Kiongera azidi kuchanua Kenya
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI wa Simba anayekipiga kwa mkopo katika kikosi cha KCB ya Kenya, Paul Kiongera, ameendelea kung’ara baada ya kuteuliwa kuwania tuzo ya mchezaji aliyerejea kwa kishindo (Comeback of the Year Award) Ligi Kuu nchini humo.
Kiongera, ambaye tayari Simba imetangaza kumrejesha kundini ili kukitumikia kikosi chao katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara zitakazoendelea Desemba 12, mwaka huu, anawania tuzo hiyo pamoja na nyota wa Nakuru RFC, Lawrence...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies08 Feb
PICHA:Penzi la Wema Sepetu na Ommy Dimpoz lazidi kuchanua, Watupia picha wakiwa kitandani!!
Baada ya kuwa ni wazi sasa kuwa wawili hao wapo kwenye Le Project flani Amazing..sasa wameamua kutupia picha kwenye kurasa zao za mitandaoni wakiwa kitandani.
Alianza Ommy na badae akafuta Wema ambae aliweka picha hizo jana usiku na kuwatakia followers wake usiku mwema.
Penzi la watu hawa linaendelea kuzua mvutano mkali kati ya wale ambao wanaona sawa na wale ambao wanaona kama sio sawa, wanaosema sawa wanasema,baada ya watu kuachana kila mmoja ana haki ya kula maisha na anaempenda hivyo...
10 years ago
Mwananchi24 Sep
Kiongera aikosa Yanga
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Okwi, Kiongera marufuku
10 years ago
Mwananchi28 Aug
Kiongera achelewesha kikosi Simba
11 years ago
Mwananchi08 Aug
Logarusic kuamua hatma Kiongera
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DtcI2O2Ry7DAT47wbkKwEzTrJvOwatS1yCHgg9rJbhD-K7xdBhZEcwaEfPn2rKLRX0fmAOTA0ooHE4kZ-ir9ownlZ5qn5P2I/1DAR.jpg)
Kisiga awavaa Okwi, Kiongera
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zLSzH-96bg8aF-re*gT7HR*CYZlV1Hj7036wTYh3Z-ZnXSYKnY5ubaPa6dgbiJSeR5ZmC7tdayRIrgd3uZzySjLCyHoaUfTn/KIONGERA.jpg?width=600)
Kiongera kutibiwa nje ya nchi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TQDVHBx0tuUDvJbaWG15gzFmu*1V1LmYtB1ImsLzD9PfJt8MbvkqyF5zClw-Po1aLt32wvAsA5u4ex8-zQjlB*Cq2frThEV0/kiongera.jpg)
Sindano zamlaza Kiongera, aikosa Yanga
9 years ago
Mtanzania11 Dec
Kiongera, Majwega ‘out’ Simba v Azam
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
TIMU ya Simba huenda ikashindwa kuwatumia nyota wake wapya iliyowasajili usajili wa dirisha dogo kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) dhidi ya Azam kesho, kutokana na kubanwa na taratibu za usajili nchini.
Baadhi ya wachezaji hao iliyowasajili ni mshambuliaji Paul Kiongera waliyemrudisha kwa mkopo akitokea KCB ya Kenya, winga Brian Majwega kutoka Azam FC, straika kinda Hijja Ugando.
Wengine ni beki Novatus Lufunga aliyetokea African...