Hatima muungano wa Scotland, Uingereza leo
Leo Scotland inapiga kura itakayoamua, aidha kujitenga kutoka mikono ya Uingereza au kubaki.Waziri Mkuu wa Uingereza,David Cameron ni miongoni mwa watu wanaopigania kuendelea kudumu kwa muungano huo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili14 Sep
Je,Scotland itajitenga na Uingereza?
Matokeo ya kura mpya ya maoni yanaonyesha kuwa upande wowote unaweza kuibuka mshindi.
10 years ago
BBCSwahili18 Sep
Scotland kubaki au kujitenga Uingereza
Upigaji kura ya maoni unakaribia kuanza Scotland kwa raia wa nchi hiyo kuamua kujitenga au kubaki kwenye himaya ya Uingereza.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1VJR9F-zilqnyCSsU-vqI0EwMl*NF*4*a8P90TrayAa7kTNbLB9kcp-XVM9liTTIPmLem*tUDD2z4vDt49PM6Q6h*oKeQG2Z/SCOTLAND.jpg?width=650)
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Raia wa Scotland wakataa kujitenga na Uingereza
Scotland imefanya uamuzi wa mwisho wa kuendelea kuwa sehemu ya Uingereza ,kwa maamuzi ya kura ya maoni ambapo asilimia 55 ya raia wake kwa pamoja wamekataa uhuru wa moja kwa moja wa nchi hiyo.
10 years ago
Mwananchi22 Sep
CCM wafurahia matokeo ya Scotland, Uingereza
Kushindwa kujitenga kwa Scotland kutoka himaya ya ufalme wa Uingereza, kumetoa somo kwa wanasiasa kwamba hawana haki ya kuwafanyia uamuzi wananchi.
10 years ago
Michuzi21 Sep
Maoni ya Kinana juu ya muungano baada ya wananchi wa scotland kupiga kura
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana jana kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya shule ya msingi Mtongani alitoa maoni yake juu ya kura iliyopigwa na wananchi wa Scotland kuunga mkono Muungano dhidi ya wale waliotaka kujitenga.
Kinana alisema amekuwa akipigiwa simu siku nzima na waandishi wa habari kutaka kusikia maoni yake juu ya kura iliyopigwa Scotland.
Wananchi wa Scotland wamepiga kura na kuunga mkono muungano wa miaka 307 baina ya nchi hiyo na Uingereza katika...
Kinana alisema amekuwa akipigiwa simu siku nzima na waandishi wa habari kutaka kusikia maoni yake juu ya kura iliyopigwa Scotland.
Wananchi wa Scotland wamepiga kura na kuunga mkono muungano wa miaka 307 baina ya nchi hiyo na Uingereza katika...
10 years ago
GPL21 Sep
KINANA ATOA MAONI YAKE KWA WAANDISHI JUU YA MUUNGANO WA SCOTLAND
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akitoa maoni yake juu ya kile kilichotokea Scotland kwa waandishi wa habari alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Mtongani.
10 years ago
Vijimambo21 Sep
MAONI YA KINANA BAADA YA WANANCHI WA SCOTLAND KUPIGA KURA KUUNGA MKONO MUUNGANO
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana jana kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya shule ya msingi Mtongani alitoa maoni yake juu ya kura iliyopigwa na wananchi wa Scotland kuunga mkono Muungano dhidi ya wale waliotaka kujitenga.
Kinana alisema amekuwa akipigiwa simu siku nzima na waandishi wa habari kutaka kusikia maoni yake juu ya kura iliyopigwa Scotland.
Wananchi wa Scotland wamepiga kura na kuunga mkono muungano wa miaka 307 baina ya nchi hiyo na Uingereza katika...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania