Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiongera aikosa Yanga

>Kocha wa Simba, Patrick Phiri amesema  kuumia kwa Raphael Kiongera na Haruna Chanongo ni pigo kubwa kwa timu yake wakijiandaa na michezo miwili kabla ya kuivaa Yanga Oktoba 12.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Sindano zamlaza Kiongera, aikosa Yanga

Mshambuliaji wa Simba Mkenya, Paul Modo Kiongera. Na Mwandishi Wetu
NI hofu na mashaka ya pambano la watani imeanza, sasa Simba itamkosa mshambuliaji wake Mkenya, Paul Modo Kiongera katika mechi dhidi ya Yanga.Mechi hiyo ya nne kwa kila timu ya Ligi Kuu Bara itapigwa Oktoba 12 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam na tayari imethibitika Kiongera, hatacheza.… ...

 

10 years ago

GPL

Cannavaro aikosa... Azam FC

Beki na nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’. Na Wilbert Molandi
BEKI na nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ anatarajiwa kuikosa mechi yenye upinzani mkubwa ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC. Mechi hiyo ni muhimu kwa beki huyo kucheza kutokana na aina ya washambuliaji wa Azam FC. Mtanange huo utapigwa Desemba 28, mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Cannavaro ataikosa...

 

10 years ago

Mwananchi

Samatta aikosa CSKA

Mshambuliaji wa TP Mazembe na Taifa Stars, Mbwana Samatta ameshindwa jaribio la kucheza soka Ulaya kwenye klabu ya CSKA Moscow ya Russia baada ya ofa yao kushindikikana kabla ya dirisha la usajili kufungwa.

 

11 years ago

GPL

MAYA AZIDIWA, AIKOSA KANUMBA DAY

Na Erick Evarist MWIGIZAJI ambaye ambaye alikuwa akifanya kazi kwa karibu sana na marehemu Steven Kanumba, Mayasa Mrisho ‘Maya’ alijikuta akishindwa kuhudhuria siku maalum ya marehemu baada ya kuzidiwa na ugonjwa wa malaria. Mwigizaji wa Bongo Muvi, Mayasa Mrisho ‘Maya’. Siku ya Kanumba Day iliadhimishwa Jumatatu iliyopita ambapo ndugu pamoja na baadhi ya wasanii walijumuika pamoja kufanya maombi...

 

10 years ago

Mwananchi

Okwi, Kiongera marufuku

Mshambuliaji wa Simba raia wa Uganda, Emmanuel Okwi na wenzake wanne wanaweza kuwa wameiingiza klabu hiyo kwenye mgogoro mkubwa; hawana kibali cha kufanya kazi nchinilicha ya kutumiwa kwenye mechi za ufunguzi wa Ligi Kuu mwishoni mwa wiki.

 

9 years ago

Mtanzania

Kiongera azidi kuchanua Kenya

280629_heroaNA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM

MSHAMBULIAJI wa Simba anayekipiga kwa mkopo katika kikosi cha KCB ya Kenya, Paul Kiongera, ameendelea kung’ara baada ya kuteuliwa kuwania tuzo ya mchezaji aliyerejea kwa kishindo (Comeback of the Year Award) Ligi Kuu nchini humo.

Kiongera, ambaye tayari Simba imetangaza kumrejesha kundini ili kukitumikia kikosi chao katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara zitakazoendelea Desemba 12, mwaka huu, anawania tuzo hiyo pamoja na nyota wa Nakuru RFC, Lawrence...

 

10 years ago

GPL

Kisiga awavaa Okwi, Kiongera

Kiungo mshambuliaji wa Simba, Shabani Kisiga. Na Sweetbert Lukonge
ZIKIWA bado siku chache ili kuanza kwa michuano ya Ligi Kuu Bara, kiungo mshambuliaji wa Simba, Shabani Kisiga, amewapa somo zito wachezaji wenzake wa timu hiyo, Emmanuel Okwi na Paul Kiongera kwa kuwataka kuachana na utani pindi wanapokuwa uwanjani na badala yake wapambane mwanzo mwisho. Kisiga ambaye amejiunga na Simba hivi karibuni akitokea Mtibwa Sugar,...

 

11 years ago

Mwananchi

Logarusic kuamua hatma Kiongera

>Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic atakuwa na kibarua cha kuchagua mshambuliaji mmoja kati ya nyota watatu wakakaotambulishwa katika tamasha la Simba Day.

 

10 years ago

Mwananchi

Kiongera achelewesha kikosi Simba

Kocha Patrick Phiri amesema mshambuliaji wake Raphael Kiongera ndiye anayemchelewesha kupata kikosi cha kwanza kutokana na kuchelewa kuripoti kambini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani