Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majaji watatu kuamua hatma Bunge Maalum

JOPO la Majaji watatu linatarajia kusikiliza ombi kwa Mahakama itoe amri ya kusimamisha Bunge Maalumu la Katiba lililofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Said Kubenea katika Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Kikwete kupewa jukumu la kuamua hatma ya Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Shy-Rose Bhanji,

RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kupewa jukumu la kuamua hatma ya Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Shy-Rose Bhanji, wakati atakapopewa Uenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), mwisho wa mwezi huu.

Rais Kikwete anatarajiwa kuchukua Uenyekiti wa EAC baada ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Mashariki uliopangwa kufanyika jijini Nairobi, Kenya, Novemba 29 na 30 mwaka huu.

Mwenyekiti wa sasa wa EAC, Rais Uhuru Kenyatta, wa Kenya anamaliza muda wake mwezi huu na Raia Mwema...

 

10 years ago

Mwananchi

Kesi ya kupinga Bunge la Katiba yapangiwa majaji watatu

Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam imeanza mchakato wa kusikiliza kesi dhidi ya Bunge la Katiba baada ya kupanga jopo la majaji wa kuisikiliza.

 

11 years ago

Mwananchi

Logarusic kuamua hatma Kiongera

>Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic atakuwa na kibarua cha kuchagua mshambuliaji mmoja kati ya nyota watatu wakakaotambulishwa katika tamasha la Simba Day.

 

11 years ago

BBCSwahili

Scolari kuamua hatma yake baada ya kombe

Mkufunzi wa Brazil Luiz Felipe Scolari amesema ataamua mustakabali wake baada ya fainali ya kombe

 

11 years ago

Habarileo

Korti kuamua hatma ya ombi la Shekhe Ponda

HATIMA ya ombi la marejeo lililowasilishwa na Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Shekhe Issa Ponda itajulikana leo wakati Mahakama ya Kuu Kanda ya Dar es Salaam itakapotoa uamuzi wa pingamizi la awali. Jaji Augustine Mwarija anatarajia kutoa uamuzi huo, kutokana na pingamizi la awali, lililowasilishwa na Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), akidai kuwa ombi hilo halina msingi kisheria.

 

9 years ago

Bongo5

Roman Abramovich kuamua hatma ya Jose Mourinho Chelsea leo

Mmiliki wa klabu ya Chelsea, Roman Abramovich atalazimika kumlipa Jose Mourinho zaidi ya pauni milioni 40 kama atamfukuza kazi ya kuwa kocha wa Chelsea kwenye kikao cha dharura siku ya Jumatano.

Roman-Abramovich

Abramovich alikuwa na mazungumzo na timu ya makocha – Bruce Buck, Marina Granovskaia, Eugene Tenenbum na Michael Emenalo – kuhusu mustakabali wa Mourinho.

Wakati Mreno huyo aliporejea klabuni hapo mwaka 2013, bodi ilimpigia kura 3-2 kumpendekeza yeye. Leo litakuwa suala jingine.

2F6063C200000578-0-Roman_Abramovich_will_be_forced_to_pay_Jose_Mourinho_more_than_4-a-2_1450213633301

Mourinho anayelipwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Hatma ya majaji escrow kuchukua muda mrefu

>Jaji Mkuu Mohamed Chande amesema hatma ya majaji wawili waliotajwa kupokea fedha zinazohusishwa na sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow, itachukua muda mrefu kwa kuwa uchunguzi huhitaji muda mrefu kukamilika.

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA

 Sisi Wawakilishi wa Jumuiya na Taasisi za Dini, tuliopendekezwa na Taasisi zetu na baadaye kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kushauriana na Rais wa Zanzibar kuwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, na kula kiapo cha utekelezaji wa jukumu hili kubwa.Tukiamini kuandaa Katiba Mpya kwa maridhiano ya Kitaifa kwa wananchi wote, tulipokea jukumu hili kama wajibu wetu Kitaifa.  Aidha tunaamini kwamba katika kupata maridhiano ya Kitaifa ni muhimu kuheshimu kila wazo na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani