NIT kujenga vituo vya ukaguzi nchi nzima
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Janet Mbene akiwa kwenye mtambo maalum ‘Driving Simulator’ wa kufundishia madereva wa chuo cha Usafirishaji NIT (aliyekaa ), kushoto kwake anayetoa maelezo ni Mtahini wa madereva wa NIT, William Venge, anayefuatia, ni Mwenyekiti wa chuo hicho, Mhandisi, Priscila Chipweli, hiyo ilikuwa wakati Naibu huyo alipotembelea katika sherehe za miaka 40 ya kuanzishwa kwa chuo hicho. (Picha na Mpiga Picha wetu).
Na Mwandishi wetu
SERIKALI ipo mbioni kuanzisha...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Feb
TFF yaahidi kujenga vituo vya soka 169 nchi nzima
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QHSwt70G_VE/Xq8R3fd3WJI/AAAAAAALo_I/pY9kRMQvMzs454GEH2Z8pnLWTNTH69MNgCLcBGAsYHQ/s72-c/G.png)
Ofisi za ukaguzi kujengwa nchi nzima ili kuongeza uhuru wa kufanya kazi
Na Amiri kilagalila,Njombe
Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali nchini Bw,Charles E Kichere,amesema ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa ofisi ya Taifa ya ukaguzi mkoa wa Njombe inayoendelea kujengwa mkoani humo,huku akiagiza kukamilishwa kwa ofisi hizo kabla ya mwezi wa sita ili ziweze kutumika.
Akiwa katika eneo la jengo za ofisi hizo lililopo Lunyanywi halmashauri ya mji wa Njombe,Kichere amesema anahitaji majengo hayo kukamilika kabla ya mwezi wa sita ili watumishi wapate...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Q49vYJiiHlA/XsUA46vYQBI/AAAAAAAAJkg/WQJcW21woWQ6Ey1El4Dh1_b9o72wfbJAwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200520_115602_451.jpg)
TLP WAJIPANGA KUZUNGUKA NCHI NZIMA, KUHAMASISHA KUJENGA CHAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Q49vYJiiHlA/XsUA46vYQBI/AAAAAAAAJkg/WQJcW21woWQ6Ey1El4Dh1_b9o72wfbJAwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200520_115602_451.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/--qh9SR2JT-8/XsUBU2LjmQI/AAAAAAAAJlE/Qup0KPU2DAIr6f-kDsisgGJa7ormdbsxgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200520_115347_870.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-tuvX8KX_Xmo/XsUBVeqgCZI/AAAAAAAAJlM/tXMxfiJlH3897xhHVv98873dpRYTitJWwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200520_115355_508.jpg)
9 years ago
BBCSwahili15 Oct
Polisi Israel waweka vituo vya ukaguzi
10 years ago
Mtanzania12 Sep
Wananchi watakiwa kujenga vituo vya polisi
![IGP Mangu](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/IGP-Mangu.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu
NA UPENDO MOSHA, MOSHI
MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu, amewataka wananchi kuchangia ujenzi wa vituo vya polisi ili kusaidiana na Serikali katika kukabiliana na tatizo la uhalifu nchini.
IGP Mangu alitoa rai hiyo jana mkoani Kilimanjaro, wakati wa uzinduzi wa jengo la Kituo cha Polisi cha Majengo pamoja na jengo la Dawati la Jinsia na Watoto katika Kituo Kikuu cha Polisi Moshi Mjini, vilivyojengwa kwa nguvu za wananchi na wadau...
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Vitabu vya maombolezo vyatawanywa nchi nzima
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_ufpm6nV8N8/VC6ZApExz8I/AAAAAAAGnjY/twHOoNbeyCY/s72-c/1(2).jpg)
TMA KUJENGA VITUO VYA HALI YA HEWA KWENYE MAZIWA YA VICTORIA,TANGANYIKA NA NYASA
![](http://1.bp.blogspot.com/-_ufpm6nV8N8/VC6ZApExz8I/AAAAAAAGnjY/twHOoNbeyCY/s1600/1(2).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gFzeuuaDihU/VC6ZBcF3TnI/AAAAAAAGnjc/ezfj2lvXKYA/s1600/2(5).jpg)
Mamlaka ya Hali ya hewa Tanzania (TMA) imedhamiria kufungua Ofisi za Kutolea huduma za hali ya Hewa ili kupunguza ajali katika maziwa hapa...
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
Serikali kujenga karakana NIT
SERIKALI inatarajia kujenga karakana nne katika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) zitakazogharimu dola 300,000 ambazo zitakamilika mwakani. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana baada ya Kamati ya Miundombinu kutembelea...
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Chadema kutikisa nchi; Helikopta tatu kurushwa nchi nzima