Beki awapania Tambwe, Okwi
Habari mbaya kwa washambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi na Amissi Tambwe ni kuwa yule beki mbishi wa Stand United, Yassin Mustapha ‘Evra’ amerejea na atakuwapo dimbani kwenye mchezo wao kesho, Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj362YjnsfjMjGke3f2V42yAab4D*FYpixDUrUv4aK5Kwq*6*KTI*Tf14GVbOujFUZXNDMVUrpf8MMwe7UIQimLI/TAMBWE.jpg?width=650)
Tambwe: Yanga hakuna beki wa kunizuia
Amissi Tambwe. Na Sweetbert Lukonge
IKIWA imesalia wiki moja kabla ya kukutana uso kwa uso na Yanga, straika wa Simba, Amissi Tambwe ametamba kuwa lazima afunge bao katika mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara inayotarajiwa kuchezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Championi Ijumaa, Tambwe anayeongoza kwa mabao katika ligi hiyo akiwa amecheka na nyavu mara 19, alisema jeuri hiyo anaipata kwa sababu ukuta wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wh6b0fkgU11pcT6V2-uS1dGbZRR-LyKuLutluD6TPnDf*-8wY1DRDxQ21pUFJz*2tZiAXEU9k0H101Ovl7wPL8scJtTt8mfE/BEKI.jpg)
Beki katili: Tambwe aling'ata kidole
Straika wa Yanga, Amissi Tambwe akigombana na beki wa Ruvu Shooting, George Michael.
Sweetbert Lukonge na Said Ally
SIKU chache baada ya tukio la kumkaba straika wa Yanga, Amissi Tambwe katika mechi ya Ligi Kuu Bara, hatimaye beki wa Ruvu Shooting, George Michael maarufu kwa jina la Beki Katili, amefunguka na kusema kuwa, sababu kubwa ya kumkaba Tambwe ni kwa kuwa mpinzani wake huyo alimng’ata kwenye kidole. Ofisa...
10 years ago
GPLAMISSI TAMBWE ATUA YANGA, SIMBA YAMNASA BEKI HASSAN KESSY
Amissi Tambwe. Mshambuliaji raia wa Burundi, Amissi Tambwe amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea klabu ya Yanga SC baada ya kutemwa na timu yake ya zamani Simba SC. Tambwe ndiye mfungaji bora wa msimu uliopita Ligi Kuu Bara baada ya kutupia mabao 19. Kessy (katikati )akisaini mkataba wa miezi 18 kuichezea Simba SC jana. Kulia ni Geofrey Nyange 'Kaburu' na kushoto ni msimamizi wa Kessy, Athuman Tippo. Wakati Tambwe… ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jk1qJfh5Fa5zGWF5VPt*F2*YLN4WuZwvwSoCl8BHg8jRcIWvymz5tBvrrgb4LSVaesINoCLFZf2SSLa1ZGK0gxljKVt0rRtN/kiongera.jpg)
KIONGERA, TAMBWE, OKWI NI MOTO MWINGINE
Mshambuliaji wa Simba, Amissi Tambwe akishangilia bao. Na Wilbert Molandi BAADA ya kuisuka vema kombinesheni ya Emmanuel Okwi na Paul Kiongera, Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Phiri, ameanza kuitengeneza nyingine ya Mrundi, Amissi Tambwe na Amri Kiemba.Awali, kocha huyo aliwahi kulalamikia safu ya ushambuliaji ya timu kushindwa kutumia nafasi nyingi wanazozipata katika mechi tatu za kirafiki ilizocheza timu hiyo ikiwa Zanzibar...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/i*tFWQTF2R*OHZ3TqPjn-AUggCuZNv5RFnB8u1DpMzfzRmYS7hlJxJVjUkDOyn1vB5NavTzFCmiwihj5WX6WX*F7*DDGCqd7/TAMBWE.jpg?width=650)
Tambwe: Nataka mshahara wa Okwi Yanga
Mshambiliaji wa kimataifa ya Simba kutoka Burundi, Amissi Tambwe. Na Sweetbert Lukonge
MSHAMBULIAJI wa kimataifa ya Simba kutoka Burundi, Amissi Tambwe, amesema atakuwa tayari kujiunga na Yanga endapo tu klabu hiyo itakubali kumpa mshahara kama anaochukua mshambuliaji Emmanuel Okwi. Hivi karibuni kumekuwepo na tetesi kuwa Yanga inamhitaji mshambuliaji huyo ambaye anaongoza kwa kuzifumania nyavu katika michuano ya Ligi...
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Tambwe amfunika Okwi, Yanga majanga matupu
>Mshambuliaji Amis Tambwe ameitibua sherehe ya utambulisho wa Emmanuel Okwi baada ya kupachika mabao mawili wakati Simba ilipoichakaza Yanga 3-1 katika mchezo wa ‘Nani Mtani Jembe’ jana kwenye Uwanja Taifa, Dar es Salaam.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zLSzH-96bg*TKXCj7gBtO6gmUJieiwyHNsIzZlmvyAi68VFUhfXPaNOr2nilRmRZTMpQNXReVlCcQxjMBvLSnG8ui29HHhEw/R.jpg?width=650)
Tambwe: Tumeelewana na Okwi, subirini moto wetu
Na Khadija Mngwai
MSHAMBULIAJI wa Simba, Amissi Tambwe, raia wa Burundi, amefunguka kuwa anafurahia ushirikiano wake na Emmanuel Okwi katika kikosi cha Simba na kuahidi kuwa watafanya vizuri katika mechi zijazo.
Kauli ya Tambwe imekuja muda mfupi kabla ya Simba kuivaa Polisi Moro katika mechi ya Ligi Kuu Bara, kesho Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa jijini. Mshambuliaji wa Simba kinara wa mabao Ligi Kuu Bara, Amissi...
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Beki tatizo Yanga, Azam
Wawakilishi wa Tanzania katika mashindano ya Afrika mwakani, Azam na Yanga walishindwa kutambiana juzi kwa kutoka sare 2-2, lakini mengi yalijiweka bayana katika mchezo huolicha ya matokeo hayo yapo mambo mengi yaliyojitokeza.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TQDVHBx0tuWGt8UPx4yp65pF*x3ZoLrlSVnpPFPqv1NZJ9DuIBtKMuQmIpFN3Gx49BmFgYQxSlcHu1zQZoe4SjHiR7tC4DKc/tff.jpg)
TFF yamfungia beki Simba
BEKI wa kushoto wa timu ya Simba (kulia), Abdi Banda. Na Said Ally
BEKI wa kushoto wa timu ya Simba, Abdi Banda, amesema kuwa amefungiwa mechi mbili na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). Banda alikuwa na utata kwenye usajili wake na Simba huku akidaiwa kuwa alisaini kwenye timu hiyo ya Msimbazi wakati akiwa bado na mkataba na Coastal Union na timu zote zilipeleka jina la mchezaji huyo kwenye usajili wake lakini aliidhinishwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania