Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uingereza yapiga kura leo

Mamilioni ya watu watakuwa wakipiga kura katika uchaguzi mkuu wa Uingereza leo Alhamisi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Bunge la Uingereza kupiga kura leo

Bunge la uingereza linatarajiwa kupiga kura hii leo kuunga mkono kampeni ya Uingereza dhidi ya Islamic State nchini Syria na Iraq

 

11 years ago

BBCSwahili

Crimea yapiga kura kuamua

Watu wa Crimea waarifiwa kujitokeza kwa wingi kupiga kura ya maoni kuamua ikiwa wanataka kubaki Ukraine au wajiunge na Urusi

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: CHOPA YAPIGA MWELEKA LEO NA KUUWA WATU WANNE JIJINI DAR LEO

Sehemu ya mabaki ya Helkopta aina ya Chopa iliyopiga mweleka mapema leo asubuhi maeneo ya Kipunguni B Ukonga jijini Dar es Salaam na kuua watu wanne waliokuwemo ndani ya Chopa hiyo hiyo wakiwa ni rubani pamoja na askari watatu.Chanzo cha Chopa hiyo kupiga mweleka bado hakijafahamika mpaka sasa.Sehemu ya Mashuhuda wakiangalia mabaki ya Chopa hiyo.Sehemu ya umati wa watu waliofika kushuhudia ajali hiyo iliyotokea mapema leo eneo la Kipunguni B,jijini Dar es Salaam.Watu wanne wamepoteza maisha...

 

10 years ago

BBCSwahili

Blair apinga kura ya maoni Uingereza

Waziri mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair anapinga kura ya maoni kuhusu uanachama wa Uingereza,Umoja wa Ulaya.

 

11 years ago

Michuzi

Gari yapiga mweleka na kuingia mtaroni jijini Mbeya leo

Wasamalia wema wakijaribu kulinasua gari aina ya Toyota Corolla (namba zake za usajili hazikuweza fahamamika mara moja kutokana na kutokuwepo) lililoingia kwenye mtaro baada ya dereva wake kuzidiwa maarifa ya kiudereza na kujikuta akiingia mtaroni,katika eneo la Mafiat mkabala na kituo cha mafuta cha Oilcom jijini Mbeya asubuhi hii.Dereva wa Gari hilo pamoja na mtu mwingine mmoja wamejeruhiwa na kukimbizwa hospital kwa matibabu.Chanzo cha ajali hiyo inaelezwa ni mwendo kasi aliokuwa...

 

11 years ago

Michuzi

News Alert: Helkopta ya Polisi yapiga mweleka wakati wa Kuruka kwenye Uwanja wa Ndege wa J.K. Nyerere jijini Dar leo

Helkopta ya Jeshi la Polisi Tanzania ikiwa imepiga mweleka mapema leo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa J.K. Nyerere mara baada ya kupatwa na hitilafu ya kiufundi wakati wa ikitaka kuruka.Taarifa za uhakika kabisa zilizoifikia Globu ya Jamii,zinaeleza kuwa Helkopta hiyo ilishindwa kuruka kwa kwenda mbele na badala yake iiliruka kwa kurudi nyuma,hali iliyopelekea Panga la Helkopta hiyo kujipigiza kwenye moja ya Paa la Karakana la Uwanjani hapo na kupiga mweleka.Hakuna aliedhulika...

 

11 years ago

BBCSwahili

Leo Uingereza na Italy kumenyana

Hii leo mechi ya michuano ya kombe la dunia inayongojewa kwa hamu na wengi ni ile ya Uingereza dhidi ya Italy.

 

10 years ago

Mwananchi

Hatima muungano wa Scotland, Uingereza leo

Leo Scotland inapiga kura itakayoamua, aidha kujitenga kutoka mikono ya Uingereza au kubaki.Waziri Mkuu wa Uingereza,David Cameron ni miongoni mwa watu wanaopigania kuendelea kudumu kwa muungano huo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Uingereza kufanya uchaguzi Mkuu leo

UK

UK, London. Wananchi wa Uingereza leo  Mei 7,2015, wanatarajia kupiga kura  kuchagua  wagombea  wa vyama  katika uchaguzi mkuu.

Awali katika kampeni za  viongozi wa vyama vya siasa wanaowania viti, akiwemo Waziri Mkuu, David Cameron ameahidi kuifanya Uingereza kuwa katika njia ya mafanikio, wakati ambapo kiongozi wa Chama cha Labour Ed Miliband akiahidi kuwa na serikali itakayowajali kwanza wafanyakazi.

Kiongozi wa Lib Dem, Nick Clegg yeye ameahidi hali ya utulivu. Kura ya maoni inaonyesha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani