Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sunderland wafurahia kubaki ligi kuu Uingereza.

Klabu ya Sunderland na Arsenal jana wametunushiana misuli baada ya kutoka 0-0 na hivyo kufanikiwa kuondoa mashaka ya kushuka daraja msimu huu katika ligi ya England.

Hata hivyo kwa matokeo hayo Arsenal wanashika nafasi ya tatu nyuma ya Manchester City katika ligi hiyo inayomalizika.

Hata hivyo katika mchezo huo Sunderland wanapaswa kujilaumu kwa nafasi ambayo walipata na kushindwa kuitumia kupitia mshambuliaji wake Steven Fletcher.

Mlinda mlango Costel Pantilimon ndiye aliyeibuka shujaa...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Matokeo ya Ligi kuu ya Uingereza

EPL-Matokeo ya mechi zilizochezwa siku ya jumamosi.

Liverpool 1 - 1 Everton

Chelsea 3 - 0 Aston Villa

Crystal Palace2 - 0Leicester

Hull 2 - 4 Man City

Man Utd 2 - 1 West Ham

Southampton 2 - 1QPR

Sunderland 0 - 0 Swansea

Arsenal 1 - 1 Tottenham

 

11 years ago

TZToday

MSIMAMO WA LIGI KUU YA UINGEREZA

CHANZO: Barclayspremierleague.com

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

BBCSwahili

Mechi za ligi kuu Uingereza Jumamosi

Arsenal itachuna na Manchester United huku Chelsea na Manchester City zikikabiliana na West Brom na Swansea

 

5 years ago

BBCSwahili

Ligi kuu Uingereza kurejea tarehe 17 Juni

Ligi kuu Uingereza kurejea tarehe 17 Juni, zaidi ya miezi mitatu baada ya kuahirishwa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani