Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge kuamua kura yake leo

BUNGE Maalumu la Katiba leo litaamua aina ya kura itakayotumika kufanya uamuzi wakati wa kupitisha ibara au rasimu ya Katiba mpya. Hatua hiyo inatokana na wajumbe wa Bunge hilo kutofikia...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Hoja kuamua hatima Bunge la katiba leo

Hatima ya kesi mbili za kupinga Bunge la Katiba, inatarajiwa kujulikana leo wakati Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam itakapotoa uamuzi wake.

 

11 years ago

BBCSwahili

Crimea yapiga kura kuamua

Watu wa Crimea waarifiwa kujitokeza kwa wingi kupiga kura ya maoni kuamua ikiwa wanataka kubaki Ukraine au wajiunge na Urusi

 

9 years ago

GPL

DK. SHEIN ALIVYOPIGA KURA YAKE LEO


Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM, Dk. Ali Mohammed Shein akitumbukiza karatasi za kura kwenye visanduku.
Dk. Ali Mohammed Shein akipakwa wino baada ya kushiriki zoezi la uchaguzi mkuu asubuhi hii.
Dk. Ali Mohammed Shein akiinua juu mkono wake kuonyesha vidole vyenye wino ikiwa ni ishara kuwa tayari amepiga kura. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Ali Mohammed Shein,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Bunge la Uingereza kupiga kura leo

Bunge la uingereza linatarajiwa kupiga kura hii leo kuunga mkono kampeni ya Uingereza dhidi ya Islamic State nchini Syria na Iraq

 

11 years ago

Habarileo

Kura ya maoni kuamua muundo wa muungano

KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Seif Sharif Hamad amesema kura ya maoni ndiyo itakayoamua hatima ya muundo wa muungano uliopo.

 

9 years ago

GPL

MAALIM SEIF ALIVYOPIGA KURA YAKE LEO


Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad akipiga kura yake leo kwenye Kituo cha Mtoni, Chumba Na. 13, Zanzibar. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad akipakwa wino baada ya kupiga kura yake leo. Maalim Seif Sharif Hamad akiinua juu mkono wake baada ya kupakwa wino kuonyesha tayari amepiga kura yake.… ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Scolari kuamua hatma yake baada ya kombe

Mkufunzi wa Brazil Luiz Felipe Scolari amesema ataamua mustakabali wake baada ya fainali ya kombe

 

10 years ago

Habarileo

Majaji watatu kuamua hatma Bunge Maalum

JOPO la Majaji watatu linatarajia kusikiliza ombi kwa Mahakama itoe amri ya kusimamisha Bunge Maalumu la Katiba lililofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Said Kubenea katika Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watani kuamua Nani Jembe leo

WATANI wa jadi katika soka nchini, timu za Yanga na Simba, leo zinashuka katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuhitimisha majigambo ya ‘Nani Mtani Jembe’ baina yao katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani