Sunderland wafurahia kubaki ligi kuu Uingereza.
Klabu ya Sunderland na Arsenal jana wametunushiana misuli baada ya kutoka 0-0 na hivyo kufanikiwa kuondoa mashaka ya kushuka daraja msimu huu katika ligi ya England.
Hata hivyo kwa matokeo hayo Arsenal wanashika nafasi ya tatu nyuma ya Manchester City katika ligi hiyo inayomalizika.
Hata hivyo katika mchezo huo Sunderland wanapaswa kujilaumu kwa nafasi ambayo walipata na kushindwa kuitumia kupitia mshambuliaji wake Steven Fletcher.
Mlinda mlango Costel Pantilimon ndiye aliyeibuka shujaa...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 Sep
Matokeo ya Ligi kuu ya Uingereza
EPL-Matokeo ya mechi zilizochezwa siku ya jumamosi.
Liverpool 1 - 1 Everton
Chelsea 3 - 0 Aston Villa
Crystal Palace2 - 0Leicester
Hull 2 - 4 Man City
Man Utd 2 - 1 West Ham
Southampton 2 - 1QPR
Sunderland 0 - 0 Swansea
Arsenal 1 - 1 Tottenham
11 years ago
TZToday10 years ago
Vijimambo03 May
10 years ago
BBCSwahili21 Nov
Mechi za ligi kuu Uingereza Jumamosi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whu7RSvDwY3vqPRAnQNucWX*3FzFICFojPPylLOEkC0UiojTPRf3ImAJpyKCbzC6CTSS3FkwH-qRv7tpkp4YWEx8BuaYrlou/SuperSportKeyLiveEventsEPLandFACUP89032014MichuziBlogBanner.jpg?width=750)
5 years ago
BBCSwahili28 May
Ligi kuu Uingereza kurejea tarehe 17 Juni
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cPakA0chAEw50x9S1JNfuE-uRLAdmxpLOXV4KSQxB2cHbTlh-7rENAB98f-OOkGl8ABWMso0RvNa02riiUjk5qQAmmMtG8pN/unnamed.jpg)