Okwi, Kiongera marufuku
Mshambuliaji wa Simba raia wa Uganda, Emmanuel Okwi na wenzake wanne wanaweza kuwa wameiingiza klabu hiyo kwenye mgogoro mkubwa; hawana kibali cha kufanya kazi nchinilicha ya kutumiwa kwenye mechi za ufunguzi wa Ligi Kuu mwishoni mwa wiki.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DtcI2O2Ry7DAT47wbkKwEzTrJvOwatS1yCHgg9rJbhD-K7xdBhZEcwaEfPn2rKLRX0fmAOTA0ooHE4kZ-ir9ownlZ5qn5P2I/1DAR.jpg)
Kisiga awavaa Okwi, Kiongera
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jk1qJfh5Fa5zGWF5VPt*F2*YLN4WuZwvwSoCl8BHg8jRcIWvymz5tBvrrgb4LSVaesINoCLFZf2SSLa1ZGK0gxljKVt0rRtN/kiongera.jpg)
KIONGERA, TAMBWE, OKWI NI MOTO MWINGINE
10 years ago
Mwananchi24 Sep
Kiongera aikosa Yanga
10 years ago
Mwananchi28 Aug
Kiongera achelewesha kikosi Simba
9 years ago
Mtanzania04 Dec
Kiongera azidi kuchanua Kenya
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI wa Simba anayekipiga kwa mkopo katika kikosi cha KCB ya Kenya, Paul Kiongera, ameendelea kung’ara baada ya kuteuliwa kuwania tuzo ya mchezaji aliyerejea kwa kishindo (Comeback of the Year Award) Ligi Kuu nchini humo.
Kiongera, ambaye tayari Simba imetangaza kumrejesha kundini ili kukitumikia kikosi chao katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara zitakazoendelea Desemba 12, mwaka huu, anawania tuzo hiyo pamoja na nyota wa Nakuru RFC, Lawrence...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zLSzH-96bg8aF-re*gT7HR*CYZlV1Hj7036wTYh3Z-ZnXSYKnY5ubaPa6dgbiJSeR5ZmC7tdayRIrgd3uZzySjLCyHoaUfTn/KIONGERA.jpg?width=600)
Kiongera kutibiwa nje ya nchi
11 years ago
Mwananchi08 Aug
Logarusic kuamua hatma Kiongera
10 years ago
Mtanzania03 Sep
Kiongera akabidhiwa jezi ya Mosoti Simba
![Mshambuliaji mpya wa Simba, Paul Kiongera](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Kiongera.jpg)
Mshambuliaji mpya wa Simba, Paul Kiongera
NA HUSSEIN OMAR, UNGUJA
MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Paul Kiongera, amewasili katika kambi ya timu hiyo, iliyopo mjini hapa kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara, itakayoanza Septemba 20, mwaka huu.
Simba imeweka kambi hapa ikiwa chini ya Kocha Mkuu wake, Mzambia Patrick Phiri na Jumamosi inatarajia kucheza mechi ya kirafiki na Gor Mahia ya Kenya, katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.
Kiongera, aliyewasili hapa juzi usiku, jana alijumuika na...
9 years ago
Mwananchi21 Dec
Kocha Kerr amkingia kifua Kiongera