DAWASA WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUSHIRIKI UZALISHAJI MAJI MTAMBO WA RUVU CHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-v3GVFzgjVTE/XmZQT4v-CAI/AAAAAAABMtI/_DJtSzNqqjQGLlGJh79HmxO0tyZp2HtNgCNcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200307_122549_073.jpg)
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii
Katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani, Mamlaka ya maji safi na Usafi Dar es Salaam na Pwani DAWASA kwa watendaji wanawake kuhusika katika uzalishaji wa maji.
Wanawake wa Dawasa wameshiriki katika uzalishaji maji katika chanzo cha maji cha Ruvu Chini.
Akizungumzia Siku ya wanawake ambayo huadhimishwa Machi 08 kila mwaka, Mkurugenzi wa Mahusiano na Jamii Dawasa , Neli Msuya amesema wameamua kushiriki maadhimisho hayo kwa kwenda chanzo cha Ruvu Chini ili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mAbH80mS11w/U_TaYw6Zs8I/AAAAAAAGA-s/sydO06UFQ-0/s72-c/MMGM2045.jpg)
Bodi ya DAWASA yatembele Mirani ya Maji Ruvu chini na Ruvu juu leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-mAbH80mS11w/U_TaYw6Zs8I/AAAAAAAGA-s/sydO06UFQ-0/s1600/MMGM2045.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RmwuJxYx1js/VHhzXLt9EpI/AAAAAAAGz7w/Uq4VMLXYFi8/s72-c/dawasco-March6-2013.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUZIMWA KWA MTAMBO WA MAJI RUVU CHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-RmwuJxYx1js/VHhzXLt9EpI/AAAAAAAGz7w/Uq4VMLXYFi8/s1600/dawasco-March6-2013.jpg)
Kuzimwa kwa mtambo wa Ruvu Chini...
10 years ago
MichuziTANGAZO LA KUZIMWA KWA MTAMBO WA MAJI RUVU CHINI KUTOKANA NA MATENGENEZO YA BOMBA KUBWA
SHIRIKA LA MAJI SAFI NA MAJITAKA DAR-ES-SALAAM (DAWASCO),LINAWATANGAZIA WAKAZI WA JIJI LA DAR-ES-SALAAM NA MJI WA BAGAMOYO MKOANI PWANI KUWA, MTAMBO WA KUZALISHA MAJI WA RUVU CHINI UMEZIMWA KWA SAA 24 KUANZIA ASUBUHI YA TAREHE 01.03.2015.
KUZIMWA KWA MTAMBO WA RUVU CHINI KUMETOKANA NA MATENGENEZO YA BOMBA LA INCH 54 ENEO LA MATANKI YA CHUO KIKUU.
MATENGENEZO YANAENDELEA NA YANATARAJIA KUKAMILIKA BAADA YA SAA 24.
KWASABABU HIYO MAENEO YAFUATAYO YATAKOSA MAJI:MJI WA BAGAMOYO, VIJIJI VYA...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5up8SDctAAg/VMy9onUJkXI/AAAAAAAHAhY/tDxU4ahvl9k/s72-c/Untitled.png)
TAARIFA KUTOKA DAWASCO JUU KUENDELEA KWA MATENGENEZO KWENYE MTAMBO WA MAJI RUVU CHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-5up8SDctAAg/VMy9onUJkXI/AAAAAAAHAhY/tDxU4ahvl9k/s1600/Untitled.png)
HALI HII IMESABABISHA HUDUMA YA MAJI KUKOSEKANA KWENYE BAADHI YA MAENEO YA JIJI LA DAR ES SALAAM KUANZIA ALHAMISI 29/01/2015 KWASABABU HIYO MAENEO YAFUATAYO YAMEKOSA MAJI:
MJI WA...
11 years ago
Michuziwataalam wa ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais (Tume ya Mipango) watembelea Mtambo wa Maji wa Ruvu Chini
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BLIjQ06PJqA/VPcT6qHiNmI/AAAAAAAHHq4/xig3qiBiGK4/s72-c/Untitled.png)
MTAMBO WA MAJI RUVU JUU WAPATA HITILAFU
![](http://4.bp.blogspot.com/-BLIjQ06PJqA/VPcT6qHiNmI/AAAAAAAHHq4/xig3qiBiGK4/s1600/Untitled.png)
Mafundi wa DAWASCO wanaendelea na matengenezo ili kuhakikisha Huduma ya Maji inarejea katika hali ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uBusYA3VZFc/XtpDN24YY6I/AAAAAAALstI/a1ACmcJQ6OoNC20-UZGsyTtOHMWfy4smQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200604_135659_0.jpg)
AWESO AAGIZA RUWASA NA DAWASA KIBAHA KUONGEZA UZALISHAJI WA MAJI ILI KUONDOA MGAO KIPANGEGE
NAIBU Waziri Wa Maji ,Jumaa Aweso ameiagiza RUWASA na DAWASA Mkoani Pwani ,kuongeza uzalishaji wa maji na kusimamia mradi wa maji wa Kipangege Kibaha ,ili wananchi wanaondokane na tatizo la kupata maji kwa mgao ,kwani wananchi hao wamechoshwa na maji ya kudunduliza .
Aidha ameielekeza ,RUWASA Mkoani hapo ,kuhakikisha wanamuondoa msimamizi wa mradi wa maji wa Kipangege, Kibaha na kuurudisha mradi mikononi mwa Jumuiya ya watumiaji ili kuondoa kero ya...
5 years ago
MichuziWANAWAKE TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA (TCDC) WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
Picha ya Pamoja ya Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika wakiwa tayari kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Jijini Dodoma
Picha ya Pamoja ya Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika wakiwa tayari kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Jijini Dodoma
Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika wakiwa na Bango la maandamano lenye Kauli mbiu ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani
Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika wakiwa katika maandamano...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jPiKrgIh-LU/VlmiIp_LyqI/AAAAAAAIIwk/QzZfz4BDAyQ/s72-c/07.jpg)
Chanzo cha maji cha Ruvu Chini kuwatua akina mama ndoo za maji
![](http://4.bp.blogspot.com/-jPiKrgIh-LU/VlmiIp_LyqI/AAAAAAAIIwk/QzZfz4BDAyQ/s640/07.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HGSyjo2g948/VlmiKAqUMlI/AAAAAAAIIww/2LL3Pn6iSPs/s640/08.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-n6SnvV-6I7U/VlmiFECqDFI/AAAAAAAIIv8/zxtfB1EvtdQ/s640/03.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI