Ofisi za ukaguzi kujengwa nchi nzima ili kuongeza uhuru wa kufanya kazi
![](https://1.bp.blogspot.com/-QHSwt70G_VE/Xq8R3fd3WJI/AAAAAAALo_I/pY9kRMQvMzs454GEH2Z8pnLWTNTH69MNgCLcBGAsYHQ/s72-c/G.png)
Na Amiri kilagalila,Njombe
Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali nchini Bw,Charles E Kichere,amesema ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa ofisi ya Taifa ya ukaguzi mkoa wa Njombe inayoendelea kujengwa mkoani humo,huku akiagiza kukamilishwa kwa ofisi hizo kabla ya mwezi wa sita ili ziweze kutumika.
Akiwa katika eneo la jengo za ofisi hizo lililopo Lunyanywi halmashauri ya mji wa Njombe,Kichere amesema anahitaji majengo hayo kukamilika kabla ya mwezi wa sita ili watumishi wapate...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-z6TWxWPqoHY/VoH-WjUW8PI/AAAAAAAIPF0/DBTsjgJSnKo/s72-c/3db1384b-0a1c-4f01-b51c-b6b6da09d9bb.jpg)
Dkt. Mpango awaasa Watumishi Wizara ya Fedha na Mipango kufanya kazi kwa bidii ili kukuza uchumi wa nchi.
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
NIT kujenga vituo vya ukaguzi nchi nzima
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Janet Mbene akiwa kwenye mtambo maalum ‘Driving Simulator’ wa kufundishia madereva wa chuo cha Usafirishaji NIT (aliyekaa ), kushoto kwake anayetoa maelezo ni Mtahini wa madereva wa NIT, William Venge, anayefuatia, ni Mwenyekiti wa chuo hicho, Mhandisi, Priscila Chipweli, hiyo ilikuwa wakati Naibu huyo alipotembelea katika sherehe za miaka 40 ya kuanzishwa kwa chuo hicho. (Picha na Mpiga Picha wetu).
Na Mwandishi wetu
SERIKALI ipo mbioni kuanzisha...
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Ukawa ruksa kufanya mikutano nchi nzima
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Lowassa kufanya ziara nchi nzima kuanzia kesho
![LOWASSA_0.jpg](http://cdn2.yatosha.com/wp-content/uploads/2015/09/LOWASSA_0.jpg)
11 years ago
Mwananchi29 May
Tuufanyie kazi mpango wa EPZ ili kuongeza ajira
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
Serikali kuzindua mkakati wa kitaifa wa maendeleo ya stadi kazi ili kusaidia kuongeza ujuzi!
Mkurugenzi Msaidizi Toka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi stadi Dkt. Jonathan Mbwambo akifafanua kwa waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu mpango wa Serikali wa kuendeleza stadi za kazi kwa kushirikiana na wadau mbalimbali ili kuongeza tija katika sekta zote nchini,kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari Maelezo Bi. Zamaradi Kawawa.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imetangaza kuanzisha mkakatia wa...
9 years ago
MichuziTBS KUFANYA MSAKO MKALI NCHI NZIMA KUWABAINI WAUZAJI WA UMEME NURU 'SOLAR POWER PANELS' ZILIZO CHINI YA KIWANGO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j-DiiE-nbb9aUnvOUxlX2LaeHEnGbWV6FIBSalNvAvlmLeXT7Xr0nOJa4jA7WYEs23h4g3fE9Jvkmg8BLRPwKV6zz7RgznLj/MAHABA.jpg)
FAIDA, HASARA ZA WAPENZI KUFANYA KAZI OFISI MOJA -2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TARUKDkBK7q1qV2InaM2r6s0EuzZOZB7vxSymLsj1U3OOkjNdAg3xE-pa0Y3d0xpP2EQ0w75FdT*6QVp6sG2uLjTqlCUrZtl/faida.jpg)
FAIDA, HASARA ZA WAPENZI KUFANYA KAZI OFISI MOJA