Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM wafurahia matokeo ya Scotland, Uingereza

Kushindwa kujitenga kwa Scotland kutoka himaya ya ufalme wa Uingereza, kumetoa somo kwa wanasiasa kwamba hawana haki ya kuwafanyia uamuzi wananchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Je,Scotland itajitenga na Uingereza?

Matokeo ya kura mpya ya maoni yanaonyesha kuwa upande wowote unaweza kuibuka mshindi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Scotland kubaki au kujitenga Uingereza

Upigaji kura ya maoni unakaribia kuanza Scotland kwa raia wa nchi hiyo kuamua kujitenga au kubaki kwenye himaya ya Uingereza.

 

10 years ago

Mwananchi

Raia wa Scotland wakataa kujitenga na Uingereza

Scotland imefanya uamuzi wa mwisho wa kuendelea kuwa sehemu ya Uingereza ,kwa maamuzi ya kura ya maoni ambapo asilimia 55 ya raia wake kwa pamoja wamekataa uhuru wa moja kwa moja wa nchi hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Hatima muungano wa Scotland, Uingereza leo

Leo Scotland inapiga kura itakayoamua, aidha kujitenga kutoka mikono ya Uingereza au kubaki.Waziri Mkuu wa Uingereza,David Cameron ni miongoni mwa watu wanaopigania kuendelea kudumu kwa muungano huo.

 

10 years ago

StarTV

Sunderland wafurahia kubaki ligi kuu Uingereza.

Klabu ya Sunderland na Arsenal jana wametunushiana misuli baada ya kutoka 0-0 na hivyo kufanikiwa kuondoa mashaka ya kushuka daraja msimu huu katika ligi ya England.

Hata hivyo kwa matokeo hayo Arsenal wanashika nafasi ya tatu nyuma ya Manchester City katika ligi hiyo inayomalizika.

Hata hivyo katika mchezo huo Sunderland wanapaswa kujilaumu kwa nafasi ambayo walipata na kushindwa kuitumia kupitia mshambuliaji wake Steven Fletcher.

Mlinda mlango Costel Pantilimon ndiye aliyeibuka shujaa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Matokeo ya Ligi kuu ya Uingereza

EPL-Matokeo ya mechi zilizochezwa siku ya jumamosi.

Liverpool 1 - 1 Everton

Chelsea 3 - 0 Aston Villa

Crystal Palace2 - 0Leicester

Hull 2 - 4 Man City

Man Utd 2 - 1 West Ham

Southampton 2 - 1QPR

Sunderland 0 - 0 Swansea

Arsenal 1 - 1 Tottenham

 

9 years ago

BBCSwahili

Uingereza yapinga kufutwa matokeo Zanzibar

Serikali ya Uingereza na ile ya Ireland Kaskazini zimepinga kufutwa kwa matokeo ya uchaguzi wa Zanzibar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani