Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Crimea yapiga kura kuamua

Watu wa Crimea waarifiwa kujitokeza kwa wingi kupiga kura ya maoni kuamua ikiwa wanataka kubaki Ukraine au wajiunge na Urusi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Kura ya maoni kuhusu Crimea si halali

Umoja wa mataifa umetangaza hatua ya Urusi kuandaa kura ya maoni kuhusu eneo la Crimea ni haramu, unaunga mkono uhuru wa Ukraine.

 

11 years ago

BBCSwahili

Crimea:kura yapigwa kujiunga na urusi

Wabunge wa Crimea wamepiga kura kujiunga na Urusi

 

11 years ago

BBCSwahili

95.5% ya wapiga kura Crimea wataka Urusi

95.5% ya wapiga kura huko Crimea wataka kujiunga na Urusi

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge kuamua kura yake leo

BUNGE Maalumu la Katiba leo litaamua aina ya kura itakayotumika kufanya uamuzi wakati wa kupitisha ibara au rasimu ya Katiba mpya. Hatua hiyo inatokana na wajumbe wa Bunge hilo kutofikia...

 

11 years ago

Habarileo

Kura ya maoni kuamua muundo wa muungano

KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Seif Sharif Hamad amesema kura ya maoni ndiyo itakayoamua hatima ya muundo wa muungano uliopo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uingereza yapiga kura leo

Mamilioni ya watu watakuwa wakipiga kura katika uchaguzi mkuu wa Uingereza leo Alhamisi

 

10 years ago

Michuzi

NEWS UPDATES: NEC YA CCM Inapiga kura sasa kupata tatu bora. Saa tatu usiku mkutano unakaa kuamua jina moja

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari jioni hii juu ya kilichofanyika kwenye Mkutano wa Hamlashauri Kuu ya CCM, ambapo amesema kuwa sasa NEC inapiga kura kupata majina matatu yatakayopelekwa kwenye Mkutano Mkuu unaotarajiwa kufanyika Usiku wa leo majira ya saa tatu, kwenye Ukumbi wa Dodoma Convition Centre.

 

11 years ago

BBCSwahili

Crimea kuugubika mkutano wa G7

Viongozi wa G7 wanatarajiwa kujadili hatua ya Urusi kulinyakua eneo la Crimea.

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yaimarisha majeshi Crimea

Urusi imeendelea kuimarisha majeshi yake ndani ya jimbo la Crimea linalomilikiwa na UKraine licha ya shinikizo za kidiplomasia dhidi ya kitendo hicho

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani