Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KANTINI VITUO VYA POLISI ZAPIGWA ZENGWE

Na Makongoro Oging’ Askari wauziwa vinywaji, chakula bei juu, washindwa, wakimbilia kwa Mama Ntilie, wasema bora zifungwe
Asilimia kubwa ya askari polisi nchini wamekerwa na kitendo cha kantini zao kumilikishwa kwa wafanyabiashara binafsi ambao wengi wao wamekuwa wakiuza vyakula na vinywaji kwa bei ghali tofauti na makusudio. Moja ya kantini iliyoko katika kituo cha polisi. Fukunyuafukunyua imebaini kuwa hali hiyo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Polisi Israel waweka vituo vya ukaguzi

Vikosi vya Israeli vimeanza operesheni kubwa ya maswala ya usalama katika maeneo ya kiarabu ya Jerusalem mashariki

 

10 years ago

Mwananchi

Uvamizi vituo vya polisi unaashiria nini?

Tumeendelea kushuhudia majanga yakiliandama Jeshi la Polisi nchini kwa baadhi ya vituo vyake kuvamiwa na majambazi na kuporwa silaha, huku baadhi ya askari wake wakiuawa na wengine wakiachwa na vilema vya maisha. 

 

10 years ago

Mtanzania

Wananchi watakiwa kujenga vituo vya polisi

IGP Mangu

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu

NA UPENDO MOSHA, MOSHI

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu, amewataka wananchi kuchangia ujenzi wa vituo vya polisi ili kusaidiana na Serikali katika kukabiliana na tatizo la uhalifu nchini.

IGP Mangu alitoa rai hiyo jana mkoani Kilimanjaro, wakati wa uzinduzi wa jengo la Kituo cha Polisi cha Majengo pamoja na jengo la Dawati la  Jinsia na Watoto katika Kituo Kikuu cha Polisi Moshi Mjini,  vilivyojengwa kwa nguvu za wananchi na wadau...

 

9 years ago

Habarileo

Vituo vya polisi vyajengwa bonde Ziwa Rukwa

SERIKALI inajenga vituo viwili vya polisi ili kukabiliana matukio ya mauaji, utekaji na uporaji wa mali za raia yanayoendelea katika Bonde la Ziwa Rukwa, wilayani Sumbawanga, mkoani Rukwa.

 

10 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LINAENDELEA KUFANYA UCHUNGUZI KWA WATU WANAOHUSIKA NA KUENDESHA VITUO VYA KULELEA WATOTO AMBAVYO HAVIJASAJILIWA KISHERIA.

NaSylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linaendelea kufanya uchunguzi wa watu wanaohusika na kuendesha vituo vya kulelea watoto ambavyo havijasajiliwa na vinaendeshwa katika maeneo ambayo ni hatarishi kwa watoto. Kamanda MISIIME amesema Polisi iligundua vituo vitatu katika eneo la Nkuhungu Dodoma Mjini baada ya kupokea taarifa kwamba kuna nyumba ambazo...

 

10 years ago

GPL

ZENGWE MTOTO WA AUNT APIGWA ZENGWE!

Mwandishi wetu
Mtoto wa kike wa staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson aliyejifungua mwishoni mwa wiki iliyopita na kumpa jina la Cookie (keki ndogo lakini tamu) anaanza kung’aa kwenye vyombo vya habari baada ya baadhi ya watu kumpiga zengwe la madai kwamba eti hafanani na baba yake, Moses Iyobo ‘Moze’. Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson. Huku ishu hiyo ikipingwa vikali na Aunt,...

 

10 years ago

Michuzi

January Makamba na ndoto ya vituo vya Michezo vya Kanda

Na Mwandishi WetuMbunge wa Bumbuli na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Habari na Masoko ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ambaye hivi karibuni pia ametangaza nia ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa January Makamba(Pichani juu)  hivi karibuni ameainisha adhma yake ya kuinua kiwango cha michezo nchini.
Azma hizo zimo katika  katika mazungumzo yake na Padre Privatus Karugendo ambayo yamechapishwa katika kitabu ambacho gazeti hili imekipata nakala yake ambapo...

 

10 years ago

Michuzi

ZIARA YA WAANDISHI WA HABARI KATIKA VITUO VYA UMEME VYA MBAGALA,G/MBOTO NA KINYEREZI

 Waandishi wakiwasili kituo cha kupoza umeme Mbagala wakipokewa na Meneja Miradi Mhandisi Emmanuel Marirabona,(wa tatu kushoto) wakiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania Tanesco, Mhandisi Felchesmi Mramba,(kushoto) na Meneja Miradi-Ufuaji Umeme, Mhandisi Simon Jilima,(wa pili kushoto).   Transfoma ya kuchuja nguvu za umeme iliyopo Mbagala. Wafanyakazi wakiendelea na kazi katika kituo cha Mbagala. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania Tanesco,Felchesmi Mramba,(kulia) na...

 

10 years ago

GPL

ZIARA YA WAANDISHI WA HABARI KATIKA VITUO VYA UMEME VYA MBAGALA, G/MBOTO NA KINYEREZI

Waandishi wakiwasili kituo cha kupoza umeme Mbagala wakipokewa na Meneja Miradi Mhandisi Emmanuel Marirabona,(wa tatu kushoto) wakiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania Tanesco, Mhandisi Felchesmi Mramba,(kushoto) na Meneja Miradi-Ufuaji Umeme, Mhandisi Simon Jilima,(wa pili kushoto). Transfoma ya kuchuja nguvu za umeme iliyopo… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani