Bodi ya DAWASA yatembele Mirani ya Maji Ruvu chini na Ruvu juu leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-mAbH80mS11w/U_TaYw6Zs8I/AAAAAAAGA-s/sydO06UFQ-0/s72-c/MMGM2045.jpg)
Bodi ya Wakurugeni ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) leo Agosti 20,2014 imefanya ziara ya kutembelea Miradi yao ya Maji ya Ruvu Juu na Ruvu Chini ili kujionea maendeleo ya ukarabati wa Miradi hiyo miwili ambayo ilikuwa katika ukarabati.Katika ziara hiyo Bodi hiyo ya DAWASA imeridhishwa na upanuzi wa Mtambo wa Maji wa Ruvu chini ambao kwa sasa umekamilika kabisa huku ukiwa na uhakika wa kutoa maji ujazo wa Lita Milioni 270 kwa siku.Meneja Miradi wa Kampuni ya Megha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-v3GVFzgjVTE/XmZQT4v-CAI/AAAAAAABMtI/_DJtSzNqqjQGLlGJh79HmxO0tyZp2HtNgCNcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200307_122549_073.jpg)
DAWASA WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUSHIRIKI UZALISHAJI MAJI MTAMBO WA RUVU CHINI
Katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani, Mamlaka ya maji safi na Usafi Dar es Salaam na Pwani DAWASA kwa watendaji wanawake kuhusika katika uzalishaji wa maji.
Wanawake wa Dawasa wameshiriki katika uzalishaji maji katika chanzo cha maji cha Ruvu Chini.
Akizungumzia Siku ya wanawake ambayo huadhimishwa Machi 08 kila mwaka, Mkurugenzi wa Mahusiano na Jamii Dawasa , Neli Msuya amesema wameamua kushiriki maadhimisho hayo kwa kwenda chanzo cha Ruvu Chini ili...
11 years ago
Habarileo13 Mar
Upanuzi mitambo Ruvu Juu, Ruvu Chini waenda kasi
UHABA wa maji kwa wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam na mikoa mingine inayohudumiwa na mitambo ya maji ya Ruvu Juu na Ruvu Chini unatajwa utakuwa historia kutokana na Serikali kuanza upanuzi wa mitambo hiyo.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5up8SDctAAg/VMy9onUJkXI/AAAAAAAHAhY/tDxU4ahvl9k/s72-c/Untitled.png)
TAARIFA KUTOKA DAWASCO JUU KUENDELEA KWA MATENGENEZO KWENYE MTAMBO WA MAJI RUVU CHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-5up8SDctAAg/VMy9onUJkXI/AAAAAAAHAhY/tDxU4ahvl9k/s1600/Untitled.png)
HALI HII IMESABABISHA HUDUMA YA MAJI KUKOSEKANA KWENYE BAADHI YA MAENEO YA JIJI LA DAR ES SALAAM KUANZIA ALHAMISI 29/01/2015 KWASABABU HIYO MAENEO YAFUATAYO YAMEKOSA MAJI:
MJI WA...
11 years ago
Habarileo08 Jul
DAWASA yapanua Ruvu Juu
MAMLAKA ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam imeanza upanuzi mkubwa wa mtambo wa Ruvu Juu, ikiwemo kujenga chujio mpya.
10 years ago
Habarileo03 Dec
Maji ya Ruvu Chini yaanza kutoka Dar
MAMLAKA ya Majisafi na Majitaka (DAWASCO) imesema baadhi ya maeneo katika Jiji la Dar es Salaam yameanza kupata maji baada ya kukamilika kuunganishwa kwa bomba la maji ya Mtambo wa Ruvu Chini.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-feqR7SObJ24/Vlp5enpv8_I/AAAAAAAII2g/V-M3cTIasxA/s72-c/02.jpg)
BOMOBOMOA SALASALA ILI KUPISHA UJENZI WA BOMBA LA MAJI -RUVU CHINI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CZQN9OxCHa4/UzTkWw5TqPI/AAAAAAACdkU/ABuX_hFVz2E/s72-c/IMG_1385.jpg)
KINANA ARIDHISHWA NA KASI YA UPANUZI WA MITAMBO MIPYA YA MAJI RUVU CHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-CZQN9OxCHa4/UzTkWw5TqPI/AAAAAAACdkU/ABuX_hFVz2E/s1600/IMG_1385.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1Ehbpl8K2QI/UzTktARLNKI/AAAAAAACdks/yNHvD535kd4/s1600/IMG_1391.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BLIjQ06PJqA/VPcT6qHiNmI/AAAAAAAHHq4/xig3qiBiGK4/s72-c/Untitled.png)
MTAMBO WA MAJI RUVU JUU WAPATA HITILAFU
![](http://4.bp.blogspot.com/-BLIjQ06PJqA/VPcT6qHiNmI/AAAAAAAHHq4/xig3qiBiGK4/s1600/Untitled.png)
Mafundi wa DAWASCO wanaendelea na matengenezo ili kuhakikisha Huduma ya Maji inarejea katika hali ya...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jPiKrgIh-LU/VlmiIp_LyqI/AAAAAAAIIwk/QzZfz4BDAyQ/s72-c/07.jpg)
Chanzo cha maji cha Ruvu Chini kuwatua akina mama ndoo za maji
![](http://4.bp.blogspot.com/-jPiKrgIh-LU/VlmiIp_LyqI/AAAAAAAIIwk/QzZfz4BDAyQ/s640/07.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HGSyjo2g948/VlmiKAqUMlI/AAAAAAAIIww/2LL3Pn6iSPs/s640/08.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-n6SnvV-6I7U/VlmiFECqDFI/AAAAAAAIIv8/zxtfB1EvtdQ/s640/03.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI