SHABAN KISIGA AJIUNGA NA RUVU SHOOTIG
![](http://1.bp.blogspot.com/-s9q30zic614/VZFY_mB6lDI/AAAAAAABcds/6ZNvIOpkSIU/s72-c/kisiga.jpg)
Aliyekuwa mshambuliaji wa Simba, Shaban Kisiga (pichani) amejiunga na klabu ya Maafande wa Ruvu Shooting kwa mkataba wa mwaka mmoja ili kuinusuru kuirejesha ligi kuu.
Kisiga aliondoka Simba baada ya kutokea sintofahamu na uongozi wa klabu hiyo, hasa benchi la ufundi na kuamua kutimkia kusikojulikana.
Akizungumza na Habari Maseto Ofisa habari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire alisema, nyota huyo amemwaga wino wa mwaka mmoja, na kutokana na uwezo wake dimbani ndio sababu ya kumnyakua.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo13 Mar
Upanuzi mitambo Ruvu Juu, Ruvu Chini waenda kasi
UHABA wa maji kwa wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam na mikoa mingine inayohudumiwa na mitambo ya maji ya Ruvu Juu na Ruvu Chini unatajwa utakuwa historia kutokana na Serikali kuanza upanuzi wa mitambo hiyo.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mAbH80mS11w/U_TaYw6Zs8I/AAAAAAAGA-s/sydO06UFQ-0/s72-c/MMGM2045.jpg)
Bodi ya DAWASA yatembele Mirani ya Maji Ruvu chini na Ruvu juu leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-mAbH80mS11w/U_TaYw6Zs8I/AAAAAAAGA-s/sydO06UFQ-0/s1600/MMGM2045.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI: EAMCEF, JKT Ruvu wadhamiria kutunza Mto Ruvu
MAZINGIRA ni suala mtambuka, kila mtu kwa nafasi yake anatakiwa kuwajibika kuhakikisha dunia inakua mahali salama pa kuishi. Uwajibikaji wetu licha ya kutunza mazingira, naamini utaongeza pia siku za kuishi...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-aBGiQoIwSoI/VYE80jxBmGI/AAAAAAADsEs/PZ8kn2o4jps/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MEMBE ASHIRIKI MAZISHI YA MUFTI MKUU ISSA SHABAN BIN SIMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-aBGiQoIwSoI/VYE80jxBmGI/AAAAAAADsEs/PZ8kn2o4jps/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oRQVqBqHtS0/VYE81Ifjy0I/AAAAAAADsE8/sV907xB30RU/s640/2.jpg)
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA CHADEMA DR WILBROAD SLAA ASHIRIKI MAZISHI YA MUFTI SHEKHE ISSA SHABAN BIN SIMBA
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
Kiemba, Kisiga waitesa Simba
HATIMA ya wachezaji Amri Kiemba, Haruna Chanongo na Shaabani Kisiga wa Simba kujerea dimbani, bado haijulikani, kutokana na kikao baina yao na Rais wa klabu hiyo, Evance Aveva, kushindwa kuzaa...
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Uhuru, Kisiga hakuna kulala
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DtcI2O2Ry7DAT47wbkKwEzTrJvOwatS1yCHgg9rJbhD-K7xdBhZEcwaEfPn2rKLRX0fmAOTA0ooHE4kZ-ir9ownlZ5qn5P2I/1DAR.jpg)
Kisiga awavaa Okwi, Kiongera
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MBtHLqmI6t0FARl4Xt1EvqtrRTtVMM3t2od1Oczraw7gruONpW-3DVs7TlxoI**tlMo7q0wy9o-0b9Uo5qo4pE48aJNThvaW/kiemba.jpg)
Kiemba, Kisiga watimuliwa Simba SC