Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Logarusic kuamua hatma Kiongera

>Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic atakuwa na kibarua cha kuchagua mshambuliaji mmoja kati ya nyota watatu wakakaotambulishwa katika tamasha la Simba Day.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Majaji watatu kuamua hatma Bunge Maalum

JOPO la Majaji watatu linatarajia kusikiliza ombi kwa Mahakama itoe amri ya kusimamisha Bunge Maalumu la Katiba lililofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Said Kubenea katika Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam.

 

11 years ago

BBCSwahili

Scolari kuamua hatma yake baada ya kombe

Mkufunzi wa Brazil Luiz Felipe Scolari amesema ataamua mustakabali wake baada ya fainali ya kombe

 

11 years ago

Habarileo

Korti kuamua hatma ya ombi la Shekhe Ponda

HATIMA ya ombi la marejeo lililowasilishwa na Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Shekhe Issa Ponda itajulikana leo wakati Mahakama ya Kuu Kanda ya Dar es Salaam itakapotoa uamuzi wa pingamizi la awali. Jaji Augustine Mwarija anatarajia kutoa uamuzi huo, kutokana na pingamizi la awali, lililowasilishwa na Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), akidai kuwa ombi hilo halina msingi kisheria.

 

9 years ago

Bongo5

Roman Abramovich kuamua hatma ya Jose Mourinho Chelsea leo

Mmiliki wa klabu ya Chelsea, Roman Abramovich atalazimika kumlipa Jose Mourinho zaidi ya pauni milioni 40 kama atamfukuza kazi ya kuwa kocha wa Chelsea kwenye kikao cha dharura siku ya Jumatano.

Roman-Abramovich

Abramovich alikuwa na mazungumzo na timu ya makocha – Bruce Buck, Marina Granovskaia, Eugene Tenenbum na Michael Emenalo – kuhusu mustakabali wa Mourinho.

Wakati Mreno huyo aliporejea klabuni hapo mwaka 2013, bodi ilimpigia kura 3-2 kumpendekeza yeye. Leo litakuwa suala jingine.

2F6063C200000578-0-Roman_Abramovich_will_be_forced_to_pay_Jose_Mourinho_more_than_4-a-2_1450213633301

Mourinho anayelipwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Kikwete kupewa jukumu la kuamua hatma ya Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Shy-Rose Bhanji,

RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kupewa jukumu la kuamua hatma ya Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Shy-Rose Bhanji, wakati atakapopewa Uenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), mwisho wa mwezi huu.

Rais Kikwete anatarajiwa kuchukua Uenyekiti wa EAC baada ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Mashariki uliopangwa kufanyika jijini Nairobi, Kenya, Novemba 29 na 30 mwaka huu.

Mwenyekiti wa sasa wa EAC, Rais Uhuru Kenyatta, wa Kenya anamaliza muda wake mwezi huu na Raia Mwema...

 

10 years ago

Mwananchi

Okwi, Kiongera marufuku

Mshambuliaji wa Simba raia wa Uganda, Emmanuel Okwi na wenzake wanne wanaweza kuwa wameiingiza klabu hiyo kwenye mgogoro mkubwa; hawana kibali cha kufanya kazi nchinilicha ya kutumiwa kwenye mechi za ufunguzi wa Ligi Kuu mwishoni mwa wiki.

 

10 years ago

Mwananchi

Kiongera aikosa Yanga

>Kocha wa Simba, Patrick Phiri amesema  kuumia kwa Raphael Kiongera na Haruna Chanongo ni pigo kubwa kwa timu yake wakijiandaa na michezo miwili kabla ya kuivaa Yanga Oktoba 12.

 

10 years ago

GPL

Kiongera kutibiwa nje ya nchi

Sweetbert Lukonge na Hans Mloli
DAKTARI maarufu wa michezo nchini ambaye hakutaka kutajwa jina lake amesema kuna uwezekano mkubwa Simba ikalazimika kumpandisha ndege mshambuliaji wake Paul Kiongera akatibiwe. Mchezaji wa timu ya Simba, Paul Raphael Kiongera. Daktari huyo amesema kama Kiongera amekuwa na ugonjwa sugu wa goti, ni nadra kama atanusurika kufanyia upasuaji. “Ugonjwa wa goti una mambo mengi, siwezi kusema kila...

 

10 years ago

GPL

Kisiga awavaa Okwi, Kiongera

Kiungo mshambuliaji wa Simba, Shabani Kisiga. Na Sweetbert Lukonge
ZIKIWA bado siku chache ili kuanza kwa michuano ya Ligi Kuu Bara, kiungo mshambuliaji wa Simba, Shabani Kisiga, amewapa somo zito wachezaji wenzake wa timu hiyo, Emmanuel Okwi na Paul Kiongera kwa kuwataka kuachana na utani pindi wanapokuwa uwanjani na badala yake wapambane mwanzo mwisho. Kisiga ambaye amejiunga na Simba hivi karibuni akitokea Mtibwa Sugar,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani