CCM wafurahia matokeo ya Scotland, Uingereza
Kushindwa kujitenga kwa Scotland kutoka himaya ya ufalme wa Uingereza, kumetoa somo kwa wanasiasa kwamba hawana haki ya kuwafanyia uamuzi wananchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili14 Sep
Je,Scotland itajitenga na Uingereza?
10 years ago
BBCSwahili18 Sep
Scotland kubaki au kujitenga Uingereza
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1VJR9F-zilqnyCSsU-vqI0EwMl*NF*4*a8P90TrayAa7kTNbLB9kcp-XVM9liTTIPmLem*tUDD2z4vDt49PM6Q6h*oKeQG2Z/SCOTLAND.jpg?width=650)
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Raia wa Scotland wakataa kujitenga na Uingereza
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Hatima muungano wa Scotland, Uingereza leo
10 years ago
StarTV21 May
Sunderland wafurahia kubaki ligi kuu Uingereza.
Klabu ya Sunderland na Arsenal jana wametunushiana misuli baada ya kutoka 0-0 na hivyo kufanikiwa kuondoa mashaka ya kushuka daraja msimu huu katika ligi ya England.
Hata hivyo kwa matokeo hayo Arsenal wanashika nafasi ya tatu nyuma ya Manchester City katika ligi hiyo inayomalizika.
Hata hivyo katika mchezo huo Sunderland wanapaswa kujilaumu kwa nafasi ambayo walipata na kushindwa kuitumia kupitia mshambuliaji wake Steven Fletcher.
Mlinda mlango Costel Pantilimon ndiye aliyeibuka shujaa...
10 years ago
BBCSwahili28 Sep
Matokeo ya Ligi kuu ya Uingereza
EPL-Matokeo ya mechi zilizochezwa siku ya jumamosi.
Liverpool 1 - 1 Everton
Chelsea 3 - 0 Aston Villa
Crystal Palace2 - 0Leicester
Hull 2 - 4 Man City
Man Utd 2 - 1 West Ham
Southampton 2 - 1QPR
Sunderland 0 - 0 Swansea
Arsenal 1 - 1 Tottenham
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Uingereza yapinga kufutwa matokeo Zanzibar