Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kisiga awavaa Okwi, Kiongera

Kiungo mshambuliaji wa Simba, Shabani Kisiga. Na Sweetbert Lukonge
ZIKIWA bado siku chache ili kuanza kwa michuano ya Ligi Kuu Bara, kiungo mshambuliaji wa Simba, Shabani Kisiga, amewapa somo zito wachezaji wenzake wa timu hiyo, Emmanuel Okwi na Paul Kiongera kwa kuwataka kuachana na utani pindi wanapokuwa uwanjani na badala yake wapambane mwanzo mwisho. Kisiga ambaye amejiunga na Simba hivi karibuni akitokea Mtibwa Sugar,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Okwi, Kiongera marufuku

Mshambuliaji wa Simba raia wa Uganda, Emmanuel Okwi na wenzake wanne wanaweza kuwa wameiingiza klabu hiyo kwenye mgogoro mkubwa; hawana kibali cha kufanya kazi nchinilicha ya kutumiwa kwenye mechi za ufunguzi wa Ligi Kuu mwishoni mwa wiki.

 

10 years ago

GPL

KIONGERA, TAMBWE, OKWI NI MOTO MWINGINE

Mshambuliaji wa Simba, Amissi Tambwe akishangilia bao. Na Wilbert Molandi BAADA ya kuisuka vema kombinesheni ya Emmanuel Okwi na Paul Kiongera, Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Phiri, ameanza kuitengeneza nyingine ya Mrundi, Amissi Tambwe na Amri Kiemba.Awali, kocha huyo aliwahi kulalamikia safu ya ushambuliaji ya timu kushindwa kutumia nafasi nyingi wanazozipata katika mechi tatu za kirafiki ilizocheza timu hiyo ikiwa Zanzibar...

 

10 years ago

Mwananchi

Uhuru, Kisiga hakuna kulala

Kutokana na ushindani wa namba katika kikosi cha Simba, viungo wa timu hiyo, Shaaban Kisiga na Uhuru Selemani wamejikuta wakilazimika kufanya mazoezi binafsi baada ya kocha wao, Patrick Phiri kuwapa mapumziko juzi Jumapili.

 

10 years ago

GPL

Kiemba, Kisiga watimuliwa Simba SC

Mkongwe wa Simba Amri Kiemba. Na Mwandishi Wetu
UNAWEZA kusema kimenuka Simba baada ya uongozi wake kuamua kuwaondoa kambini wachezaji wake watatu wakiwemo wakongwe wawili.Shabani Kisiga na Amri Kiemba wameondolewa kambini Simba mjini Mbeya na kutakiwa kurejea jijini Dar es Salaam wakati timu ikifunga safari hadi Iringa ambako itaweka kambi. Mwingine ambaye ameondolewa kambini ni kinda Haruna Chanongo ambaye ataungana na akina...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kiemba, Kisiga waitesa Simba

HATIMA ya wachezaji Amri Kiemba, Haruna Chanongo na Shaabani Kisiga wa Simba kujerea dimbani, bado haijulikani, kutokana na kikao baina yao na Rais wa klabu hiyo, Evance Aveva, kushindwa kuzaa...

 

10 years ago

Vijimambo

SHABAN KISIGA AJIUNGA NA RUVU SHOOTIG

Aliyekuwa mshambuliaji wa Simba, Shaban Kisiga (pichani) amejiunga na klabu ya Maafande wa Ruvu Shooting kwa mkataba wa mwaka mmoja ili kuinusuru kuirejesha ligi kuu.
Kisiga aliondoka Simba baada ya kutokea sintofahamu na uongozi wa klabu hiyo, hasa benchi la ufundi na kuamua kutimkia kusikojulikana.



Akizungumza na Habari Maseto Ofisa habari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire alisema, nyota huyo amemwaga wino wa mwaka mmoja, na kutokana na uwezo wake dimbani ndio sababu ya kumnyakua.

 

10 years ago

GPL

Kisiga arudishwa Simba, afukuzwa mazoezini

Kiungo wa Simba, Shaban Kisiga. Said Ally na Ibrahim Mussa
UONGOZI wa Klabu ya Simba, umeamua kumrudisha kiungo wake, Shaban Kisiga katika kikosi cha timu hiyo baada ya kumsimamisha kwa muda, kisa kikiwa ni utovu wa nidhamu na kucheza chini ya kiwango katika michezo iliyopita ya ligi kuu. Kiungo huyo mkongwe ambaye alijiunga na Simba akitokea Mtibwa Sugar, alirejea katika kikosi cha timu hiyo jana (Jumanne) ambacho kilikuwa...

 

11 years ago

GPL

Loga awarudisha Boban, Kisiga Simba

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, Sweetbert Lukonge na Nassor Gallu
SIMBA ipo katika hatua za mwisho kuwasainisha mikataba mifupi viungo wakongwe nchini, Haruna Moshi ‘Boban’ na Shabani Kisiga ‘Maron’. Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, amesema anataka viungo wawili wazoefu na si wale ambao wanataka kujifunza.Loga, raia wa Croatia, amesisitiza anataka wachezaji wa kazi ambao watamsaidia...

 

11 years ago

GPL

Kisiga alamba mwaka mmoja Simba

Straika wa zamani wa Simba, Shabani Kisiga. Na Ibrahim Mussa
IMEBAINIKA kuwa, Simba imempa mkataba wa mwaka mmoja straika wao wa zamani, Shabani Kisiga.
Chanzo kutoka ndani ya Simba kimeliambia Championi Jumatatu kuwa, mchezaji huyo kwa asilimia 99 tayari ameshasajiliwa na klabu hiyo lakini kinachosubiriwa sasa ni Kamati ya Usajili ya Simba kumalizana naye na hatimaye kutambulishwa. Tayari ameshaanza kujifua na timu hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani