Logarusic kuamua hatma Kiongera
>Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic atakuwa na kibarua cha kuchagua mshambuliaji mmoja kati ya nyota watatu wakakaotambulishwa katika tamasha la Simba Day.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo29 Aug
Majaji watatu kuamua hatma Bunge Maalum
JOPO la Majaji watatu linatarajia kusikiliza ombi kwa Mahakama itoe amri ya kusimamisha Bunge Maalumu la Katiba lililofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Said Kubenea katika Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam.
11 years ago
BBCSwahili10 Jul
Scolari kuamua hatma yake baada ya kombe
11 years ago
Habarileo18 Mar
Korti kuamua hatma ya ombi la Shekhe Ponda
HATIMA ya ombi la marejeo lililowasilishwa na Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Shekhe Issa Ponda itajulikana leo wakati Mahakama ya Kuu Kanda ya Dar es Salaam itakapotoa uamuzi wa pingamizi la awali. Jaji Augustine Mwarija anatarajia kutoa uamuzi huo, kutokana na pingamizi la awali, lililowasilishwa na Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), akidai kuwa ombi hilo halina msingi kisheria.
9 years ago
Bongo516 Dec
Roman Abramovich kuamua hatma ya Jose Mourinho Chelsea leo
Mmiliki wa klabu ya Chelsea, Roman Abramovich atalazimika kumlipa Jose Mourinho zaidi ya pauni milioni 40 kama atamfukuza kazi ya kuwa kocha wa Chelsea kwenye kikao cha dharura siku ya Jumatano.
Abramovich alikuwa na mazungumzo na timu ya makocha – Bruce Buck, Marina Granovskaia, Eugene Tenenbum na Michael Emenalo – kuhusu mustakabali wa Mourinho.
Wakati Mreno huyo aliporejea klabuni hapo mwaka 2013, bodi ilimpigia kura 3-2 kumpendekeza yeye. Leo litakuwa suala jingine.
Mourinho anayelipwa...
10 years ago
Vijimambo23 Nov
Kikwete kupewa jukumu la kuamua hatma ya Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Shy-Rose Bhanji,
Rais Kikwete anatarajiwa kuchukua Uenyekiti wa EAC baada ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Mashariki uliopangwa kufanyika jijini Nairobi, Kenya, Novemba 29 na 30 mwaka huu.
Mwenyekiti wa sasa wa EAC, Rais Uhuru Kenyatta, wa Kenya anamaliza muda wake mwezi huu na Raia Mwema...
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Okwi, Kiongera marufuku
10 years ago
Mwananchi24 Sep
Kiongera aikosa Yanga
10 years ago
GPLKiongera kutibiwa nje ya nchi
10 years ago
GPLKisiga awavaa Okwi, Kiongera