Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIONGERA, TAMBWE, OKWI NI MOTO MWINGINE

Mshambuliaji wa Simba, Amissi Tambwe akishangilia bao. Na Wilbert Molandi BAADA ya kuisuka vema kombinesheni ya Emmanuel Okwi na Paul Kiongera, Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Phiri, ameanza kuitengeneza nyingine ya Mrundi, Amissi Tambwe na Amri Kiemba.Awali, kocha huyo aliwahi kulalamikia safu ya ushambuliaji ya timu kushindwa kutumia nafasi nyingi wanazozipata katika mechi tatu za kirafiki ilizocheza timu hiyo ikiwa Zanzibar...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Tambwe: Tumeelewana na Okwi, subirini moto wetu

Na Khadija Mngwai
MSHAMBULIAJI wa Simba, Amissi Tambwe, raia wa Burundi, amefunguka kuwa anafurahia ushirikiano wake na Emmanuel Okwi katika kikosi cha Simba na kuahidi kuwa watafanya vizuri katika mechi zijazo.
Kauli ya Tambwe imekuja muda mfupi kabla ya Simba kuivaa Polisi Moro katika mechi ya Ligi Kuu Bara, kesho Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa jijini. Mshambuliaji wa Simba kinara wa mabao Ligi Kuu Bara, Amissi...

 

10 years ago

Mtanzania

Cannavaro, Yondani wapewa uchawi wa Kiongera, Tambwe

Maximo

Kocha mpya wa klabu ya Yanga ya Dar es Salaam, Marcio Maximo

Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam

KOCHA wa timu ya Yanga Mbrazil, Marcio Maximo, ni kama amesikia ubora wa washambuliaji wa Simba SC, Paul Kiongera na Amisi Tambwe, hivi sasa ameanza kuwapa programu maalumu mabeki wake wa kati, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ na Kelvin Yondani, kuhakikisha wanakabiliana na mashambulizi yoyote ya timu pinzani.

Mshambuliaji mpya wa Simba, Kiongera ambaye ni Mkenya, anasifika kwa uwezo wake mkubwa wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Okwi, Kiongera marufuku

Mshambuliaji wa Simba raia wa Uganda, Emmanuel Okwi na wenzake wanne wanaweza kuwa wameiingiza klabu hiyo kwenye mgogoro mkubwa; hawana kibali cha kufanya kazi nchinilicha ya kutumiwa kwenye mechi za ufunguzi wa Ligi Kuu mwishoni mwa wiki.

 

10 years ago

GPL

Kisiga awavaa Okwi, Kiongera

Kiungo mshambuliaji wa Simba, Shabani Kisiga. Na Sweetbert Lukonge
ZIKIWA bado siku chache ili kuanza kwa michuano ya Ligi Kuu Bara, kiungo mshambuliaji wa Simba, Shabani Kisiga, amewapa somo zito wachezaji wenzake wa timu hiyo, Emmanuel Okwi na Paul Kiongera kwa kuwataka kuachana na utani pindi wanapokuwa uwanjani na badala yake wapambane mwanzo mwisho. Kisiga ambaye amejiunga na Simba hivi karibuni akitokea Mtibwa Sugar,...

 

10 years ago

Mwananchi

Beki awapania Tambwe, Okwi

Habari mbaya kwa washambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi na Amissi Tambwe ni kuwa yule beki mbishi wa Stand United,  Yassin Mustapha ‘Evra’ amerejea na atakuwapo dimbani kwenye mchezo wao kesho, Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

Tambwe: Nataka mshahara wa Okwi Yanga

Mshambiliaji  wa kimataifa ya Simba kutoka Burundi, Amissi Tambwe. Na Sweetbert Lukonge
MSHAMBULIAJI wa kimataifa ya Simba kutoka Burundi, Amissi Tambwe, amesema atakuwa tayari kujiunga na Yanga endapo tu klabu hiyo itakubali kumpa mshahara kama anaochukua mshambuliaji Emmanuel Okwi. Hivi karibuni kumekuwepo na tetesi kuwa  Yanga inamhitaji mshambuliaji huyo ambaye anaongoza kwa kuzifumania nyavu katika michuano ya Ligi...

 

11 years ago

Mwananchi

Tambwe amfunika Okwi, Yanga majanga matupu

>Mshambuliaji Amis Tambwe ameitibua sherehe ya utambulisho wa Emmanuel Okwi baada ya kupachika  mabao mawili wakati Simba ilipoichakaza Yanga 3-1 katika mchezo wa ‘Nani Mtani Jembe’ jana kwenye Uwanja Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

Diamond na Mzee Yusuf kuwasha moto Dar Live Krismas katika tamasha la wafalme chini ya Vodacom Tanzania, Moto mwingine wa burudani utakuwa Coco beach

Wapenzi wa burudani  ya muziki wa kizazi kipya na muziki wa taarabu watapata burudani ya funga mwaka kutoka kwa gwiji wa muziki wa kizazi kipya ambaye anatamba kwa vipao mbalimbali vipya Diamond Platnumz na mfalme wa muziki wa taarabu Mzee Yusuf  na kundi lake la Jahazi Modern Taarab watapanda jukwaa moja katika”Tamasha Wafalme”litakalofanyika katika ukumbi wa Dar Live,Mbagala jijini Dar es Salaam.Tamasha hili  la wafalme ambalo limeanza kuwa gumzo la  jiji kutokana na kuwa na burudani za...

 

10 years ago

Mwananchi

Moto mwingine waleta hasara Dar na Mwanza

>Siku nne baada ya kuungua kwa nyumba iliyosababisha vifo vya watu sita wa familia moja, Dar es Salaam, moto mwingine umeteketeza sehemu ya juu ya jengo la ghorofa mbili la Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) lililopo katikati ya jiji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani