Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Beki awapania Tambwe, Okwi

Habari mbaya kwa washambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi na Amissi Tambwe ni kuwa yule beki mbishi wa Stand United,  Yassin Mustapha ‘Evra’ amerejea na atakuwapo dimbani kwenye mchezo wao kesho, Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Tambwe: Yanga hakuna beki wa kunizuia

Amissi Tambwe. Na Sweetbert Lukonge
IKIWA imesalia wiki moja kabla ya kukutana uso kwa uso na Yanga, straika wa Simba, Amissi Tambwe ametamba kuwa lazima afunge bao katika mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara inayotarajiwa kuchezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Championi Ijumaa, Tambwe anayeongoza kwa mabao katika ligi hiyo akiwa amecheka na nyavu mara 19, alisema jeuri hiyo anaipata kwa sababu ukuta wa...

 

10 years ago

GPL

Beki katili: Tambwe aling'ata kidole

Straika wa Yanga, Amissi Tambwe akigombana na beki wa Ruvu Shooting, George Michael.
Sweetbert Lukonge na Said Ally
SIKU chache baada ya tukio la kumkaba straika wa Yanga, Amissi Tambwe katika mechi ya Ligi Kuu Bara, hatimaye beki wa Ruvu Shooting, George Michael maarufu kwa jina la Beki Katili, amefunguka na kusema kuwa, sababu kubwa ya kumkaba Tambwe ni kwa kuwa mpinzani wake huyo alimng’ata kwenye kidole. Ofisa...

 

10 years ago

GPL

AMISSI TAMBWE ATUA YANGA, SIMBA YAMNASA BEKI HASSAN KESSY

Amissi Tambwe. Mshambuliaji raia wa Burundi, Amissi Tambwe amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea klabu ya Yanga SC baada ya kutemwa na timu yake ya zamani Simba SC. Tambwe ndiye mfungaji bora wa msimu uliopita Ligi Kuu Bara baada ya kutupia mabao 19. Kessy (katikati )akisaini mkataba wa miezi 18 kuichezea Simba SC jana. Kulia ni Geofrey Nyange 'Kaburu' na kushoto ni msimamizi wa Kessy, Athuman Tippo. Wakati Tambwe… ...

 

10 years ago

GPL

KIONGERA, TAMBWE, OKWI NI MOTO MWINGINE

Mshambuliaji wa Simba, Amissi Tambwe akishangilia bao. Na Wilbert Molandi BAADA ya kuisuka vema kombinesheni ya Emmanuel Okwi na Paul Kiongera, Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Phiri, ameanza kuitengeneza nyingine ya Mrundi, Amissi Tambwe na Amri Kiemba.Awali, kocha huyo aliwahi kulalamikia safu ya ushambuliaji ya timu kushindwa kutumia nafasi nyingi wanazozipata katika mechi tatu za kirafiki ilizocheza timu hiyo ikiwa Zanzibar...

 

11 years ago

GPL

Tambwe: Nataka mshahara wa Okwi Yanga

Mshambiliaji  wa kimataifa ya Simba kutoka Burundi, Amissi Tambwe. Na Sweetbert Lukonge
MSHAMBULIAJI wa kimataifa ya Simba kutoka Burundi, Amissi Tambwe, amesema atakuwa tayari kujiunga na Yanga endapo tu klabu hiyo itakubali kumpa mshahara kama anaochukua mshambuliaji Emmanuel Okwi. Hivi karibuni kumekuwepo na tetesi kuwa  Yanga inamhitaji mshambuliaji huyo ambaye anaongoza kwa kuzifumania nyavu katika michuano ya Ligi...

 

11 years ago

Mwananchi

Tambwe amfunika Okwi, Yanga majanga matupu

>Mshambuliaji Amis Tambwe ameitibua sherehe ya utambulisho wa Emmanuel Okwi baada ya kupachika  mabao mawili wakati Simba ilipoichakaza Yanga 3-1 katika mchezo wa ‘Nani Mtani Jembe’ jana kwenye Uwanja Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

GPL

Tambwe: Tumeelewana na Okwi, subirini moto wetu

Na Khadija Mngwai
MSHAMBULIAJI wa Simba, Amissi Tambwe, raia wa Burundi, amefunguka kuwa anafurahia ushirikiano wake na Emmanuel Okwi katika kikosi cha Simba na kuahidi kuwa watafanya vizuri katika mechi zijazo.
Kauli ya Tambwe imekuja muda mfupi kabla ya Simba kuivaa Polisi Moro katika mechi ya Ligi Kuu Bara, kesho Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa jijini. Mshambuliaji wa Simba kinara wa mabao Ligi Kuu Bara, Amissi...

 

10 years ago

Mwananchi

Beki tatizo Yanga, Azam

Wawakilishi wa Tanzania katika mashindano ya Afrika mwakani, Azam na Yanga walishindwa kutambiana juzi kwa kutoka sare 2-2, lakini mengi yalijiweka bayana katika mchezo huolicha ya matokeo hayo yapo mambo mengi yaliyojitokeza.

 

10 years ago

GPL

TFF yamfungia beki Simba

BEKI wa kushoto wa timu ya Simba (kulia), Abdi Banda. Na Said Ally
BEKI wa kushoto wa timu ya Simba, Abdi Banda, amesema kuwa amefungiwa mechi mbili na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). Banda alikuwa na utata kwenye usajili wake na Simba huku akidaiwa kuwa alisaini kwenye timu hiyo ya Msimbazi wakati akiwa bado na mkataba na Coastal Union na timu zote zilipeleka jina la mchezaji huyo kwenye usajili wake lakini aliidhinishwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani