi ili kukabiliana matukio ya mauaji, utekaji na uporaji wa mali za raia yanayoendelea katika Bonde la Ziwa Rukwa, wilayani Sumbawanga, mkoani Rukwa.